Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.6K
Threads
7.6K
Posts
193.6K

JF Prefixes:

Sifa kubwa ya mwanasiasa ni kuwa na uwezo wa kutunga na kubuni sera nzuri bila kusahau kuwa na ushawishi au umaarufu kwa watu, sera nzuri peke yake haitoshi. Si mtazami makonda kama mwanasiasa...
3 Reactions
6 Replies
298 Views
  • Redirect
1 Reactions
Replies
Views
Wanabodi, Loe nchi yetu tumeadhimisha miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, na kuwa nchi moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Muungano wetu ni muungano adimu na muungano adhimu...
18 Reactions
41 Replies
621 Views
Kwanza nachukua nafasi hii kuwapongeza wote mliosherehekea miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Mimi sikusherehekea) Bali Swali langu ni hili, hivi Sherehe za Muungano zina...
1 Reactions
9 Replies
250 Views
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar esSalaam,imemsafirisha Godlista Malisa kwenda nyumbani kwao Kwa ajili ya kumfanyia upekuzi,baada ya kudaiwa kuandika uchochezi katika mitandao ya kijamii. Kwa...
4 Reactions
11 Replies
861 Views
Rais Samia amesema amefurahi kuona kikosi cha Bendera katika gwaride la Muungano kikiwa na askari wa kike Rais Samia amesema huo ni Mwanzo na msije shangaa 2030 tukawa na CDF Mwanamke Source: TBC
12 Reactions
145 Replies
4K Views
  • Redirect
Jana kulifanyika Sherehe kubwa ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwa kweli Sherehe hii ilifana sana japo kulikuwa na mvua iliyokuwa ikiendelea kunyesha. Hongera sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya...
0 Reactions
Replies
Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiongoza Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano, leo Aprili 26, 2024 ambapo Marais na viongozi kutoka nchi mbalimbali za Afrika...
1 Reactions
17 Replies
732 Views
Leo, Watanzania wote tunasherehekea kwa furaha na amani tele ya miaka sitini (60) ya Muungano wetu. Jimbo la Musoma Vijijini lilikua na ratiba ya siku kadhaa za kupanda miti na kufanya usafi...
1 Reactions
1 Replies
55 Views
MJANE wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume, Fatma Karume amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar haujawaathiri Wazanzibari. - Alisema hayo nyumbani kwake Maisara visiwani Zanzibar wakati...
0 Reactions
1 Replies
569 Views
Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara . Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa...
2 Reactions
33 Replies
1K Views
  • Redirect
Ndugu zangu Watanzania, Jana hapa nilileta andiko langu nikasema kuwa nimefanya uchunguzi wa kina sana tena sana wa kuchunguza watu hawa wawili kati ya yule komandoo aliyekuwa kiongozi wa kikosi...
1 Reactions
Replies
Views
HISTORIA: TUMJUE "MZEE WA RUKHSA" RAIS MSTAAFU ALI HASSAN MWINYI Ali Hassan Mwinyi alizaliwa tarehe 8 mwezi wa tano (Mei) mwaka 1923 katika kijiji cha Kivure, wilayani Kisarawe ,mkoa wa Pwani...
2 Reactions
77 Replies
48K Views
Nimemsikiliza sana Godbless Lema Nimemsikiliza sana Mrisho Gambo Nimemsikiliza sana Ole sabaya Pia nimemsikiliza Albert Chalamila Kuna kila dalili Watanzania wameanza kuamka Maneno mazito ya...
3 Reactions
15 Replies
843 Views
Vetting ya viongozi wa Zanzibar na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania bara inafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hii ni sehemu ya mfumo wa Muungano kati ya...
0 Reactions
5 Replies
100 Views
Japo nina ushahidi wa kutosha kuhusu kilichofanywa na majasusi hasa kwenye kura za urais lakini naomba nisizungumzie uchakachuaji kabla ya kuzungumzia udini. Ni dhahiri wengi wamempigia kura Dr...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mrisho Gambo ameongoza maandamano ya madiwani, wenyeviti wa mitaa na watendaji wa kata. Kwa ufahamu wangu watendaji wa kata ni watumishi waajiriwa wa serikali kama walivyo waalimu sambamba. Je...
4 Reactions
6 Replies
322 Views
Haya wadau wa CCM ughaibuni na vijimatawi vyenu uchwara mko wapi? Mbona kimyaaaa? Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Leo asubuhi nimecheck TBC1, kinana anasema 'kupanuka kwa demokrasia na kuongezeka kwa uelewa wa mambo ya siasa katika jamii' ni baadhi ya sababu ya ccm kupoteza viti vingi ukilinganishwa na mwaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
katika jamii iliyo makini kuna sababu kwa Basil Mramba KUWAOMBA RADHI WATANZANI Kwa kauli yake ya kusema NDEGE ya raisi lazima Inunuliwe hata mkila NYASI Heri angesema tule majani maana hata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…