Hii ni makala ya mmoja wa machawa wa mama Samia. Kila mtu aisome, kisha aone ujinga na upumbavu ulio ndani ya vichwa na mawazo ya hawa jamaa kisha tia neno. Hata kama unakubaliana, wewe unga tu...
Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kushtushwa na kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa mwanachama wake, Seleman Bungara maarufu Bwege, kilichotokea ghafla asubuhi ya Machi 30, 2026, alipokuwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Msiba haujawahi kuzoeleka hata siku moja, Hakuna msiba mwepesi .
Hakuna Maumivu Makubwa kama ya kufiwa. Msiba unaweza kuuona ni Mwepesi na rahisi Ukiwa kwa Jirani yako ...
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba leo Machi 31, 2026 amewasili Iringa Mjini akiwa njiani kwenda Idodi kumuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi...
Leo Rais Samia amesema kuwa ripoti ya CAG ijayo itaje wanaofanya vibaya ili waone aibu, hivi anatambua kuwa kuiba ni aibu tosha ambayo wameivumilia hivyo ya kutajwa ni ndogo na hawawezi kuwaza...
"Kuwa na Rais ambaye anaweza kuacha Ikulu akaenda porini kurekodi filamu, utampata wapi Rais kama huyo sasa hivi” -Amesema Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa
Kikao cha kwanza cha mkutano wa tatu wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kimeanza leo Machi 31, 2026, ambapo hata hivyo, kimedumu kwa dakika 15 pekee kisha kuahirishwa mpaka Aprili...
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imesisitiza kuendelea kushiriki katika shughuli za kijamii sambamba na jukumu lake la msingi la...
Wakuu hii ya waziri kumpa mama mkwe wake tuzo kwa uprofesa mbona imekaa kizamani sana.
Kwani hii familia haiwezi kula kodi zetu tu kimya kimya mpaka iwe inatupigia kelele, kwahiyo sahivi ataitwa...
Hii nchi ina viongozi wanastahili kunyongwa kabisa mchana kweupe watanzania hii nchi sio maskini ila tuna watu ni wabaya sana ile mikataba iliyopitisha kwa hati ya dharula Bungeni tena ulikua...
Ripoti ya CAG, ikiunganishwa na ripoti ya Ile tume ya Kodi itakuonesha kwa Nini Mimi natamani kujifia kila ninapo LIPA Kodi
Nauliza katika Ili la uwanja wa mpira Makonda na yule aliyekuwa mbunge...
Heshima kwenu wakuu,
Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Dr Shein, amesema hatishwi na vitisho vya TANESCO vya kuikatia umeme Zanzibar kwa sababu ya deni la Umeme kwani deni sio la leo, deni lina zaidi...
Kwa sasa ni kama marhamu. Huwezi msikia akikosoa kitu. Huwezi. Awamu hii wamejua kula na kipofu. Ikija tokea awamu nyingine ndo zitto kabwela ataibuka.
Nawatakia mema na kila la kheri watia nia wengine wote wa CCM maeneo mbalimbali nchini, wa ubunge pamoja na wale wa udiwani.
Tuheshimiane na daima kua wastaarabu miongoni mwa watia nia wengine...