Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika anesema amepokea Barua Kutoka kwa Msajili wa vyama vya Siasa Jaji Mutungi ikiwaalika kushiriki Mkutano wa kuratibu Katiba Mpya
Mnyika amesema Serikali imeamua...
Naomba tu kuelimishwa namna Mgombea uRais wa Zanzibar anavyopatikana hapo Chadema
Itatusaidia na itamsaidia yule balozi Karume kule Mifenesini
Ahsante!
Pia soma > Lissu: 2020 Chadema tulifanya...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Mbowe anesema ukiondoa Wafanyabiashara wachache, Watanzania walio wengi hawajui thamani ya kodi zao.
Wengi hawajui hata kama wanalipa kodi ndio sababu fedha...
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema reli ya kisasa (SGR) haitokosa umeme wala kukwama kufanya kazi kwa sababu ya kukatika au kutokea hitilafu katika miundombinu ya umeme.
Kauli hiyo...
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dr Philemon Senguti anakwamisha uwekezaji wa ndani
Bunge liliagiza Wakulima wa Dengu kuhuza dengu katika Soko huria ( Free Market) Nje ya Mfumo wa AMCOs lakini cha...
Kama tulisharuhusu Wanasiasa katika level fulani wawe na Kinga ya kutoshtakiwa leo tunalalamika nini?
Tuache double standard Wanasiasa kwa sababu kinachawakinga Nyie ndio kinawakinga na Wale pia...
Mnakumbuka siku Rais alikutana na Mawaziri Wakuu wastaafu? Walisimama kuongea machache, Lakini kilichonishtua kwenye mkutano ule ni kauli ya Sumaye ya kusema nimehamia Chadema kwa faida ya CCM...
Amani iwe juu yenu Watanzania wenzangu!
Nimeitafakari vya kutosha nchi yangu mpaka hapa ilipo. Hakuna awezae kuzuia kifo isipokua ni Mungu pekee, raisi wangu mama yetu ameingia madarakani...
Siasa za nchi hii zimekuwa za kijinga sana aisee mbaya zaidi hata wananchi wenyewe wamekuwa kama mbwa koko hawawezi kuuma yaani wapowapo yaani hawana hili wala lile kila uchwao kulalamika tu bila...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 37 leo Mei 31, 2023.
Kuanzishwa kwa Benki ya Vijana ya wajasiriamali
Serikali imesema ipo kwenye hatua ya kuandaa mkakati wa...
Kuna mengi yanasemwa kuhusu chama cha walimu na isivyo bahati kati ya hayo mengine ni hasi. Siku ya mei mosi 2023 katika uwanja wa Jamhuri Morogoro wale wenye hasi wangeweza kujibiwa na wimbo wa...
KUMBUKUMBUYA KIFO CHA JPM KWA UPANDE WANGU.
Ilikuwa saa 5 usiku 17 March 2021. Nilikuwa ndani ya kuta za gereza la Ruanda mkoani Mbeya selo namba 16. Nikasikia kelele nyingi selo zingine...
Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo mzee Juma Duni Haji amesema endapo Wapinzani hawataamka kutoka usingizini na kuungana basi CCM itaendelea kutawala kwa zaidi ya miaka 100 ijayo.
Mzee Duni amesema...
Hebu angalia watu kama akina mpina wanadhulumi ardhi waziwazi halafu waandishi wanazuiwa kuhoji chochote na ukihiji unapotezwa. Leo wananchi wameandamana kwamba walidhulumiwa enzi ja jpm.
Makonda...
Mama kwa kifupi hatua unazochukua katika kilimo sina uhakika na zote lakini hili la kufungua masoko ya nje ni mwarobaini wa kilimo.
Kilimo cha Tanzania kilidumaa kwa sababu ya upofu wa viongozi...
Akizungumza kwenye Oparesheni ya chama chake inayoitwa 255 ambayo sasa iko Mkoa wa Katavi Tundu Lissu, amedai kwamba amepewa Taarifa ya kupelekwa Muswada wa marekebisho ya sheria ya Usalama wa...
Wakuu kwa miaka ya hivi karibuni Nchi ya Zambia Imekuwa Inaleta Sana chokochoko na usumbufu kwenye issue ya kufanya biashara na Tanzania.
Mara Wazuie Malori yetu,Mara waseme yamebeba...
Chama Tawala Nchini Turkiye Cha AK Kimeshinda wingi wa Ubunge na kupata Nguvu ya uamzi huku Wapinzani wao wa CHP wakiambulia viti vichache.
Awali kwenye uchaguzi Mkuu Rais Erdogan aliongoza Kwa...
Vi Wapi vyama vya kitaaluma?
Kuna sheria mbovu na ya ajabu inazunguka kwenye mitandao yetu hapa Tanzania Yaani HII ya mabadiliko ya sheria ya Usalama wa Taifa mi wapi wanasheria?
Yaani mswada...
Hata kihistoria tu Wazanzibari wamefanya mambo mengi makubwa katika nchi yao kuliko Watanganyika
Akili ya Wana wa Israel ni kuulinda Utaifa Wao popote pale Duniani na Ndivyo ilivyo kwa...