ANGELINA MALEMBEKA ASHANGAZWA ASKARI USALAMA BARABARANI KUJIFICHA
Agelina Malembeka, Mbunge wa Viti Maalum
Mbunge wa Viti Maalum Angelina Malembeka akichangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya...
SINTOFAHAMU YA ZUIO LA USAJILI WA POLYCLINICS (KLINIKI ZA KIBINGWA) MPYA KATIKA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF): WAZIRI UMMY MWALIMU ATOE MAJIBU KWA WADAU
Kumekuwa na kilio cha Wadau...
Nimefuatilia kikao cha waziri mkuu leo na wafanyabishara kuhusu mgogoro wa kariakoo nimesikitika sana.
Licha ya kwenda na Mawaziri na Timu ya wataalamu wa Wizara mbalimbali ameshindwa kutatua...
SHINA NO 7 - KISING’A -IRINGA
Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo leo tarehe 30 Mei 2023 amepokelewa na wananchi pamoja na wanachama wa CCM kata ya Kising’a Jimbo la Isimani Shina No 7 kwa...
Prof Issa Shivji anasema Tunakopa zaidi na zaidi Ili tulipe madeni tuliyolimbikiza hii inaitwa Mtego Deni au Debt trap
Prof Shivji anasema hii ni aina mpya ya Utumwa
Shivji anasema Utumwa ni...
Naomba nikiri, Mimi ni mrahibu wa GAZETI Ili Kila linapotoka lazima nilinunue na pale nikutapo kasoro uwa naumia.
Nielezee Kwa Nini naumia.
Kwanza wakati nimemaliza shule Ili GAZETI ndo ilikuwa...
Katibu Mkuu wa CCM Komredi Chongollo amepiga marufuku mkoa wa Iringa kuwa chimbuko la Wadada wa Kazi (House girls) nchini.
Chongollo anesema wasichana wa mkoa wa Iringa waachwe wajiendeleze...
Kasema leo, Dar ni jiji la biashara, wasiopenda kelele waende Dodoma, watu watafute pesa, wale bia, mziki mnene. Maana wanachangia maendeleo ya jiji.
==========
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam...
Je, ni sahihi na halali Chadema kutufundisha Katiba mpya iweje?
Kwani Msingi wa Katiba ni nini?
Ninavyofahamu duniani kote Katiba mpya zililetwa na Nguvu ya Umma Siyo na Watawala.
Mungu ni Yule...
Ifike wakati Watanzania tutoe amri kwa watawala kwamba kama hakuna katiba mpya, hakuna uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2024, wala uchaguzi mkuu mwaka 2025.
Nchi hii ni ya Watanzania...
Habari JF,
Hayati mwalimu Nyerere, JPM na sasa Ruto hawatofautiani sana mitazamo yao kuhusu Mabeberu.
Tazama hii clip kuna vitu vingi utajifunza vilivyo tokea na vinavyotokea sasa kama Msamaha...
MARTHA FESTO MARIKI AITAKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI KUBORESHA MAKAZI YA POLISI NA MAGEREZA
"Katika Mkoa wa Katavi katika Jeshi la Zimamoto tuna takribani zaidi ya miaka 12 hatuna gari la...
Kuna mambo mengine huwa yanakera sana!! Kama Rais Samia anaamini kwa dhati IMANI ya CCM kuwa binadamu wote ni sawa na kuwa kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake...
Habari JF,
Kwa wanasheria Kwa kuangalia hili la Kuondoka kwa Membe.
Hivi Mimi kama nimechafuliwa nikafungua kesi nikashinda ikabidi nilipwe fidia .lakini Kwa Bahati mbaya nikafariki
Je, ile...
Picha: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Yusuf Masauni
SERIKALI imelieleza Bunge kuwa hairuhusu uraia pacha kwa watu wazima isipokuwa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 18.
Waziri wa...
Gazeti la Jamhuri toleo la leo limebebwa na habari kubwa ya wizi ulioripotiwa na Mkaguzi wa Serikali Kuu yaani CAG wa Taifa la Zanzibar dhidi ya fedha zilizotafutwa na Raisi wa Jamhuri wa Tanzania...
Hii ndio taarifa mpya kwa leo inayoletwa kwenu Wananchi wote na Dunia nzima, ni kwamba tangu kuanzishwa kwa Oparesheni hii ambayo ilianzia Kigoma, hakujawahi kutokea Umati mkubwa kama huu...
Uhuru wa kuzungumza ni muhimu katika mfumo wa kisiasa wa demokrasia. Demokrasia ni mfumo wa kisiasa unaowezesha wananchi kushiriki katika uchaguzi na kuwa na sauti katika maamuzi ya serikali...
Waziri Ummy kasema amekufa mtu moja na over 30 wamejeruhiwa.
Unategemea kweli wakifa watu wengi aseme ukweli?
Jawabu ni independent verification ambaypo haifungamani na serikali.
All in all...