G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Kama ilivyo hapo juu, ni kwanini Rais wetu kila akikaa pale Ikulu ya Chamwino muda mchache tu utamsikia amerudi Dar?
Hivi Ikulu ya Dar kuna mafaili yaliyobaki ambayo ni lazima kila muda arudi huko?
Kuna Moto gani pale unaowaka na kumchoma hata asifanyie shughuli zake hapo?
Nawasilisha.
Hivi Ikulu ya Dar kuna mafaili yaliyobaki ambayo ni lazima kila muda arudi huko?
Kuna Moto gani pale unaowaka na kumchoma hata asifanyie shughuli zake hapo?
Nawasilisha.