Hili suala lililotokea leo linaliabisha taifa unafikiri mabalozi na nchi duniani zinatuona tuna akili timamu kweli ?
Hawa wapumbavu walioandamana leo niwaambie kile mtu anajua kuwa ni maigizo...
Wakati Wa Mkutano Na Waandishi Wa Habari Wa Wanaharakati Huru Joseph Yona,pamoja Na Ahmed Kombo ,Joseph Yona Ametumia Nafasi Hiyo Kuipongeza Timu Ya Taifa Ya Tanzania Taifa Stars Kwa Kufuzu Hatua...
Watakapokuja Wakatoliki halisi wanaojua kusoma na kuvaa kwa heshima mbele ya Balozi wa Papa, wakasoma tamko lao kuwataka Polisi wamkamate aliyempiga Fr. Kitima, na wamlete aliyeteka mapadre na...
Niseme machache tu wakuu,
1. Kwanza picha linaanza wakatoliki wamevaa vijora. Yaani mnaenda kwenye sehemu ya heshima, kwenye Ubalozi wa Vatican mmevaa vijora kweli? Kuna watu kwenye ile video...
Viongozi wa CCM wanajipanga kusherehekea kwa nguvu maadhimisho ya Mapinduzi Zanzibar. Hili ni tukio muhimu lenye kukumbusha na kuimarisha utambulisho wa Zanzibar na watu wake.
Kwa miaka minane...
Tunataka Jeshi la Polisi liheshimu (with consistency) haki ya raia ya kujieleza (freedom of expression). Leo polisi wamefanya kazi yao kwa kuzingatia sheria. Kama sote tulivyoona, hawakuvuruga...
Wasanii shilole na wema wanajijengea picha mbaya kwa watanzania hii ni baada ya mivutano ya wasanii hao na watanzania mtandaoni itawagharimu.
Bora kugombana na mtu mmoja au wawili sio na...
Hili ni somo au mfano mkubwa sana kwa nchi zetu zinazoendelea na zinakabiliwa na vitisho kutoka kwa vibaraka wa mabeberu au wasaliti wa kiuchumi.
Kumbe hata Tanzania inaweza kuandaa tukio la...
Kulikoni huko visiwani?
Wakurugenzi Watendaji (DED’s) wa halmashauri zote za hapa Tanzania Bara wapo Zanzibar kwa kikao kazi.
Kwanini Dodoma haitumiki tena? Gharama hizo nani anagharamia?
BBC, DW, CNN wapuuzia taarifa za maandamano ya watu 100 waliojitambulisha kama Wakatoriki huku vyombo vya habari vya ndani vikiripoti.
Aidha waandanaji hao baada ya kuulizwa kuhusiana na...
Muuaji anakuja mbele ya runinga za watanzania Milioni 65 anawaambia nimeshaunda Tume ya Maridhiano, kama hili ndilo alilomuitia Mzee wetu Warioba Ikulu naomba wamshauri tu Mzee Warioba akae mbali...
Kama ilivyo hapo juu, ni kwanini Rais wetu kila akikaa pale Ikulu ya Chamwino muda mchache tu utamsikia amerudi Dar?
Hivi Ikulu ya Dar kuna mafaili yaliyobaki ambayo ni lazima kila muda arudi...
Marais wa awamu ya Pili hadi ya Tano wamehudhuria hapa mama maria nyerere yupo hapa pia kama mke wa mwasisi wa Taifa hili
Mh Rais amewazawadia marais wastafu zawadi ya ndege tausi 25 kila mmoja...
AHADI ZA SAMIA NDANI YA SIKU 100 BAADA YA KUCHAGULIWA (ATAKAYOFANYA)
1. Utazinduliwa rasmi mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote, kwa awamu ya majaribio. Wakianza Wazee, Watoto, Wajawazito, na Wenye...
Oktober imesimama! Oktoba ya Mama!
Kama mlifikiri mwajua pekeenu mlijidanganya. Mshanfahamu! Endelee kujigeza, mwamulika mchana kwenye jua halooo! Ona mweishiwa na betirii. Mtabadili laini za...
Wana wa Mungu wana wataifa teule la Tanzania na wana wataifa la babu zenu Tanganyika haya ndio yata tukia ktk siku zijazo na kama mkiyaona basi inuweni vichwa juu na kumtukuza Mungu.
1. Patakuwa...
Marekani haitambui kiongozi yeyote anayechezea chaguzi kuu katika nchi yake, so inawatambua kuwa ni waharifu tu kama wengine na wakiona anamakosa hata ya kuonea raia aliowadhurumu haki zao...
Katika uhalisia wa maisha, hata kwa ngazi ya mtu binafsi, inapofikia suala la kupambania uhai wako, huwa upo tayari kutoa chochote ulicho nacho, na hata kukopa, ili tu kuokoa uhai wako, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.