Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kipande cha Barabara cha Town Clinic ni Kibovu tangu nahamia Tabora Mwaka 2019. Ni Kipande ambacho hata Mita 100 hakifikishi, ndicho kinachoingia Salmini, sehemu Muhimu kiuchumi, Diwani wa eneo...
3 Reactions
4 Replies
520 Views
Jiji la Mwanza ni ushahidi tosha kwamba hata uhujumu vipi, kama imeandikiwa itatokea tu, jinsi wanavyotumia nguvu kubwa kulihujumu ndiyo linavyopaa zaidi kimaendeleo! Ukiacha Serikali ya awamu ya...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Mahakama kuu chini ya mtendaji mkuu wa Mahakama bwana Olisante Ole Gabrieli zaidi ya Mwaka sasa ameshindwa kuwalipa wajasilia Mali ambao wamewauzia matofali zaidi ya elfu arobaini ambayo...
0 Reactions
1 Replies
483 Views
Eti wakuu sana. Haiwezekani kwa serikali kuingia mikataba na wauzaji huko na wadeni wetu ili tuwalipe kwa dhahabu? Maana suala la dola ni mtihani, huko wakishindwa kupandisha silingbodi la madeni...
0 Reactions
0 Replies
455 Views
Kurudisha wabunge kama hawa bungeni basi sio swala tena la kushangaza bali litakuwa la kipuuzi kabisa. Watu wazima tena waheshimiwa wanaona mbunge jasiri Luhanga Mpina anawatetea wakulima na...
15 Reactions
48 Replies
4K Views
Lisemwalo lipo ni msemo wa wahenga. Niliwahi kuandika hapa jamvini kuwa jimbo la Mbeya linarudi kwa CHADEMA. Watu walinibeza hasa wale UVCCM. Nilijua kuwa wana Mbeya hatumtaki kabisa Tulia na...
25 Reactions
90 Replies
5K Views
HOTUBA YA WAZIRI KIVULI WA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI-ACT WAZALENDO NDG. MTUTURA ABDALLAH MTUTURA KUHUSU MPANGO WA BAJETI WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/24. Utangulizi...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
MHE. MARY MASANJA - MUUNDO WA JESHI LA UHIFADHI UNAFANYA KAZI VIZURI Serikali imesema Taasisi za Uhifadhi nchini zimeendelea kutekeleza majukumu yake ipasavyo kufuatia muundo wa sasa wa Jeshi la...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Yawezekana Rais wa awamu ya sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, uongozi wake ukawa ndio uongozi ambao umetoa mwanya kwa kila kiongozi wa ngazi yoyote ile kuonyesha uwezo...
0 Reactions
2 Replies
953 Views
Na Bwanku M Bwanku. Leo Alhamisi Mei 04, 2023 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ni mgeni rasmi na atafungua mkutano wa Mawaziri wa Michezo wa Baraza la Michezo...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumza kwa njia ya "video" na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Michezo katika Kanda ya IV ya Afrika (AU Sports Council of Ministers Meeting – Region IV)...
0 Reactions
2 Replies
811 Views
Hatua ya Rais Samia Suluhu kutoweka wazi kiwango cha nyongeza za mishahara ya wafanyakazi katika siku kuu ya Mei Mosi imewaibua wachambuzi wa Siasa na uchumi, ambao wanaona kwamba hatua hiyo...
1 Reactions
0 Replies
464 Views
Abdul Nondo amesema hakuna mtu mwenye Hati miliki ya Jimbo hivyo 2025 atakwaana na boss wake Zitto Kabwe Kwenye kura za Maoni ACT Wazalendo kugombea Ubunge Kigoma mjini Sasa ndugu zangu wa...
6 Reactions
33 Replies
2K Views
MHE. HAMAD CHANDE (NAIBU WAZIRI FEDHA) - BAJETI ZITAZINGATIA JINSIA Serikali imeeleza kuwa Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya mwaka 2023/24 umetoa maelekezo kwa Maafisa Masuuli...
0 Reactions
0 Replies
450 Views
MILIONI 16 ZACHANGIA UJENZI WA ZAHANATI 13 JIMBO LA BAHI, DODOMA Mbunge wa Jimbo la Bahi Mhe. Kenneth Nollo tarehe 03 Mei, 2023 alifika Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe kwa lengo la kutembelea...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu imeendelea na juhudi mbalimbali za kuhamasisha na kuvutia uwekezaji nchini. Akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara...
0 Reactions
0 Replies
407 Views
Serikali ya awamu ya 6 inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan inazidi kuboresha huduma za afya kwa wananchi na kuanzia sasa akina mama wajawazito wanaofika kwenye kliniki za uzazi na zile za...
2 Reactions
2 Replies
629 Views
Mimi ni miongoni mwa walioamini kwamba Kambaya ameingia Chadema kwa Malengo maalum, na nilitarajia kwamba baada ya muda fulani atarudi alikotoka, sema sikudhani kwamba ataondoka haraka namna hii...
19 Reactions
48 Replies
3K Views
Watanzania tulio wengi kwa Imani kubwa tulimchagua Shujaa Magufuli 2015 kuwa Rais wetu Uchapa kazi wake ukasababisha CCM ishinde Majimbo ya Uchaguzi kwa 99% na ndio Wabunge aliotuachia Shujaa...
1 Reactions
6 Replies
524 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…