Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Joseph Mrindoko wa Wachokonozi amesema hakushangazwa na tukio lililomhusisha, akieleza kuwa alilitarajia kutokana na mazingira na upeo wa watu wanaohusika. Amesisitiza kuwa, kwa uelewa wake wa...
1 Reactions
4 Replies
200 Views
Katibu Baraza la Wazee la CHADEMA Jimbo la Katavi, Anthony Mwamba Kalala, ameunga mkono wito uliotolewa na Viongozi wa CHADEMA kwenye Mikoa na Wilaya mbalimbali wa kumtaka Msajili aingie kati...
1 Reactions
34 Replies
626 Views
Hii barabara ndio kipimo cha namna gani mabwenyeye wa CCM hawawajali raia. Kwa basi hii barabara haifai kabisa yaaani ni makorongo tu na rami ilishachoka zaidi ya miaka minne. CCM hawajali kitu.
1 Reactions
5 Replies
144 Views
Tusidanganyane mfumo imara hujengwa na watu majasiri,shupavu na walio imara kwenye kusimamia sheria. je hao watu tunao? Mfumo imara hutegemea wananchi imara wenye kujua sheria na taratibu za nchi...
11 Reactions
49 Replies
4K Views
Rais Samia Suluhu Hassan, akizungumza katika mkutano na viongozi wa vyama vya siasa uliofanyika leo, Julai 30, 2026, jijini Dar es Salaam, amesema jukumu la kuilinda Tanzania ni la kila Mtanzania...
1 Reactions
8 Replies
228 Views
Ikiwa ameishinda Jamhuri ataondoka gerezani? Kama alifungwa na Jamhuri na Jamhuri ni sisi raia, kwani sisi raia alitukosea nini?
9 Reactions
30 Replies
406 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la Leo, nikimpongeza Jaji Mkuu, CJ. Masaju kwa kukemea hukumu za mahakama kudharauliwa kwa kutotekelezwa na watu mbali mbali au taasisi...
4 Reactions
25 Replies
485 Views
Wakuu Binafsi sielewi ni nani HASA alieamua kuwa kazi ya siasa ndio iwe na malipo na posho kubwa sana kuliko taaluma nyingine yeyote hapa nchini. Wataalamu wa taaluma mbali mbali wameacha kada...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Anonymous
YAH:- MWALIMU CALVIN TWARILA WA KIBO AACHIWE HURU ANAONEWA!! NAWEKA USHAHIDI WA MAOVU YOTE YA NGONYANI!! Somo tajwa hapo juu lahusika. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa viongozi wote...
26 Reactions
122 Replies
11K Views
1. Naam... Sababu kubwa ni Siasa kwa maana ya siasa kuelekea uchaguzi, huku ikikolezwa na mafahari wawili wakimataifa wasioweza kukaa katika zizi moja. Hao mafahari wananguvu na wanaingilia hadi...
2 Reactions
6 Replies
351 Views
Kichwa cha habari chahusika. ANC, PAC, SWAPO, ZANU, ZAPU, MPLA, FRELIMO, ni vyama vilivyojihusisha na mapambano ya silaha, ikiwemo kuharibu miundombinu. Je, kwa tafsiri ya ugaidi ambayo CCM...
6 Reactions
12 Replies
169 Views
CHADEMA kuna fukuto la ufisadi linaendelea dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho John Heche. Hili naomba tuliweke sawa, katika siasa, hakuna kiongozi anayepaswa kupewa kinga dhidi ya maswali...
2 Reactions
18 Replies
193 Views
  • Featured
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Stephen Wasira amesema; "Mahakama inaendelea vizuri. Tena yeye Tundu Lissu, rafiki yangu, anaitumia mahakama kama shule ya sheria; yeye anajitetea mwenyewe...
4 Reactions
67 Replies
2K Views
Zanzibar walifanya mazungumzo yao chini ya Wazanzibari. Hakutakuwa na maridhiano ya Tanzania, hadi Watanganyika tutakapo ridhiana kwanza. Wazanzibari lazima wajue ni wakati wa kurudi kwao, siku...
1 Reactions
2 Replies
88 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayub Rioba Chacha kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Facebook amesema yupo tayari kuomba silaha kwaajili ya kuilinda Tanzania dhidi...
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi ambaye ndiye waziri anayesimamia pia jeshi la polisi, Patrobas Katambi, alitangaza bungeni pamoja na mambo mengine, agizo kwa IJP kusitisha mikutano yote ya vyama...
7 Reactions
36 Replies
490 Views
Nipata Mawasiliano ya mtu mzito CCM amenambia Lissu amekaba hoja zote hawana jipya, leo ilikuwa afikishwe Mahakamani lakini Jana nilivyodekeza sehemu Dawati la Ikulu wakiwa na watu wanne wa...
107 Reactions
188 Replies
8K Views
Hii ndio Taarifa ya sasa inayosambaa kwa kasi kila mahali Mpango huu kabambe unaongozwa na John Heche ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho
16 Reactions
26 Replies
581 Views
Mzaha mzaha uota usaha. Heche amelalama zaidi ya miezi mitatu kuna watu wanamfuatlia. Yasije yakajitokeza yale ya Lissu.
1 Reactions
3 Replies
83 Views
Ni kweli kwamba Kazi ni Kazi tu ili mradi mkono uende kinywani, lakini Je inawezekanaje aliyekuwa IGP akawe RC? Soma Pia: UTEUZI: Balozi Simon Sirro ateuliwa kuwa RC wa Kigoma, Kenan Kihongosi...
16 Reactions
185 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…