Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

David Jumbe ambaye ni Msaidizi wa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu aeleza kilichotokea katika tukio la kutekwa kwake jana usiku tarehe 20 Mei 2026. Video inakuja
1 Reactions
2 Replies
252 Views
Kuna mambo ukijiuliza unabaki na uzuni. Siasa za vyama upinzani afrika tumeshindwa kuwa wastarabu ni bora vyama vya upinzani vifutwe ?Hii inaonyesha afrika hatuna huwezo wa kuvumilia mawazo...
2 Reactions
8 Replies
166 Views
Sasa kama Drogba na Rio hawapost chochote kuhusu ziara zao Tanzania kwenye kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii si ni sawa na wale wanawake wanaokula hela za majamaa huku utamu hawatoi? Hizi...
3 Reactions
4 Replies
155 Views
Wakuu nipo barabarani muda huu, Ama kwa hakika maisha yamebadilika. School buses zipo busy kuchukua wanafunzi. Wazazi wanakwena makazini na watoto wao. This is pure madness, there is no...
15 Reactions
43 Replies
695 Views
Mwandishi wa Habari Mkongwe, Salim Ahmed Salim amesema "Hivi sasa tukubali au tusikubali, tunapelekwa kuwa 'a not talking nation', nchi ya watu mabubu." "Naweza kusema, tena I'm proud kusema...
1 Reactions
1 Replies
260 Views
Ukiangalia mambo yanavyoenda nchini ni shaghala bagala mara bunge la marekani la seneti limesema hivi, mara kuna kiongozi wa chadema katekwa nyumbani mwake, mara polisi wamezunguka ofisi za...
2 Reactions
3 Replies
143 Views
  • Redirect
Baada ya kupatika kwa msaidizi aeleza mwanzo mwisho tukio la kutekwa kwake https://youtu.be/l2v9dsJ_C9E
0 Reactions
Replies
Views
Ni jana jioni baada ya kujisikia vibaya nikaamua niende kupata matibabu kwenye hospitali ya binafsi(Private) ambayo ipo jirani na ninapoishi maeneo ya Mbezi Beach. Daktari aliniandikia dawa na...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Dhana ya kwamba vijana walioingia barabarani walilipwa? Sijajua walilipwa kiasi gani mpaka kuingia barabarani kuhatarisha hata Maisha yao kwa maandamano hatarishi kama yale. Lakini pia nani...
1 Reactions
24 Replies
361 Views
Huu hapa chini ndio ujumbe alioutoa Hilder Newton kupitia Mtandao wa X: Muda huu Jeshi la Polisi limezingira ofisi ya Makao Makuu ya CHADEMA Mikocheni, watu hawaruhusiwi kuingia wala kutoka...
4 Reactions
28 Replies
733 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema atamshauri Mwenyekiti wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Balozi Modest Jonathan Mero, kupunguza...
1 Reactions
4 Replies
393 Views
Uhusiano wa Tanzania na washirika wake wa maendeleo na kidiplomasia kote ulimwenguni ikiwa ni pamoja na serikali ya Marekani, Umoja wa Ulaya EU, Urusi, Japan, China n.k ni mzuri sana na unaendelea...
0 Reactions
0 Replies
103 Views
Tulishaandika Humu na kwingineko kitambo tu, tena kwa kusisitiza , Kwamba kuisambaratisha ccm hakuhitaji muda Mrefu, Hawa Watu ni wepesi kuliko pamba ya Shinyanga Hakuna kiongozi Yeyote wa ccm...
17 Reactions
34 Replies
770 Views
Leo Waziri wa Ujenzi ameliomba Bunge kupitisha TZS 2.564 trilioni kwa mwaka 2026/27. Lakini kabla Bunge halijapitisha, kuna tatizo moja la msingi linalohitaji ufafanuzi: 📍 Mei 2025, Wizara...
1 Reactions
4 Replies
350 Views
  • Redirect
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo. David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa...
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo. David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa...
0 Reactions
Replies
Views
Asalam Aleykum wapenzi wana JF, Wakati nafuatilia mchakato wa kumpigia chapuo Raila Odinga ili awe Mwenyekiti wa umoja wa Afrika, Mh. Ruto alifanya hafla na kuwaalika viongozi mbali wa Kiafrika...
8 Reactions
42 Replies
3K Views
Ili kukwepa mkono wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) viongozi wa Tanzania walitakiwa waanzishe na kuleta mashtaka dhidi ya wahusika wa mauaji ya mamia ya Watanzania Octoba 29 mwaka jana...
38 Reactions
73 Replies
2K Views
Wakuu, tumchongee Samia Suluhu kwa Trump Baba Donald Trump, Huku Tanzania kuna Mwanamke anaitwa Samia Suluhu Hassan aliikuita who are you.. Mvutie pumzi.. Kwa sasa yupo huko Tunguu Zanzibar. Siku...
17 Reactions
45 Replies
1K Views
Mliokuwa mnasema Paul Makonda huwa haongei kingereza hapa ni wapi? WAziri Makonda akizungumzia ujio wa Ferdinand ambaye amewasili Mei 19, 2026 amesema atakaa nchini kwa siku 3 na atatembelea...
3 Reactions
14 Replies
344 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…