Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

If you are bold enough and you think you have a mass support jitokeze hadharani na ukosoe kwa haki na uwazi. Mara zote baba wa Taifa Alipokuwa anakosoa hakuwahi kujificha mafichoni hii ikimaanisha...
11 Reactions
120 Replies
3K Views
It was just like a sucker punch...! Hii inaitwa mwana kulitafuta mwana kulipata! Hit them where it hurts! {Severely} Vuna vyote lakini kamwe usivune aibu! Hasira za TK sijui ataangushiwa...
13 Reactions
32 Replies
845 Views
Asante CDF mstaafu kwa kudhibiti nia ovu za hao bandits na terrorist wa kisiasa ambao sasa wanajiexpose wenyewe moja moja tena wakiwa hidden places. Na bado..... Well done our security forces...
13 Reactions
87 Replies
3K Views
KADA wa CCM Hussein Bashe anatajwa kuwa ndiye chanzo cha kuvuruga Kikao cha Kamati Kuu kilichopangwa kufanyika leo cha kupitisha majina ya wagombea ubunge wa majimbo na viti maalum baada ya...
10 Reactions
95 Replies
7K Views
Leo siku ya 5 huko Iran Maandamano yanazidi kupamba moto na hakuna watu waliouliwa kama kuku Imagine hapa kwetu oct 29 tu ndani ya siku moja jitu limetoa oda ya kuua watu zaidi ya elfu 10 Yaani...
30 Reactions
103 Replies
2K Views
Sasa nataka kujua wale wa Oktoba tunatiki, semeni mtatiki wapi? No reforms no Election yatinga Meza Kuu za CCM. Kiko wap? 🤣🤣🤣🤣 Haya Muliro jiandae kuwagonga Virungu vya Ugoko na CCM wanaotaka...
59 Reactions
144 Replies
11K Views
  • Redirect
Huyu jamaa ni kama Lucas Mwashamba wa bei ya jioni Hivi toka ameanza kujipendekeza kwa watawala ashawahi kupata nini? Nauliza tu kwasababu kila baya la serikali likiibuka basi atatoka na uzi wa...
1 Reactions
Replies
Views
Na Malisa GJ . Kikosi maalumu cha jeshi la Marekani (Delta Force), kimetumia dakika 124 tu (masaa mawili na dakika 4) kutua Ikulu ya Venezuela (Palacio de Miraflores) na kumnyakua Rais Nicolás...
7 Reactions
24 Replies
635 Views
Wanalalamika kuwa oh sovereignty ya Venezuela imekiukwa. Madulo alikuwa haheshimu sovereignty ya watu wake, why dunia yenye akili iheshimu sovereignty yake? Unaua watu uili ubaki madarakani...
3 Reactions
3 Replies
167 Views
  • Redirect
Samia hana mamlaka ya kuongea na wananchi anaongea nini na wananchi wakati wanauwa wananchi akatafute genge lake huko wakae wapige zogo.
2 Reactions
Replies
Views
Kinachoendelea Venezuela chaweza kuwa kutisha mahayatollaj wa Iran ak kuiandaa dunia kwa anguko la serkali ya kikatili ya Iran. Waiting na Idi Amin Mama angekuwa kwenye kundi hili. Achunge...
5 Reactions
16 Replies
269 Views
  • Redirect
Kipimo cha akili na uelewa ni pamoja na kutambua wanaokuzidi uwezo na uwezo wao. Ni SWALA mpumbavu atamwona Simba na ataenda kucheza akitikisa makalio yake mbele ya Simba . Si ushujaa ni upumbavu...
2 Reactions
Replies
Views
Kazi iendelee... Naona mnajitia vikumbo kujipa moyo wa kiberiti. Mipango yenu ishaporomoka kama bati ya mwezi wa kusi. Mama tunaye vilivyo, si wa kuchovya, ni wa kumeza na mfupa! Karibuni mtajua...
9 Reactions
54 Replies
4K Views
Tunapoanza mwaka 2026 na kusherehekea miaka 250 ya Taifa letu, CIA inaendelea kujitolea kikamilifu kuunga mkono vipaumbele na misingi ya usalama wa taifa wa Marekani. Kila siku—kwa ari na dhamira...
3 Reactions
26 Replies
477 Views
Wakuu Mchambuzi wa masuala ya Siasa na Mwanazuoni Dkt. Dennis Muchunguzi anasema utaratibu uliotumika kumteua Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea Urais kwa Chama cha Mapinduzi ulikuwa halali na...
3 Reactions
32 Replies
1K Views
Wakuu! Katika pitapita zangu huko Mitandaoni nimekutana na page zaidi ya Tatu tofauti za Vyombo vya Habari vilivyoandika/kupost makala moja kuhusu Humphrey Polepole na wote wanahoji "Polepole ni...
2 Reactions
14 Replies
935 Views
Ndugu Wana ukumbi, Nina swali kwenu, Je JWTZ na vyombo vingine vya ulinzi vinaweza kula kiapo cha kumtumikia na kumlinda Rais aliyeingia madarakani kwa kuvunja Katiba ya nchi? Wakati wao huapa...
22 Reactions
110 Replies
5K Views
Wakuu, Haki mwisho wa siku hupatikana hata kama itachelewa. Huyu Maduro wananchi wake walikuwa hawamtaki na ilikuwa watu wakiandamana yeye response yake ni kuua waandamanaji ikiwemo WATOTO wa...
7 Reactions
12 Replies
198 Views
Humphrey Polepole amesema kwa utamaduni, desturi na katiba ya Chama cha Mapinduzi, Rais Samia hatakiwi kupeperusha bendera ya CCM kipindi hiki kwa msingi kuwa amekuwa Makamu wa Rais, Mungu...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…