Demokrasia ndiyo iliyomfanya Tundu Lisu kuwa mwanachama wa Chadema, kuchaguliwa na wananchi wa Singida Mashariki kuwa Mbunge wao, na kuchaguliwa na Wanasheria nchini kuwa Rais wao. Matendo na...
March 2015 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa chama cha mawakili Tanganyika {TLS} alijitokeza katika vyombo vya habari na kusema kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA...
Wandugu wapendwa,
Nimetoka Kituo Kikuu cha Polisi Dar sasa hivi. Polisi wamekataa kunirudishia simu yangu waliyoinyang'anya kwa nguvu tarehe 6 Machi, siku waliyonikamata nikiwa mahakamani Kisutu...
There is no any reason on earth which can justify taking human life,or an attempt of doing so.Those who did this must be searched and brought to justice.
My God heal you soon,Amen.
.
Lissu: Nilinusurika kupigwa na Wasira
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alinusurika kushambuliwa na mbunge wa zamani wa Bunda, Steven Wasira katika moja ya vikao vya Bunge mjini...
Rais wa wa Chama cha Wanasheria Tanganyika(TLS) Tundu Lissu, amesema utawala wake utahakikisha unainyoosha serikali ya awamu ya 5 ili ifuate misingi ya sheria.
Amesema hivi sasa nchi inakabiliwa...
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu alinusurika kushambuliwa na aliyekuwa Mbunge wa Bunda, Steven Wassira katika moja ya vikao vya Bunge Mjini Dodoma.
Lissu aliyasema hayo alipokuwa...
#HuuSiUtanzania
Usiku wa kuamkia leo ulikuwa mgumu zaidi kwenye maisha yangu ya kisiasa.
Nimetumia muda mwingi nikitafakari na kumfikiria sana mwanasiasa mwenzangu, kaka yangu, mbunge...
My take:
Nimejikuta nacheka jamani maana hili sijui tuliite dongo mimi siewlewi!!
Nimejikuta pia nakumbuka ile Channel inayoonyesha maisha ya wanyanyama mbalimbali wa porini kama vile...
Ifike pahala tutambue kua huyu Tundu Lissu hakuna aliyemtuma kuipinga serikali wala hatafuti sifa kwa njia hiyo, ispokua ni tuelewe bayana kabisa kua yeye ni aina ya binadamu wa pekee ambaye...
Kwakuwa Jeshi la Polisi limealika uwasilishwaji wa taarifa kuhusu kushambuliwa kwa risasi kwa Lissu,mimi VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa naanza safari ya kuzisaka taarifa. Natoka hapa Kibiti,Pwani...
Viongozi wanne wa Chama cha Wananchi CUF wamefariki dunia baada ya msafara wao kupata ajali maeneo ya Ubenazomozi Mkoa wa Pwani.
Ajali hiyo imetokea jana usiku wakati Viongozi hao wakitokea...
Baada ya kazi iliyotukuka iliyofanywa na kamati ya makinikia ya dhahabu chini ya uongozi wa Prof Mruma mwenyewe, kulikuwa na haja ya kamati ya almasi kumshambulia vile wakati inawasilisha ripoti...
Najaribu kuwaza tu, meli iko baharini, na manahodha wetu na mabaharia wengine wako busy kutoboa meli,
Kuna wakati pia Hawa wemanahodha wetu unajenga shaka juu ya utimamu wa akili yao.
Jukumu LA...
Dhana tu: Waliompiga risasi Tundu Lissu walikuwa na nio ovu ya kuhakikisha Taarifa ya Mh Rais Dr Magufuli kusafisha sekta ya madini esp Almasi na Tanzanite haiwi covered vya kutosha na vyombo vya...
Wana JF.
Ripoti mbili zinazohusu migodi ya ALMASI na TANZANITE iliyoandikwa na pande zote bungeni (Bipartisan) na kukabidhiwa rais Magufuli Ikulu leo ni ripoti INAYOSIKITISHA na KUUDHI sana...
nakuuliza mwanapropaganda wa ccm ndugu humphrey polepole, je? kwa tukio la kushambuliwa jana mh tundu lissu umemwelewa kikwete wakati yuko south africa ujumbe alioutoa ulikuwa unaenda kwa nani?
By THE CITIZEN
More by this Author
DAR ES SALAAM
Tanzania’s opposition Chief Whip in Parliament Tundu Lissu was Thursday shot by unknown assailants.
Mr Lissu, who is also Chadema’s chief legal...
Ujue tuacheni ujanja ujanja waficha na kufunikafunika Mambo,,,,, Hivi kweli kamanda wa Police mwenye nyezo na zana zote za kazi anakuja na hoja nyepesi namna hii!!!!... Nijuavyo mimi Police...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.