Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tunajua nyie mmeshika mpini sisi tumeshika makali tunaomba sasa mwachieni Balozi Polepole tunaomba sana mwachieni Tundu Antipas Lissu hawa ni watanzania wenzetu tunapkosana na kukosea tujifunze...
2 Reactions
6 Replies
160 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kesho Mei 2 ataongea na Watanzania Makao Makuu ya chama saa sita kamili mchana! Kaa tayari kusikia atachokisema
6 Reactions
21 Replies
418 Views
MEI MOSI 2026📌 💡Rais amesema: “Ni wajibu wetu sote kushirikiana, kuaminiana na kutanguliza maslahi ya Taifa. Tuendelee kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na weledi ili kujenga uchumi imara na...
2 Reactions
3 Replies
151 Views
Sote tunajua dawa ya deni ni kulipa, kukaa na kujisifu bado unakopesheka sio sifa ni upumbavu Au kwa kuwa bond umeweka nyumba ya jirani wewe halikuhusu kwamba jirani atalilipa so wewe kazi yako...
5 Reactions
4 Replies
116 Views
Inadaiwa kwamba ndiye aliyekuwa Mgombea mwenza wa kilichoitwa Uchaguzi wa Urais wa Oktoba 29 kwa ticket ya NCCR MAGEUZI, Maana yake alikuwa mwanachama wa chama hicho Zaidi ya hapo hatujui LOLOTE...
7 Reactions
25 Replies
783 Views
Kijana au mzee mwenye uelewa mpana aje hapa atueleze ni kwavipi Tanzania inaweza kujiendesha bila madeni /mikopo na kutegemea nchi nyingine azingatie Takwimu hizi 1. Idadi ya watu milion 67+ 2...
5 Reactions
19 Replies
259 Views
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Rwanda, Paul Kagame leo Mei 3, 2026. Rais Samia amezungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Hakuna uchaguzi halali uliofanyika ile Oktoba 29 mwaka jana. Kwa mara ya kwanza tumeshuhudia rais wa taifa letu akiapishwa na Wanajeshi kwenye viwanja vya jeshi. Wananchi mpaka sasa wameichukia...
5 Reactions
8 Replies
307 Views
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais wa Rwanda, Paul Kagame leo Mei 3, 2026 ambapo amebainisha kuwa mazungumzo yalifanyika yaliyohusisha pia...
0 Reactions
1 Replies
185 Views
Maandamano hayo ya amani ya kitaifa, yazilaani AZAKI na vyama vya siasa ambavyo kwa makusudi kabisa, vilishiriki kuhamasisha na kuchochea fujo na maafa yaliyotokea Oct.29.2025. Lakini pia...
1 Reactions
2 Replies
126 Views
Mh. Spika Refa kutoka Kenya Alichezesha vizuri na fainal ya Simba na Yanga kila mtu ameridhika. Je hatuoni ni wakati sahihi sasa kuleta pia wageni katika nyanja mbalimbali kama Urais, Uwaziri...
11 Reactions
12 Replies
386 Views
Natoa wito kwa walimu Tanzania nzima kujiunga na Chadema na kuchukua kadi na kuichangia Chadema kwa gharama yoyote. Haina maana walimu kuwa tunakatwa pesa nyingi kuichangia CWT wakati ni kibaraka...
2 Reactions
5 Replies
209 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Wa Kenya Mheshimiwa William Rutto Anatarajiwa kuwasili Nchini kwa ziara ya kikazi Kwa Mualiko Maalumu Wa Rais wetu Mpendwa na Mbeba Maono wa Taifa letu Mheshimiwa...
1 Reactions
15 Replies
270 Views
George Michael Uledi. May 2,2026.10:30 AM Jana May Mosi kurasa rasmi za Chama na zile za makada wa Chadema zilibeba "dhihaka,kashfa na uzandiki" dhidi ya Serikali na hoja kubwa ilikuwa kwanini...
2 Reactions
9 Replies
232 Views
Ndugu zangu Watanzania, Siku ya kesho CCM inakwenda kuzungumza na Taifa na kutoa muelekeo wa masuala mbalimbali Kitaifa na Kimataifa. Ambapo kupitia Muenezi wake Taifa Mheshimiwa Sana Kenani...
2 Reactions
10 Replies
216 Views
Matukio mbalimbali katika Ziara ya Kikazi ya Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 03 Mei, 2026. Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame akizungumza na...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Tugawane nchi katikati mikoa 13 kila upande ili kila mtu aishi kwa amani anapopenda, CCM wabaki na kipande chao (pamoja na Zanzibar)waishi kwa hii katiba yao na mifumo yao ya maisha , majeshi yao...
34 Reactions
104 Replies
2K Views
"Serikali imeratibu upatikanaji wa fursa za ajira nje ya nchi, na vijana wa Kitanzania 7,593 tumewapatia ajira. Mwisho wa kunukuu. Hayo ameyasema Samia Suluhu Hassan katika Maadhimisho ya Siku ya...
14 Reactions
34 Replies
565 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Rwanda zimefikia makubaliano ya kuondoa vikwazo visivyo vya kikodi pamoja na changamoto nyingine za...
0 Reactions
3 Replies
148 Views
Wanabodi, Watch TBC live,mapokezi ya Rais Paul Kagame wa Rwanda,(Paulo Mrefu) Paskali Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wake Rais wa Jamhuri...
0 Reactions
14 Replies
494 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…