Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya...
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo.
Balile...
Mataifa yalioendelea zamani ya huko Ulaya Magharibi, Marekani na China walikuwa wanakopa wapi kujenga miradi ya miundominu yao na kutoa huduma za umma kwa raia wake?
Hayo mataifa wao waliwezaje...
Haiwezekani nchi ambayo Mungu ameipa rasilimali nyingi kiasi hiki lakini wananchi wake ni maskini.
Tanzania ina
1. Ardhi nzuri
2. Madini
3. Gas
4. Misitu
5. Mito na Mabwawa
6. Mbuga za Wanyama...
WIZARA YA ELIMU ZANZIBAR YAKABIDHIWA JUMLA YA VISHKWAMBI 6,600
Na Ipyana Mwaipaja,
WyEST, DSM
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Desemba 22, 2022 imetoa jumla ya vishkwambi 6,600 kwa...
Kwa kipindi kirefu nimefuatilia wakosoaji wa Bwana January Makamba tangu mara tu alipoteuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Wakosoaji wa Mh Waziri wakaanza na tuhuma kuwa huyu Bwana ni mpigaji.
Kwa...
Kutokana na mlolongo wa matukio yanayotokea nchini, nimekuwa nikijiuliza Sana, je kipaumbele Cha CCM, ni kuendelea kubaki madarakani au ni kuwaletea maendeleo watanzania?
Kipaumbele Cha utawala...
Naomba nianze kwa kusema mimi sio mtaalamu wa haya mambo ya ujenzi wa dam za kuzalisha umme na wala sijui chochote kuhusu mambo haya.
Hata hivyo, nina vitu viwili vilivyoniongoza mpaka kuanza...
Yaani Zanzibar wauziwe unit moja ya umeme kwa tsh.130 kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini Zanziber wakati sisi huku bara tunauziwa shilingi 350 na senti kadhaa.
Na wale wataosema...
Ishu vipi wakuu,
Kama swali linavyouliza hapo juu, narudia tena kuuliza. Je, serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaongozwa na kuendeshwa na Rais Samia au Waziri Mkuu Majaliwa...
Maharage Chande bosi wa Tanesco anasema kuwa Kwa kuwa idadi ya watanzania ni milioni 60 basi Mahitaji ya Umeme ni megawatt 60000. Kweli jamani Megawatt 60000 anazijua huyu ama anabwabwaja tu...
Kijana mjinga sana, kakata tamaa, hatumii elimu yake ku-reason, kakata tamaaa, anasifia serikali kila anapopewa nafasi kutoa mchango wake. Je, ni msemaji wa serikali?
Ana nafasi gani ndani ya...
David Kafulila aliwahi kusema wakati ule wa Magufuli kwamba agenda ya kupambana na ufisadi imehama, kwa maana kwamba imetoka Chadema na kwenda CCM. Kwa sasa nadhani na huko imeshahama! haipo tena...
Mijadala mingi humu JF ni ya kulalamikia juhudi, mipango na mikakati ya kitaifa inayofanywa na serikali.
Watanzania muda wote tunajiona tuko ktk taifa la hovyo na lisilo na jambo jema lolote...
Nichukue nafasi hii kumsihi Mkuu wa wilaya ya Uvinza awe na busara anapojaribu kutatua mgogoro huu wa ardhi maana namuona anapendelea sana upande mmoja tena ni kama anajaribu kuichonganisha...
Kwa sasa ni wazi kuna hujuma kubwa ya ujenzi ya uwanja wa ndege wa Mwanza. Nimebahatika kupitia pale kama raia na mlipa kodi wa nchi hii na kuangalia ujenzi ulivyo jengo lile ni kiwango cha chini...
Kila mzazi ana jukumu la kumpunguzia hali ya kusota mtoto wake kwa kumuandalia mazingira wezeshi, nami nataka niende extra mile ya kujaribu apate uraia wa Zanzibar.
Kwa ninachokiona ni wazi...
BUNGE jana limeibua Kashfa ya upigaji wa zaidi ya trilioni 1.5 kwenye mradi wa bwawa la nyerere lakini tangu jana tuhuma hizo zimeibuliwa bungeni na mbunge wa kisesa, luhaga mpina nilitegemea zito...
Haya hapa ni madhila barabarani yakiwahusisha wale vinara wa kutuasa kuhusiana na ajali barabarani:
Miili ya wanandoa wapya kuzikwa leo Mbeya
Kwanini kama nia ni njema hatujifunzi kutoka kwa...