Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Redirect
Rais wa Marekani, Donald Trump amedai Taifa hilo limefanya shambulio kubwa Nchini Venezuela na kuwakamata Rais wake, Nicolas Maduro, na mkewe na kusafirishwa kwa ndege kutoka nchini humo Kupitia...
1 Reactions
Replies
Views
Yulo wapi? Alibeba mapicha ya Samia, wakamshikisha mapicha. Yuko wapo? Kafia wapi? Au teuzi zijazo atakumnukwa? Nani ampishe?
3 Reactions
13 Replies
315 Views
Huyu jamaa kateka, kaua na kapoteza watu wengi sana nchini lakini Wala haguswi na mkono wowote wa Sheria za nchi. Hivi Jaji Chande na Tume yake uchwara alikutana na mtu kama huyu anaweza kuwa na...
7 Reactions
22 Replies
550 Views
Serikali ya CCM bado aijawa tayari na aitaki kuukubali ukweli bado imekaa kipropaganda siasa za uongo kuadaa watu Hayo maridhiano yao wanayoyasema ni ya kiini macho kutaka maokoto ya wazungu...
2 Reactions
25 Replies
411 Views
YAH: MALALAMIKO RASMI DHIDI YA KAULI NA UTARATIBU WA ASKOFU MKUU YUDA THADDEUS RUWA’ICHI WA JIMBO KUU LA DAR ES SALAAM KWA: BALOZI WA PAPA (APOSTOLIC NUNCIO), DAR ES SALAAM. Mpendwa Baba...
2 Reactions
300 Replies
5K Views
Kwa ukimya huu ndio naamini Cheo ni koti la kuazima tena kwa Muha .. Cc Bashungwa
11 Reactions
37 Replies
1K Views
Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Mhashamu Stephano Lameck Musomba, amesema, Waumini wa Kanisa Katoliki wana kila sababu ya kujivunia ukatoliki wao bila kuyumbishwa au kutishwa na mtu yeyote...
4 Reactions
14 Replies
528 Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa mwanzoni mwa mwaka 2026 Serikali imejipanga kujenga umoja wa kitaifa ambapo mchakato wa kuunda Tume ya Maridhiano tayari umeanza na Serikali itashirikiana na...
6 Reactions
136 Replies
4K Views
Toeni vitisho sanaaa Toeni matangazo Tumieni Propagandaaa Masheikh na Uhuni wa Dini ulioshindwa. Mapolisi wazunguke Kila Kona na Wanajeshi Kagueni vitambulisho Tangazeni hali ya Hatari Oyaaa...
15 Reactions
28 Replies
1K Views
Biashara ya ujinga ndo imetajirisha watu hapa Africa The same person anachukua madini yako at lowest price Ila anarudi na msaada wa Vyandarua na Condoms na unampigia makofi na kuamini Una deni...
4 Reactions
35 Replies
568 Views
Hii ni falsafa ambayo iliandikwa karne ya kumi na sita na mwanafalsa John Locke wa uingereza . Kwamba kwenye kutawala serikali huwekwa madarakani na wananchi . Serikali inapokuwa madarakani...
3 Reactions
5 Replies
204 Views
Mwenye taarifa sahihi atujuze. Kama kikosi kimeshalamba bahasha za dolari kutoka kwa Mfalme ili tuuze match Jumapili atujuze.
0 Reactions
8 Replies
238 Views
Nchi yetu inaonekana kukosa mifumo thabiti ya uwajibikaji, jambo linalosababisha watu wachache kuwa na mamlaka makubwa kupita kiasi bila kuwajibishwa ipasavyo. Mwisho wa siku, athari zake...
5 Reactions
36 Replies
894 Views
Yes , lazima ukubali kuliwa ubongo. Ukiwa na Ubongo huwezi kupata vyeo au nafasi flani flani. Lazima kwanza uliwe Ubongo. Msikilizwe Msigwa msikilize PM utagundua bongos zao zimeliwa
2 Reactions
2 Replies
180 Views
Kuna kitu kinaitwa combustion! Halafu kuna combustion chambers! Piston rings kwenye engine zikilegea engine itapiga kelele na kukosa nguvu .. Kwa maana ya kwamba combustion haitafanya kazi...
12 Reactions
26 Replies
786 Views
KUSITISHWA KWA SAFARI ZA TRENI YA SGR DAR ES SALAAM–DODOMA Na, Nicolas Jovin Clinton Gabone Hivi karibuni, Shirika la Reli Tanzania TRC limethibitisha rasmi kusitishwa kwa muda usiyojulikana...
3 Reactions
2 Replies
328 Views
1. Humphrey Polepole. Alikuwa balozi, katibu mwenezi wa ccm taifa na mbunge. 2. Geoffrey Mwambe. Alikuwa waziri wa uwekezaji na mbunge. 3. Daniel Chonchoriro. Mjumbe wa mkutano mkuu CCM. 4...
5 Reactions
8 Replies
538 Views
MHASIBU Mkuu wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Mbogo Alexander Munubi, amefariki dunia ghafla tarehe 28 Desemba 2025, mkoani Dodoma. Mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa kwa ushirikiano...
10 Reactions
59 Replies
1K Views
..nadhani IGP Sirro anapaswa ku-step back na ku-access "kamba imekatikia" wapi. ..mahusiano yake na CDM kwa ujumla siyo mazuri na hali hiyo inaletea TENSION nchini. ..mimi namshauri akutane na...
12 Reactions
45 Replies
4K Views
Back
Top Bottom