Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, amesema; "Tume imeshindwa kabisa kusema chochote juu ya nani aliwaua...
1 Reactions
4 Replies
203 Views
Nafikiri watu wengi mnakumbuka yule mwandishi wa habari miaka ya themanini na tisini marehemu stan Katabaro,alikuwa ni mwandishi mahiri kwa miaka ya leo hana tofauti na Saed Kubenea,Johnson...
16 Reactions
209 Replies
37K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo (Bara), Isihaka Mchinjita, amesema msimamo wa Kamati Kuu ya chama hicho kuendelea kuikataa rasmi Ripoti ya Tume ya Jaji Chande, akidai kuwa imeundwa...
0 Reactions
0 Replies
129 Views
Makamu Mwenyekiti wa ACT wazalendo Bara, Isihaka Mchinjita akizungumza na waandishi wa habari leo Mei 4, 2026, ameeleza kuwa tume ya kuchunguza matukio ya wakati na baada ya uchaguzi Mkuu 2025...
0 Reactions
0 Replies
126 Views
Hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha,ndo ninavyoweza kusema kwani hata kipindi akina Nyelele wanapigania uhuru baadhi ya Watanganyika waliwaona kama wana fujo kwani walikuwa wananufaika na uwepo wa...
4 Reactions
12 Replies
261 Views
https://youtu.be/G7NseGbdVVM Kamati Kuu ya ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao cha dharura kilichofanyika jana tarehe 03 Mei, 2026 katika Ukumbi wa Hakainde Hichilema uliopo katika Jengo la...
2 Reactions
4 Replies
198 Views
  • Redirect
Inawezekana hili hulijui na ndio maana nimekusanua, nafahamu kwamba una mipango mingi sana ya Ulaya na Marekani, Makonda atakuponza uonekane ndiye unafadhili Mauaji anayofanya Jiepushe na Mtu...
0 Reactions
Replies
Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa wito kwa Jaji Mkuu wa Tanzania kuelezea umma sababu kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu kutopangiwa tarehe ya...
2 Reactions
27 Replies
801 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2026/27, leo Mei 04, 2026
0 Reactions
2 Replies
134 Views
CCM imepagawa na uchaguzi mkuu mwakani.. Bado haijiamini licha ya kufanya maandalizi mengi ya mbinu chafu kushinda CCM na viongozi wake wote wanatambua hawapendwi kabisa Tanganyika na huko...
27 Reactions
66 Replies
19K Views
Ukisoma vizuri Katiba utaelewa ninachosema Mfumo wa vyama vingi (Ibara ya 10 ya Katiba) unaruhusu vyama kushiriki uchaguzi, lakini chama kinachoshinda ndicho kinaunda serikali. Rais, akiwa...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Natoa angalizo. Haya yanayoendelea ni dalili mbaya sana. Public figure internationally kama Tundu Lissu analetwa mahakamani kimya kimya! Ifunguliwe kesi Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu...
16 Reactions
52 Replies
803 Views
“Ezulwini Palazzo” is the newest luxury and biggest tourism attraction infrastructure constructed by a company under Inyatsi Group after being contracted by the Eswatini Government. South African...
1 Reactions
0 Replies
133 Views
Kama ilivyo ada hapa jamvini kupashana habari moto moto zinazojiri nchini, leo kuna mabadiliko mapya kwenye moja ya Taasisi nyeti za Serikali. Taarifa iliyotolewa leo Tarehe 3 Mei, 2026 na...
2 Reactions
8 Replies
353 Views
Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe. Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai...
4 Reactions
25 Replies
752 Views
Kwanza nakupongeza kuandaa concert ya maana kwa ajili ya MwanaChadema Prof Jay. Nilikuwa nije Dar ili niweze kuhudhuria . Kuna dharula ilitokea na nikafika dar nimechelewa sana. Hivyo sikuweza...
6 Reactions
5 Replies
316 Views
Ukitafakali kwa undani Mwenyezi Mungu hana muda wa kuhangaika na mambo ya duniani, yeye ni Mtakatifu ktk Mambo ya Mbinguni tu. Hahangaiki na mambo ya ulimwengu huu, uki mess up imekula kwako...
16 Reactions
137 Replies
2K Views
Wamekutana wauaji wanapongezana Regional despots are sanitizing each other, we'll fight on. It's still an illegitimate regime.
2 Reactions
0 Replies
100 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…