Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hivi CCM wanapochagua watu wao ,Huwa wanaagalia Uwezo wa kubwabwaja ?? Kidumee cha chama, Mama oyeeee, Mama añaupiga.... Sasa haka kajama ka Paul Chacha, Kalikochaguliwà Ukaribu Oganizesheni ...
2 Reactions
6 Replies
217 Views
Serikali yachukua hatua kumaliza mgogoro wa Mwekezaji na mwananchi kwenye fukwe Mwanza Serikali imeanza kuchukua hatua za kumaliza mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa takribani miaka minne tangu 2022...
1 Reactions
6 Replies
147 Views
Dickson Matata Mwanasheria wa CHADEMA na mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya magharibi, kanda inayojumuisha mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora amesema kuwa CHADEMA itawashtaki wanaojifanya wanachama...
7 Reactions
7 Replies
112 Views
Jamani wadau mmeamkaje? Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza, imeibuka tabia ya ccm kutumia wale makapuku wa chaumma kupitia yule shehe fake mwenye vikundi vya kigaidi mwaipopo kumtukana heche na...
4 Reactions
10 Replies
155 Views
Naomba niseme ukweli kwamba ukitembea vyuo vikubwa Duniani utabaini Ofisi za waalimu ( Tutorial/Dr/Prof) NI eneo ambalo mnaweza mkakaa nakufanya majadiliano mkiwa na facilities zote. For the...
28 Reactions
86 Replies
10K Views
WAZIRI MKUU AZINDUA BOTI MBILI ZA DORIA NA UOKOZI ▪️Atoa siku 14 Kituo cha Kitaifa cha Oparesheni kianze kufanya kazi WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa siku 14 kwa wizara na taasisi...
1 Reactions
7 Replies
127 Views
Mchakato wa kupata Katiba Mpya nchini Tanzania unashauriwa kuchukua wastani wa miaka mitatu (2026–2029) ili kutoa nafasi ya kutosha kwa maridhiano ya kisiasa na ushiriki mpana wa wananchi...
4 Reactions
46 Replies
498 Views
Na ni nani anakwenda kuibuka kidedea na mshindi wa vita hiyo ya ufisadi ndani ya chadema kati ya team Lema & Sugu wanaopinga ufisadi ndani ya chadema, dhidi ya team Heche & Mnyika wanaotetea...
1 Reactions
32 Replies
254 Views
Kwa mara ya kwanza katika Historia Jiji la Dodoma limepindua meza na kuwa Kimbilio la Biashara ya makazi yaani real estates. Dom ndio Jiji linajengwa Kwa kasi makazi ya kuishi na biashara kiasi...
4 Reactions
88 Replies
1K Views
Wazee wa ambao ni wanachama na wafuasi Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Simiyu wameeleza kuridhishwa na kiongozi wao Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara John Heche huku wakimtaka...
18 Reactions
33 Replies
662 Views
Makamanda Peoples!!!!! Wale wote wanaochukizwa na Ufisadi ndani ya CHADEMA msife moyo sasa agenda yetu itaingia kinguvu siku ya Baraza Kuu la Chama kwa sasa tutulie hiyo 334Milion itimie tukisha...
0 Reactions
21 Replies
365 Views
Pamoja na mabaya mengi ya Samia amesaidia kwa kiasi kikubwa kuwakuza viongozi wa Chadema na kukuza chama. Kitendo cha Chadema kutokuingia kwenye chaguzi fake zimeonyesha walikuwa sawa na ukweli...
12 Reactions
14 Replies
339 Views
Je, kudondoshwa Kwa mawakili wa Serikali takribani 10 na Lissu akiwa peke yake pale court of Appeal ina maana gani? Wadau swali langu ni hilo
12 Reactions
76 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mama Maria Nyerere muda mfupi kabla ya kuanza safari ya kuelekea Luanda, Angola ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi...
4 Reactions
29 Replies
628 Views
Habari za Sabato! Baada ya kutoka church nimeingia mtandaoni. Huko nimemwona Mhe. Agrey Mwanri aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Tabora Akitoa hotuba yake ya kwanza ya shukrani baada ya kuteuliwa nafasi...
7 Reactions
69 Replies
925 Views
Anonymous
Serikali iangalie kwa karibu sekta ya usafiri wa anga nchini, hasa suala la gharama kubwa za nauli za ndege ambazo zimekuwa changamoto kwa Watanzania wengi. Kwa sasa, wananchi wengi wanashindwa...
1 Reactions
4 Replies
92 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Ni Jasusi Mbobevu aliyepikwa na kupikika. Ameiva na kukomaa kisawasawa. Ndio Sababu ya Kuona akiwa mtulivu sana katika Ulimi...
3 Reactions
88 Replies
947 Views
Kwa mujibu wa Sheria ya Kuzuia Ugaidi ya 2002, Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi ana WAJIBU wa kutangaza mtu au kikundi chochote cha Ugaidi kwenye GAZETI la Serikali. Chini ya mikataba ya Kimataifa...
4 Reactions
5 Replies
172 Views
Kwa Nini CCM imefika mwisho. Haitavuka 2030. Ongezeko kubwa la wanawake kua wapigania haki wakubwa hapa Tanzania. Ni kawaida wanaume kwa miaka mingi ulimwenguni ndio wamekua wapigania haki kwa...
11 Reactions
28 Replies
475 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…