Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Heshima sana wanajamvi, Kati ya mambo yaliyonisikitisha ni mwaka huu ni mradi wa ujenzi kuhamishiwa Mombasa. Nilimsikia Rais Ruto na baadae Rais Samia. Kauli ya Dangote ya kupeleka mradi Kenya...
3 Reactions
13 Replies
107 Views
Drama zinaendelea drama zinaendelea Wapili kaandikiwa barua ajiuzulu! Wapili kagoma! Je, watamfanya Nini? Je, wanajua kwanini anajiamini? Wanamtandao kazi mnayo mwaka huu mtauana na kumalizana.
11 Reactions
37 Replies
932 Views
Tangu Tundu Lissu ataje orodha ya mashahidi wake, mashahidi kutoka Kenya na Uganda ambao hawakuwepo eneo la tukio (kwenye mkutano ambao Lissu alisema "tutakinukisha") na ambao si hata viongozi wa...
4 Reactions
32 Replies
1K Views
Aliyekuwa mgombea urais wa ACT-Wazalendo katika uchaguzi wa mwaka 2025, Luhaga Joelson Mpina, aliwasilisha taarifa kuhusu hali ya kisiasa Tanzania kwa mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya...
2 Reactions
0 Replies
84 Views
Vyama viwili vya upinzani nchini Namibia vimepinga uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu wa nchi hiyo, Petrus Tileinge Damaseb, kuwa mmoja wa makamishna wa Tume ya Rais ya Uchunguzi inayochunguza waliohusika...
4 Reactions
8 Replies
278 Views
Binafsi inaenda kuchimba zaidi ya ile tume ya Chande. Mwisho wa siku nani hasa anachunguzwa kwenye hii tume? Na wanaochunguzwa je wapo tayari kuwajibika mintarafu kujiuzuru? Ngoja tuone Soma Pia...
1 Reactions
21 Replies
176 Views
SERENGETI INAWEZA KUIFIKISHA TANZANIA KWENYE HATUA NYINGINE YA UTALII Kuna Serengeti moja tu duniani, na ina sifa za kipekee ambazo hakuna mbuga nyingine inayoweza kuzibeba kwa namna hiyo. Lakini...
4 Reactions
56 Replies
499 Views
Mbunge wa Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu Ado, amemwaga povu zito akilaani vikali utekaji, utesaji na ukatili aliofanyiwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kazungu Bakari, huku akitahadharisha kuwa...
6 Reactions
42 Replies
545 Views
Rasmi yule dada anayetukana matusi Rasmi yuko kwenye mikono Salama taangu tarehe 30/07/2026 soon atapandishwa kujibu Yanayomkabili au anaweza asionekane kabisa Save huu Uzi serikali ina mkono mrefu.
19 Reactions
176 Replies
5K Views
Taasisi nyingi za serikali zinapitia vipindi vigumu, ikiwa ni pamoja na changamoto mbili kuu: uhaba wa fedha katika kutekeleza majukumu yake na kuacha misingi ya kimuundo kwa taasisi hizo. Mfano...
9 Reactions
41 Replies
2K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimejenga sifa ya kuwa na nidhamu kali ambapo maamuzi yakishafanyika kwenye vikao, sauti ya chama inakuwa moja. Hata hivyo, katika misimu ya hivi karibuni ya kisiasa...
17 Reactions
26 Replies
545 Views
Watu wanadai kikundi kinachoteka na kupoteza watu alikiunda yeye ili kulinda kiti dhidi ya wapinzani wake wa kisiasa. RIP Polepole. Watu wanadai aliyetoa amri ya kupiga risasi za moto wananchi...
23 Reactions
26 Replies
511 Views
Leo imezinduliwa tume nyingine kuhusu kilichotokea Oktoba 29! Sijui hizo tume zinazohusu Oktoba 29 zimefika ngapi na sijui ngapi zitaendelea kuundwa. Hii ya leo inaitwa “Tume ya Rais ya...
25 Reactions
25 Replies
477 Views
04 August 2026 Kyela, Mbeya Tanzania KATIBAKITAA - Mbunge Mstaafu wa G-55 Anafunguka Juu ya Katiba Mpya na Maridhiano Mbunge mstaafu wa Jimbo la Kyela Mzee Alipipi Lumuli Kasyupa akifanya...
8 Reactions
12 Replies
264 Views
07 Agosti 2026 Kinondoni, Dar es Salaam Tanzania SAAD MTABULE : WANAFUNZI MKAWAAMBIE WAZAZI JUU UHAMIAJI HARAMU KINONDONI https://m.youtube.com/watch?v=d7oFRuKVK-w Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni...
2 Reactions
12 Replies
309 Views
07 Agosti 2026 Uhamishoni Nje ya Tanzania Bw. David Jumbe msaidizi wa karibu wa mheshimiwa Tundu Lissu katika mahojiano exclusive 07 Agosti 2026 UHAMISHONI NJE YA TANZANIA...
32 Reactions
87 Replies
2K Views
Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii...
11 Reactions
104 Replies
6K Views
Nilimsikia tulia anasema "huwezi kusema mtu ametekwa wakati hujamuona" kwanza kutekwa ni kupi ? Tulia kutekwa ni kuchukuliwa kwa nguvu na watu wasiojulikana na kupelekwa sehemu isiyofahamika sio...
6 Reactions
10 Replies
588 Views
Na Mwandishi Wetu Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kuimarisha mazingira yanayowezesha maendeleo ya sekta ya lojistiki, usafirishaji na elimu ya ufundi...
3 Reactions
15 Replies
229 Views
Mwekezaji wa Kimataifa, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, amezindua Duka kubwa la kubadilisha fedha za kigeni linaloitwa DESDERIA BUREAU DE CHANGE LIMITED Duka hilo la kisasa...
29 Reactions
80 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…