Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu wa CHAUMMA Salum Mwalimu akizungumza leo amesema kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi inapaswa kutoa ufafanuzi zaidi kuhusu sababu zinazochangia vitendo hivyo vya utekaji ikiwa ni pamoja...
1 Reactions
4 Replies
264 Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemtaka Naibu Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Evaline Munisi kusimamia kwa karibu masuala ya haki za...
1 Reactions
2 Replies
150 Views
Uchumi wa maeneo mengi ulidorora pakubwa. Biashara zilifungwa, mapato yalipungua na ajira nyingi zilipotea. Tume ilibaini kuwa uharibifu wa miundombinu ulisababisha hasara kubwa ya kiuchumi kwa...
2 Reactions
2 Replies
101 Views
SERIKALI ya Awamu ya Sita imeendelea kufanya mageuzi makubwa katika utumishi wa umma baada ya kupandisha madaraja watumishi 219,042 pamoja na kuongeza mishahara kwa asilimia 35.1, hatua inayotajwa...
2 Reactions
5 Replies
196 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amevunja ukimya kuhusu mazungumzo yanayoendelea baina ya chama chake na ACT Wazalendo kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa...
4 Reactions
3 Replies
196 Views
Tuwaambie tu CCM mitaa imewakataa sanaa! Mmeifanya nchi kuwa ngumu sana mambo ya hovyo yamekuwa mengi sana, maisha yamepanda yani yamezidi kuwa magumu Ila wenzetu nyie mnakula raha tu...
2 Reactions
8 Replies
356 Views
Yaani itakuwa kupanda cheo jeshini, usalama, polisi ni lazima uwe kada na uteuzi utafuata makada kwanza ndiyo tunapoenda. Hii ni kwasababu CCM imeishiwa njia nyingine zote za kushindani kwa hoja...
5 Reactions
6 Replies
189 Views
Hakuna hata idara yeyote inayo aminika imepongeza ripoti fake ya judge Chande. Ni mbaya kiasi kwamba imewaharibia hata washikiri wake kuaminika kimataifa hasa Sefue na Mwema wamekuwa wanajificha...
7 Reactions
4 Replies
210 Views
Hivi Rais hajaweza kupata fursa ya kuzungumza na Tundu Lissu aliotembelea gereza la ukonga!?
2 Reactions
21 Replies
505 Views
  • Featured
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma iamuru apelekwe Dodoma kwa ajili ya kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa...
8 Reactions
28 Replies
2K Views
Wote wenye akili tunajua kwamba tume ya Samia iliyokuwa chini ya uenyekiti wa jaji mkuu wa zamani [sielewi hata huo ujaji mkuu aliupataje], ilikuwa si tume bali ni geresha tu. Ila, hebu...
31 Reactions
41 Replies
866 Views
Wakazi wa Kimanga, Dar es Salaam, wataanza kukumbana na adha ya usafiri kuanzia kesho baada ya wamiliki wa daladala zinazotoa huduma katika barabara hiyo kutishia kuanza kugoma. Hatua hiyo...
0 Reactions
5 Replies
181 Views
Sikiliza kipindi cha Live on viusasa.com citizen Tv Bana anasema Samia alikuwa sawa kufanya aliyoyafanya October 2025, 29th!
2 Reactions
10 Replies
229 Views
Za ndaani Kabisa na kutoka kwenye Chanzo sahihi ! Katibu Mkuu wa Chama Fulani ambacho kinatumia mabavu kuwa madarakani amezinguana na Boss wake na akaambiwa kuwa ajitafakari Ila kagoma kulingana...
32 Reactions
99 Replies
2K Views
"Busara” za mchungaji Msigwa. Ziite utakavyo lkn kuna sense aliloliandika. Ameandika Mch. Peter Msigwa Historia inaonyesha: mataifa mengi duniani hayakuanguka kwanza kwa sababu ya vita au...
2 Reactions
5 Replies
204 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinalaani vikali uamuzi wa utawala haramu wa Samia Suluhu Hassan wa kuzuia ujumbe rasmi wa Kamati Ndogo ya Haki za Binadamu ya Bunge la Ulaya kutembelea...
5 Reactions
7 Replies
359 Views
Burj Khalifa Builder On Why He Prefers Hiring Indians: "They Answer The Phone Even At 1 am"He noted that many Indian employees remain accessible even at unconventional hours, reflecting a deep...
8 Reactions
13 Replies
460 Views
Hii ikimaanisha, kamwe haiwezekani CCM kushindwa uchaguzi wowote itakaoshiriki hasa kwenye nafasi za kitaifa, na wala kamwe haiwezekani uongozi wake kupinduliwa na vibaraka wa ndani au nje ya CCM...
2 Reactions
7 Replies
181 Views
Nimeona taarifa kuwa Kituo cha PPP-CENTRE kimesema zaidi ya mabasi 150 ya kampuni ya Mofat yameegeshwa kwa zaidi ya miezi sita kutokana na ukosefu wa maeneo ya kutoa huduma, huku mabasi 50 pekee...
2 Reactions
5 Replies
266 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais Samia ndio Tumaini la Wanyonge ,ndiye Kimbilio la waliokata Tamaa ,ndio nuru ya Wanyonge,ndiye kiongozi aliyebeba Matumaini ya watu na ndiye Moyo Wa Taifa hili. Kila...
4 Reactions
31 Replies
411 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…