Askofu Romanus: Wakatoliki waliosimamia uchaguzi wakatubu

Askofu Romanus: Wakatoliki waliosimamia uchaguzi wakatubu

Quinine

Platinum Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
25,175
Reaction score
60,544
Bado haijaisha, usicheze na kanisa Katoliki.

G9CoAd6XIAAs09d.jpg
 
Tena wafanye mapema coz ni laana kubwa kuwa mmoja wa uchafuzi ule
 
Nilimwambia dada angu ajiepushe na huo uchafu akajifanya yy anapenda pesa

kilichomkuta aliacha makaratas ya kura yanapeperuka akanyoosha goti kupigania uhai wake🤣🤣

saa sita mchana ananipigia simu nikamchukue amebana sehemu
 
Back
Top Bottom