Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu,hii ni kumbukizi ya viongozi wetu shupavu&wenye hekima waliotangulia mbele ya haki kuanzia 2025/2026 Lengo la mada,ni kuwaenzi,kuyakumbuka matendo yao mema hapa duniani. Na kuzidi kuwaombea...
1 Reactions
2 Replies
79 Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kisa tamaa za kupata Urais mwaka 2030 hawatofanikiwa...
0 Reactions
6 Replies
122 Views
Kwanza kabisa sikubaliani na watu wanaosambaza uzushi wa aina yoyote ikiwemo kuwalisha watu maneno kwa njia yoyote ile, ila pia nadhani Gwajima alitakiwa kukanusha uzushi kwa maneno mafupi sana...
5 Reactions
108 Replies
2K Views
Hii ieleweke vizuri kuwa duniani na hususani dunia ya sasa imejipanga kusambaratisha Taifa flani kwa kuwahonga viongozi au kuwameliza kwa kuwaua ili lengo la kibeberu litimie. Kwa muktadha huu...
0 Reactions
6 Replies
131 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema ikifika Aprili 15, 2024 atawataja kwa majina Watu wakiwemo Mawaziri wanaotoa fedha za kuwalipa Watu ili wamtukane Rais Samia mitandaoni kama...
35 Reactions
454 Replies
31K Views
Kupitia comment yake kwenye post yake ya leo tarehe 25/03/2026 katibu mkuu wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo amedai kuwa kuna wanufaika wa mikopo iliyotolewa na wizara ambao wamegoma...
2 Reactions
20 Replies
329 Views
  • Redirect
2 Reactions
Replies
Views
Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssouf, ametangaza uteuzi wa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwa Mwakilishi Mkuu wa Pembe ya Afrika...
1 Reactions
6 Replies
110 Views
  • Redirect
Rest well in eternal peace. sisi wanafamilia wa redcross Tanzania tutakukumbuka daima
0 Reactions
Replies
Views
Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu (Mb), ameongoza kikao cha Tume ya Utumishi wa Bunge kilichofanyika siku ya leo tarehe 24 Machi, 2026 katika Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma. Katika kikao hicho...
2 Reactions
16 Replies
401 Views
David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu Watanzania kuwa barabara ya Kibaha–Chalinze, iliyotarajiwa kujengwa kwa mfumo wa ubia kati ya serikali na...
5 Reactions
45 Replies
795 Views
Naona kama kuna namna ya viongozi hawa kua makini CCM ndani sio shwari tangia apitishwe mama kugombea Urais huo ndo ukweli na suala la awamu ya Mama kuifanya kua awamu ya sita wakati ni ya tano...
9 Reactions
31 Replies
761 Views
  • Redirect
Unaweza kusema ni mbuyu umeanguka katika siasa za Tanzania, kwani William Vangimembe Lukuvi ndiye aliyekuwa mbunge mkongwe kuliko wote katika Bunge la 13 linaloendelea sasa na waziri mwenye uzoefu...
4 Reactions
Replies
Views
Kwa mujibu wa makubaliano ya muungano watanganyika wanatakiwa kuchukua ajira 79% na wazanzibar 21% tu kwenye secta zote zenye makubaliano ya kimuungano. Lakini kwa Sasa ni tofauti kabisa...
4 Reactions
12 Replies
251 Views
Watanzania, mmelala? Mimi sijalala hadi sasa! Hii si leo, hii si kesho – hii ni vita ya maisha na uhai wangu! Niko hapa peke yangu, njaa inaungua ndani yangu, sina chochote kinywani, wala sijui...
24 Reactions
157 Replies
2K Views
Mtu unatamaa ya madaraka mpaka unaiba kura halafu unakufa kabla ya hata kustaafu. Maisha ni mafupi unaiba kura na miaka 70! Eti halafu hujapumzika hata na familia yako. Ufisadi wote na wizi wote...
2 Reactions
0 Replies
50 Views
Katika awamu ya sita, wanasiasa watatu waandamizi wamekufa kwa 'mstuko wa moyo' au kuugua ghafla Alianza Job Ndugai. Alifuata Jenista Mhagama. Na sasa Wiliam Lukuvi. Je, walikuwa wanaugua kwa...
0 Reactions
3 Replies
88 Views
kuna scenario 3 endapo protest haitafanikiwa 1.Mauaji ya polisi kushika kasi 2.Mauaji ya viongozi wa chini wa chama tawala wenye viti wa mtaa na wajumbe 3.Matukio ya kigaidi kuihujumu serikali...
31 Reactions
43 Replies
2K Views
Za ndani kabisa Waziri William ndiye kiongozi pekee ambaye hakuwahi kupishana na JPM. Ndiye Waziri pekee aliyekuwa na uwezo wa kumshusha munkali JPM duru 'zinatabanaisha.' Wakati fulani...
10 Reactions
57 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…