Kuua Watu elfu 17 ndio umakini?watanzania kaeni mkao wa kula mama ni makini sana
Anamuogopa Tundu Lissu kuliko kifoHivi Rais hajaweza kupata fursa ya kuzungumza na Tundu Lissu aliotembelea gereza la ukonga!?
Kwa taarifa za uhakika kabisa,samia kaongea na lissu mara 2Hivi Rais hajaweza kupata fursa ya kuzungumza na Tundu Lissu aliotembelea gereza la ukonga!?
Yote ni magereza ya mahabusu na wafungwa kwa wakati mmojaSio kwamba Segerea ni Jela kwa waliohukumiwa
Na Keko na Ukonga ni Mahabusu kwa wenye kesi mahakamani
Hivi ni kweli CDM wamwshafika bei /wamekubaki MARIDHIANO???![]()
2.4K views · 705 reactions | MBUZI WAMEAMUA KUZIKILIZA MAHUBIRI YA MUUZA NYAMA ILI WAPATE WOKOVU WA ROHO ZAO | Prosper Kessy
MBUZI WAMEAMUA KUZIKILIZA MAHUBIRI YA MUUZA NYAMA ILI WAPATE WOKOVU WA ROHO ZAOwww.facebook.com
Wapi na wapi?Kwa taarifa za uhakika kabisa,samia kaongea na lissu mara 2
Simba linatosha hata kama liko ndani ya CageAmuone Simba dume kwani yeye haogopi?
Buku 7 ndo make mkao wa kulawatanzania kaeni mkao wa kula mama ni makini sana
Rais Samia mwema sana , alimtembelea Nairobi, alikutana naye Ubelgiji wakati wasaidizi wa ikulu walimwambia ampotezeee akagoma, mwishoni Lisu akamtenda ubaya kwa kumtukana balaaHivi Rais hajaweza kupata fursa ya kuzungumza na Tundu Lissu aliotembelea gereza la ukonga!?
Aliwalipa hela za ruzuku toka kwenye mshahara wake?Rais Samia mwema sana , alimtembelea Nairobi, alikutana naye Ubelgiji wakati wasaidizi wa ikulu walimwambia ampotezeee akagoma, mwishoni Lisu akamtenda ubaya kwa kumtukana balaa
2. Rais samia aliamua kuwaruhusu warudi na aliwaliapa malipo yote ya Lisu na wapapmbe wote wa chadema laini cha ajabu shukran yao ni matusi
3. Aliwalipa hela ya ruzuku hadi wakapata jengo la ofisi lakini wameishia kumtukana
4.
Umakini wa kuua maelfu ya Watanganyika?watanzania kaeni mkao wa kula mama ni makini sana