Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,009
- 74,643
Hivi hawa ni watu kweli? Au serikali hii inaongozwa na Mashetani ila hatujui?
Mtu unamfungia jela miezi 10 ili hali ukijua kuwa Hana kesi ila unamkomoa, halafu una mleta mahakamani anakopambana na timu kubwa ya Mawakili wa serikali na chakula unamnyima?
Hivi watu wakishangilia vifo vya watu hawa bado mtasema wachekaji wameishiwa utu?
Mie nasema sio kucheka na kukejeli tu bali hata kuombea dua WAFE ni haki yao.
Na Malaika mtoa Roho ikimpendeza leo akichikua hata wanne kwa mpigo tutamshukuru ili kutupunguzia watu wenye roho mbaya ulimwenguni.
Kuhusu mwenendo wa Kesi
Mtu unamfungia jela miezi 10 ili hali ukijua kuwa Hana kesi ila unamkomoa, halafu una mleta mahakamani anakopambana na timu kubwa ya Mawakili wa serikali na chakula unamnyima?
Hivi watu wakishangilia vifo vya watu hawa bado mtasema wachekaji wameishiwa utu?
Mie nasema sio kucheka na kukejeli tu bali hata kuombea dua WAFE ni haki yao.
Na Malaika mtoa Roho ikimpendeza leo akichikua hata wanne kwa mpigo tutamshukuru ili kutupunguzia watu wenye roho mbaya ulimwenguni.