Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Deogratius Ndejembi, amesema serikali imedhamiria kujenga shule za sekondari katika kata zote nchini awamu ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemuapisha Ridhiwani Jakaya Kikwete kuwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwenye hafla...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Mama Samia leo amefanya utenguzi wa MD MMOJA na Kisha kuvunja bodi nzima ya TRC kwa kile kilichoeleza kuwa ufisadi wa kutisha unofanywa na bodi hyo pmj na md wa wakala za ndege za serekali. Wengi...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji Namshauri tu Waziri wa Fedha awe anafuatilia pia yanayotokea nchi jirani au zinazotuzunguka Hapo Kenya kwa mfano wameishiwa Fedha za mishahara na 60% ya...
14 Reactions
67 Replies
4K Views
Kutokana wizi unaoendelea kwenye halmashauri nyingi, NAPENDEKEZA kwa unyenyekevu mkubwa na kwa HAKI, Waziri Jafo arudishwe TAMMISEM. Kipindi chake alifanya vizuri sn. Haiingii akilini waziri...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Utangulizi: Rais Kikwete alivyopambana na rushwa mpaka kuwafunga mawaziri aliekuwa nao kwenye baraza la mkapa wakasema anawaonea maadui zake wa Siasa wakamuita Nyerere wa kizazi kipya, nchi nzima...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Hizi fedha zilitolewa Kwa ajili ya viongozi wa CCM, wakagawana Kwa mgongo wa kijiji. Hakuna mwana ACT wala CHadema wala chama kingine cha siasa aliyepewa hizi fedha. Zilichukuliwa zikapelekwa...
0 Reactions
2 Replies
435 Views
Last time nilisema Tarakea na Manyovu wanatumia Madaftari kutoa huduma za kuingia na kutoka nchini nikashauri wafanye marekebisho vituo hivi vifanye kazi kama vituo vingine kuleta hadhi Kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi karibuni mbunge Kessy ametoa wazo juu ya Mhe.Raisi apate kuongezewa muda wa kukaa madarakani. Na Mhe.Spika ameridhia na kusema JPM atake asitake ataongezewa muda. Kwa mujibu wa katiba yetu...
8 Reactions
101 Replies
8K Views
Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, imebaini katika Mamlaka 19 za Seri kali za Mitaa, , wanafunzi 23,009 wamekatisha masomo yao shule za sekondari...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Spika Ndugai amesema... Hotuba hii ya Kambi Rasmi ya Upinzani imejaa makosa karibia kila ukurasa, ina matumizi mabaya sana ya jina la Mhe. Rais na kulituhumu Bunge la 11. Nadhani wangeshirikiana...
33 Reactions
215 Replies
32K Views
Mbunge wa Chadema mh Bulaya amesema nchi hii ina ufisadi kila kona kona hivyo Mwezi November Wakati wa kujadili Ripoti ya CAG watawasha moto bungeni Bulaya amesema Yeye na Mwenyekiti wake Halima...
0 Reactions
2 Replies
563 Views
Taifa kuchagua mnyama fulani kama Nembo ya Taifa kuna madhara yake! Taifa hilo litabeba kwa kiasi fulani tabia za huyo mnyama/ndege. Tanzania mnyama wetu ni Twiga, nimefuatilia baadhi ya tabia...
7 Reactions
45 Replies
4K Views
Mbunge wa Sengerema mh Tabasamu amesema Wananchi wangejua Bajeti anayotumia CAG kufanya Ukaguzi halafu ripoti yake inapigwa danadana Pasingekalika Tabasamu amesema kwa mfano CAG akija Sengerema...
9 Reactions
33 Replies
3K Views
Msekwa: Shibuda hamuwezi Kikwete Na Yusuph Katimba Majira 17 October 2009 MIZENGWE ya kurudisha nyuma juhudi za Mbunge wa Maswa, John Shibuda kutaka kukamilisha nia yake ya kumng'oa Rais...
2 Reactions
211 Replies
22K Views
Serikali katika Mwaka huu wa Fedha yaani 2022/23 imetoa vibali vya Ajira 30,000. Maelezo hayo yametolewa na Mh. Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Kama kuna watu walikuwa wanasumbua CHADEMA katika mwonekano wa jamii ni John Shibuda. Huyu bwana alikuwa CCM akatoka na kuingia CHADEMA ili agombee ubunge na CHADEMA ikampitisha na kweli...
8 Reactions
48 Replies
6K Views
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais. Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo...
15 Reactions
328 Replies
32K Views
Mwanza. Wahandisi 40 kutoka Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wametembelea Daraja la Kigongo-Busisi jijini Mwanza kujifunza masuala mbalimbali ikiwemo teknolojia mpya. Teknolojia ya...
12 Reactions
56 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…