Rais wa Chama Cha Mawakili Tanganyika(TLS), Tundu Lissu alipobariki uminywaji wa kudai Haki Mahakamani

Lobapula

JF-Expert Member
Jun 19, 2011
2,388
1,582
March 2015 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa chama cha mawakili Tanganyika {TLS} alijitokeza katika vyombo vya habari na kusema kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe kwenda kupinga maamuzi ya vikao vya CHADEMA mahakamani ni kosa la kufukuzwa chama yani Rais wa TLS anaamini kwenda kudai haki mahakamani ni kosa kubwa na unapaswa kufukuzwa uanachama.

Sehemu ya kwanza ya kanuni za kusimamia shughul,mwenendo wa maadili ya wabunge wa CHADEMA kipengere cha 8 {A} {X} kinasema ''CHADEMA KITASHUGHULIKIA MATATIZO YA VIONGOZI NA WANACHAMA KWA KUFUATA TARATIBU ZILIZOWEKWA KWA MUJIBU WA CHAMA,NA WALA HATA SIKU MOJA HAITASHUGHULIKA NA MAMBO HAYO MAHAKAMANI. MWANACHAMA ATAKAYESHINDWA KUFUATA TARATIBU ZA CHAMA NA KWENDA MAHAKAMANI ATAVULIWA NA KUFUKUZWA UANACHAMA''

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa TLS aliita vyombo vya habari na kusema Zitto amekiuka kifungu hicho kwa kwenda kudai haki mahakamani so akabariki kufukuzwa uanachama.

Hiki ndio chama cha kidemokrasia na rais wa TLS asiyeamini katika kudai haki mahakamani

Zitto Kabwe njiapanda, Chadema wamfukuza

Chadema wamtimua rasmi Zitto
 
Huenda chama hakiamini mahakama.

Kwa tafsiri rahisi ndani ya chama udikteta ruksa lakini nje ya chama ni waumini wa demokrasia.

Ni sawa na katiba yetu ilivyokua ya kifalme tangu nyerere lakini nje wanahubiri uzalendo.

Hii nchi imeasisiwa kinafiki sana na imezalisha wanafiki wanaendeleza unafiki kila kukicha.

Ndo maana mimi huwa nasema haya mavyeo ya kisiasa yangefutwa tu, yamegeuka kuwa shamba la kujinufaisha. Si chama tawala wala upande wa pili.
Wataalam ndo tungewapa wairun dunia period.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
March 2015 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa chama cha mawakili Tanganyika {TLS} alijitokeza katika vyombo vya habari na kusema kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe kwenda kupinga maamuzi ya vikao vya CHADEMA mahakamani ni kosa la kufukuzwa chama yani Rais wa TLS anaamini kwenda kudai haki mahakamani ni kosa kubwa na unapaswa kufukuzwa uanachama.

Sehemu ya kwanza ya kanuni za kusimamia shughul,mwenendo wa maadili ya wabunge wa CHADEMA kipengere cha 8 {A} {X} kinasema ''CHADEMA KITASHUGHULIKIA MATATIZO YA VIONGOZI NA WANACHAMA KWA KUFUATA TARATIBU ZILIZOWEKWA KWA MUJIBU WA CHAMA,NA WALA HATA SIKU MOJA HAITASHUGHULIKA NA MAMBO HAYO MAHAKAMANI. MWANACHAMA ATAKAYESHINDWA KUFUATA TARATIBU ZA CHAMA NA KWENDA MAHAKAMANI ATAVULIWA NA KUFUKUZWA UANACHAMA''

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa TLS aliita vyombo vya habari na kusema Zitto amekiuka kifungu hicho kwa kwenda kudai haki mahakamani so akabariki kufukuzwa uanachama.

Hiki ndio chama cha kidemokrasia na rais wa TLS asiyeamini katika kudai haki mahakamani

Zitto Kabwe njiapanda, Chadema wamfukuza

Chadema wamtimua rasmi Zitto
Mbona unazungukazunguka tu? Vichwa kama wewe hamwezi kutofautisha personal/political opinion na legal opinion. Ndo athari za mtandao hizi, hata nyie mnapata fursa ya kutupotezea muda wetu tuwasome

Sent using Jamii Forums mobile app
 
March 2015 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa chama cha mawakili Tanganyika {TLS} alijitokeza katika vyombo vya habari na kusema kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe kwenda kupinga maamuzi ya vikao vya CHADEMA mahakamani ni kosa la kufukuzwa chama yani Rais wa TLS anaamini kwenda kudai haki mahakamani ni kosa kubwa na unapaswa kufukuzwa uanachama.

Sehemu ya kwanza ya kanuni za kusimamia shughul,mwenendo wa maadili ya wabunge wa CHADEMA kipengere cha 8 {A} {X} kinasema ''CHADEMA KITASHUGHULIKIA MATATIZO YA VIONGOZI NA WANACHAMA KWA KUFUATA TARATIBU ZILIZOWEKWA KWA MUJIBU WA CHAMA,NA WALA HATA SIKU MOJA HAITASHUGHULIKA NA MAMBO HAYO MAHAKAMANI. MWANACHAMA ATAKAYESHINDWA KUFUATA TARATIBU ZA CHAMA NA KWENDA MAHAKAMANI ATAVULIWA NA KUFUKUZWA UANACHAMA''

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa TLS aliita vyombo vya habari na kusema Zitto amekiuka kifungu hicho kwa kwenda kudai haki mahakamani so akabariki kufukuzwa uanachama.

Hiki ndio chama cha kidemokrasia na rais wa TLS asiyeamini katika kudai haki mahakamani

Zitto Kabwe njiapanda, Chadema wamfukuza

Chadema wamtimua rasmi Zitto

Mko busy na Chadema,tunahitaji Uhuru wa vyombo vifuatavyo:
1. Mahakama
2. Tume ya Uchaguzi
3. Msajili HURU wa vyama vya siasa
4. Bunge HURU
5. Polisi HURU
6. Vyombo vya habari huru

Tukishirikiana kupigania haya hayo ya akina CCM,CUF na CHADEMA yatashughulikiwa kulingana na sheria na katiba zao.
 
Mko busy na Chadema,tunahitaji Uhuru wa vyombo vifuatavyo:
1. Mahakama
2. Tume ya Uchaguzi
3. Msajili HURU wa vyama vya siasa
4. Bunge HURU
5. Polisi HURU
6. Vyombo vya habari huru

Tukishirikiana kupigania haya hayo ya akina CCM,CUF na CHADEMA yatashughulikiwa kulingana na sheria na katiba zao.
Umenena mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona katiba ya FIFA inakataa kwenda mahakamani? siyo ajabu kama katiba yao hairuhusu. Hata katiba za makanisa haziruhusu kwenda mahakamani.
Mkuu kuna watu wanashangaza sana! Hivi utalinganishaje mambo ya nchi na ya chama? Kujiunga na chama chochote ni suala la hiari lakini kuwa RAIA wa nchi sio hiari bali haki ya kuzaliwa.
Unapojiunga na chama unasoma kwanza katiba yake na kanuni zao, ukikubaliana nazo unajiunga. Shida iko wapi? Na kama kuna mambo upo na hukubaliani nayo sio kosa kujitoa na kwenda kwingine.
Ndio maana tunawashangaa wana ccm ambao walijiunga huko eti kwa ile kanuni ya 'nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko' au ile ya ' rushwa adui wa haki sitatoa au kupokea rushwa'.
Sasa chama kwa uongo wako zaidi ya shetani na hawaondoki. Rushwa ni kama uji kwa mgonjwa na wapo tuu!
Ni kuwa wanaendekeza kile wajifanyacho kukikataa.
Chadema wamekubaliana migogoro inajadiliwa na vikao, ukienda mahakamani unajifukuza mwenyewe. Sasa walio ondoka walijifukuza wenyewe kwa kutoheshimu katiba.
Ni kama ilivyo FIFA, ukipeleka shauri la mpira mahakamani unajipa sifa ya kuondolewa! Ndio makubaliano.
 
March 2015 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa chama cha mawakili Tanganyika {TLS} alijitokeza katika vyombo vya habari na kusema kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe kwenda kupinga maamuzi ya vikao vya CHADEMA mahakamani ni kosa la kufukuzwa chama yani Rais wa TLS anaamini kwenda kudai haki mahakamani ni kosa kubwa na unapaswa kufukuzwa uanachama.

Sehemu ya kwanza ya kanuni za kusimamia shughul,mwenendo wa maadili ya wabunge wa CHADEMA kipengere cha 8 {A} {X} kinasema ''CHADEMA KITASHUGHULIKIA MATATIZO YA VIONGOZI NA WANACHAMA KWA KUFUATA TARATIBU ZILIZOWEKWA KWA MUJIBU WA CHAMA,NA WALA HATA SIKU MOJA HAITASHUGHULIKA NA MAMBO HAYO MAHAKAMANI. MWANACHAMA ATAKAYESHINDWA KUFUATA TARATIBU ZA CHAMA NA KWENDA MAHAKAMANI ATAVULIWA NA KUFUKUZWA UANACHAMA''

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa TLS aliita vyombo vya habari na kusema Zitto amekiuka kifungu hicho kwa kwenda kudai haki mahakamani so akabariki kufukuzwa uanachama.

Hiki ndio chama cha kidemokrasia na rais wa TLS asiyeamini katika kudai haki mahakamani

Zitto Kabwe njiapanda, Chadema wamfukuza

Chadema wamtimua rasmi Zitto
Kweli JF sasa, hata kichaa anapata nafasi ya kutoa ya moyoni.
Msomi gani unashindwa kutofautisha katiba ya chama cha siasa na matakwa ya kisheria nje ya katiba ya chama cha siasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Katiba ya ccm inaruhusu mgogoro wa ndani ya chama cha ccm kupelekwa mahakamani?. Hivi unaweza kutukumbusha yaliyompata Shibuda ccm kabla ya kukimbilia chadema? Unaweza kutuambia kilichowapata kina Msukuma na Bashe dodoma?. Si kwamba ccm hairuhusu ama kisheria au kitaratibu maswala ya chama kupelekwa mahakamani bali pia hata uhuru wa maoni na kuwa kunyume na mawazo ya mwenyekiti ni kosa la kufukuzwa uanachama. Rejea Shibuda, Sofia Simba, Mtambasavangu etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umejiunga jamii forum kitambo halafu bado akili haijapanuka katiba ya chadema inasemaje mwanachama akiwa na mgogoro?
 
Haya endeleeni na vioja tunaisoma namba wote tens kwa pamoja
katika
March 2015 Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa chama cha mawakili Tanganyika {TLS} alijitokeza katika vyombo vya habari na kusema kwa kitendo cha aliyekuwa Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Zitto Kabwe kwenda kupinga maamuzi ya vikao vya CHADEMA mahakamani ni kosa la kufukuzwa chama yani Rais wa TLS anaamini kwenda kudai haki mahakamani ni kosa kubwa na unapaswa kufukuzwa uanachama.

Sehemu ya kwanza ya kanuni za kusimamia shughul,mwenendo wa maadili ya wabunge wa CHADEMA kipengere cha 8 {A} {X} kinasema ''CHADEMA KITASHUGHULIKIA MATATIZO YA VIONGOZI NA WANACHAMA KWA KUFUATA TARATIBU ZILIZOWEKWA KWA MUJIBU WA CHAMA,NA WALA HATA SIKU MOJA HAITASHUGHULIKA NA MAMBO HAYO MAHAKAMANI. MWANACHAMA ATAKAYESHINDWA KUFUATA TARATIBU ZA CHAMA NA KWENDA MAHAKAMANI ATAVULIWA NA KUFUKUZWA UANACHAMA''

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA na sasa Rais wa TLS aliita vyombo vya habari na kusema Zitto amekiuka kifungu hicho kwa kwenda kudai haki mahakamani so akabariki kufukuzwa uanachama.

Hiki ndio chama cha kidemokrasia na rais wa TLS asiyeamini katika kudai haki mahakamani

Zitto Kabwe njiapanda, Chadema wamfukuza

Chadema wamtimua rasmi Zitto
nchi ya watu wenye akili hii sihoja ya kujadili.Chadema inakatiba na bahati nzuri inafafanua mazuri sana,jielimishe
 
umejiunga jamii forum kitambo halafu bado akili haijapanuka katiba ya chadema inasemaje mwanachama akiwa na mgogoro?
Usipaniki broo, hayo ni mawazo yake, sasa kumbe ndani ya chama kuna mahakama ya chama kwa ajiri ya kutoa haki??
 
Back
Top Bottom