Wana JF.
Ripoti mbili zinazohusu migodi ya ALMASI na TANZANITE iliyoandikwa na pande zote bungeni (Bipartisan) na kukabidhiwa rais Magufuli Ikulu leo ni ripoti INAYOSIKITISHA na KUUDHI sana.
Hasa kuona WATUMISHI waliopewa DHAMANA ya KULINDA raslimali yetu wao waligeuka KUJITAJIRISHA na hivyo kuwa COMPROMISED na WAWEKEZAJI ili MALI ipite wao wapate PESA tu.
Kila mtu AKIANGALIA PEMBENI miaka hii yote huku tukizidi KUKIIBIWA na watu WANAOJULIKANA ambayo ripoti IMEWATAJA!
KITENDO cha rais KUVIKABIDHI ripoti hii vyombo vya ULINZI na USALAMA ni kitendo cha kupongezwa.
Hapo WANANCHI watajua ni CHOMBO gani KIMECHUKUWA hatua ZIPI kwa HUSIKA na UTEKELEZAJI.Na kulionyesha TAIFA na RAIS nani na nani ni WATEKELEZAJI.
Hivyo basi vyobo hivi HAVINA SABABU ya KUZEMBEA maana USHAHIDI uko TELE. Kama wananchi chombo kama PCCB( TAKUKURU) Kinahitajika to move with SPEED in delivering DESIRED RESULTS/ Yaani kwenda kwa KASI katika KUTOA matokeo YANAYOHITAJIKA.
Wananchi TUNASUBIRI kwa hamuUTEKELEZAJI wa ripoti hii.
Hongera kwa Rais John P. Magufuli, Hongereni KAMATI ya BUNGE
Mungu ibariki Tanzania.
Ripoti mbili zinazohusu migodi ya ALMASI na TANZANITE iliyoandikwa na pande zote bungeni (Bipartisan) na kukabidhiwa rais Magufuli Ikulu leo ni ripoti INAYOSIKITISHA na KUUDHI sana.
Hasa kuona WATUMISHI waliopewa DHAMANA ya KULINDA raslimali yetu wao waligeuka KUJITAJIRISHA na hivyo kuwa COMPROMISED na WAWEKEZAJI ili MALI ipite wao wapate PESA tu.
Kila mtu AKIANGALIA PEMBENI miaka hii yote huku tukizidi KUKIIBIWA na watu WANAOJULIKANA ambayo ripoti IMEWATAJA!
KITENDO cha rais KUVIKABIDHI ripoti hii vyombo vya ULINZI na USALAMA ni kitendo cha kupongezwa.
Hapo WANANCHI watajua ni CHOMBO gani KIMECHUKUWA hatua ZIPI kwa HUSIKA na UTEKELEZAJI.Na kulionyesha TAIFA na RAIS nani na nani ni WATEKELEZAJI.
Hivyo basi vyobo hivi HAVINA SABABU ya KUZEMBEA maana USHAHIDI uko TELE. Kama wananchi chombo kama PCCB( TAKUKURU) Kinahitajika to move with SPEED in delivering DESIRED RESULTS/ Yaani kwenda kwa KASI katika KUTOA matokeo YANAYOHITAJIKA.
Wananchi TUNASUBIRI kwa hamuUTEKELEZAJI wa ripoti hii.
Hongera kwa Rais John P. Magufuli, Hongereni KAMATI ya BUNGE
Mungu ibariki Tanzania.