Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kila mwaka wakati wa sikukuu hasa za mwisho wa mwaka LATRA huongeza usimamizi kwa mabasi ya kusafirisha abiria ikihusisha usimamizi wa nauli halali. Hiki kipandi ni cha chini ya wiki tatu kati ya...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri, Deodatus Balile amesema yuko tayari kufa lakini hatoacha kuendesha mapambano ya kulinda Mto Ruaha dhidi ya wakulima na wafugaji walioko kwenye eneo hilo. Balile...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Mataifa yalioendelea zamani ya huko Ulaya Magharibi, Marekani na China walikuwa wanakopa wapi kujenga miradi ya miundominu yao na kutoa huduma za umma kwa raia wake? Hayo mataifa wao waliwezaje...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Haiwezekani nchi ambayo Mungu ameipa rasilimali nyingi kiasi hiki lakini wananchi wake ni maskini. Tanzania ina 1. Ardhi nzuri 2. Madini 3. Gas 4. Misitu 5. Mito na Mabwawa 6. Mbuga za Wanyama...
11 Reactions
35 Replies
2K Views
WIZARA YA ELIMU ZANZIBAR YAKABIDHIWA JUMLA YA VISHKWAMBI 6,600 Na Ipyana Mwaipaja, WyEST, DSM Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia leo Desemba 22, 2022 imetoa jumla ya vishkwambi 6,600 kwa...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwa kipindi kirefu nimefuatilia wakosoaji wa Bwana January Makamba tangu mara tu alipoteuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Wakosoaji wa Mh Waziri wakaanza na tuhuma kuwa huyu Bwana ni mpigaji. Kwa...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Kutokana na mlolongo wa matukio yanayotokea nchini, nimekuwa nikijiuliza Sana, je kipaumbele Cha CCM, ni kuendelea kubaki madarakani au ni kuwaletea maendeleo watanzania? Kipaumbele Cha utawala...
10 Reactions
51 Replies
2K Views
Naomba nianze kwa kusema mimi sio mtaalamu wa haya mambo ya ujenzi wa dam za kuzalisha umme na wala sijui chochote kuhusu mambo haya. Hata hivyo, nina vitu viwili vilivyoniongoza mpaka kuanza...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
Yaani Zanzibar wauziwe unit moja ya umeme kwa tsh.130 kama alivyoeleza Waziri wa Nishati na Madini Zanziber wakati sisi huku bara tunauziwa shilingi 350 na senti kadhaa. Na wale wataosema...
11 Reactions
48 Replies
5K Views
Sina mengi yakusema, ila siwaoni siku hizi popote pale maana walikuja kwa mbwembwe. NB: Sina chama ila siipendi CCM na serikali ya Tanzania.
3 Reactions
50 Replies
4K Views
Ishu vipi wakuu, Kama swali linavyouliza hapo juu, narudia tena kuuliza. Je, serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaongozwa na kuendeshwa na Rais Samia au Waziri Mkuu Majaliwa...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Maharage Chande bosi wa Tanesco anasema kuwa Kwa kuwa idadi ya watanzania ni milioni 60 basi Mahitaji ya Umeme ni megawatt 60000. Kweli jamani Megawatt 60000 anazijua huyu ama anabwabwaja tu...
0 Reactions
0 Replies
379 Views
Kijana mjinga sana, kakata tamaa, hatumii elimu yake ku-reason, kakata tamaaa, anasifia serikali kila anapopewa nafasi kutoa mchango wake. Je, ni msemaji wa serikali? Ana nafasi gani ndani ya...
4 Reactions
7 Replies
827 Views
David Kafulila aliwahi kusema wakati ule wa Magufuli kwamba agenda ya kupambana na ufisadi imehama, kwa maana kwamba imetoka Chadema na kwenda CCM. Kwa sasa nadhani na huko imeshahama! haipo tena...
2 Reactions
4 Replies
408 Views
Mijadala mingi humu JF ni ya kulalamikia juhudi, mipango na mikakati ya kitaifa inayofanywa na serikali. Watanzania muda wote tunajiona tuko ktk taifa la hovyo na lisilo na jambo jema lolote...
-1 Reactions
0 Replies
328 Views
Nichukue nafasi hii kumsihi Mkuu wa wilaya ya Uvinza awe na busara anapojaribu kutatua mgogoro huu wa ardhi maana namuona anapendelea sana upande mmoja tena ni kama anajaribu kuichonganisha...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa sasa ni wazi kuna hujuma kubwa ya ujenzi ya uwanja wa ndege wa Mwanza. Nimebahatika kupitia pale kama raia na mlipa kodi wa nchi hii na kuangalia ujenzi ulivyo jengo lile ni kiwango cha chini...
9 Reactions
28 Replies
4K Views
Kila mzazi ana jukumu la kumpunguzia hali ya kusota mtoto wake kwa kumuandalia mazingira wezeshi, nami nataka niende extra mile ya kujaribu apate uraia wa Zanzibar. Kwa ninachokiona ni wazi...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
BUNGE jana limeibua Kashfa ya upigaji wa zaidi ya trilioni 1.5 kwenye mradi wa bwawa la nyerere lakini tangu jana tuhuma hizo zimeibuliwa bungeni na mbunge wa kisesa, luhaga mpina nilitegemea zito...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Haya hapa ni madhila barabarani yakiwahusisha wale vinara wa kutuasa kuhusiana na ajali barabarani: Miili ya wanandoa wapya kuzikwa leo Mbeya Kwanini kama nia ni njema hatujifunzi kutoka kwa...
0 Reactions
4 Replies
437 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…