Hakuna hata idara yeyote inayo aminika imepongeza ripoti fake ya judge Chande. Ni mbaya kiasi kwamba imewaharibia hata washikiri wake kuaminika kimataifa hasa Sefue na Mwema wamekuwa wanajificha maana ni aibu kubwa.
Kusema vijana walikufa walichomwa na mikuki, utekaji ni mambo ya kimapenzi🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️ heshima ndogo iliyobaki ya mahakama na hawa majaji imeisha
Kusema vijana walikufa walichomwa na mikuki, utekaji ni mambo ya kimapenzi🤦🏾♂️🤦🏾♂️🤦🏾♂️ heshima ndogo iliyobaki ya mahakama na hawa majaji imeisha