“Embracing Nyerere's Legacy for Tanzanian Progress”
In an emotive and forward-thinking speech delivered at the Mwalimu Nyerere Memorial Academy on April 8th, 2024, Dr. Emanuel Nchimbi, the...
Ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa wapi? Mbona yaliyoandikwa kwenye ilani hiyo ya kurasa 303 hayaonekani kutekelezwa? Mfano ilani hiyo imetaja flyover kibao ikiwemo pale Mwenge mbona haijengwi...
Kume kuwa na utaratibu wa ajabu kwa awamu hii kutaka kuita kila mradi jina la Rais, na mbaya zaidi hakuna sheria wala utaratibu wa kufuata.
Sasa hivi nasikia uwanja wa Arusha wanataka uitwe...
Mwanza. Imeelezwa kuwa wafanyakazi 39 kati ya 813 waliokuwa wameajiriwa katika mradi wa ujenzi wa daraja la JPM Kigogo Busisi wameukimbia mradi huo na kuajiriwa kwenye mradi wa ujenzi wa Reli ya...
Rais Samia akiwa anazindua barabara ya Nyahua- Chaya mkoani Tabora ambayo ujenzi wake ulizinduliwa na Hayati Magufuli ameendelea kusisitiza kuwa wale wote wanaotangaza kwamba miradi ya awamu ya...
Wakati uharibifu wa mazingira ukiongezeka katika maeneo mbalimbali hasa ya vyanzo vya maji, Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema ikiwa mvua za vuli...
Jiji la Arusha ni Makonda kila kona huku wananchi wakifurahia ujio wa RC huyo asiyevumilia uzembe wa aina yoyote ile linapokuja swala la kuwatumikia wananchi.
Wananchi wa jiji la Arusha kwenye...
Tanzania sijui ni nani amewaloga watumishi wa umma. Kila wakikaa ofisini wanatafuta namna ya kuwafanya watu wasiende kuzalisha badala yake wakapange foleni kubishana na watumishi husika.
Tanzania...
Sote tumeshuhudia jinsi Rais anavyohangaika kuteua na kutengua kila mara. Hali hiyo inadhihirisha kuwa Mh. Rais anashindwa kuwapata watu sahihi wa kuweza kumsaidia. Hivyo anabakia kubahatisha...
Jaji Warioba akihojiwa na Mwananchi Digital Aprili 7, 2024. amesema kuwa Mawaziri wasitokane na wabunge,
"Bunge liwe ni bunge, serikali isiingiliane na bunge, na vizuri mawaziri wasiwe kwenye...
Serikali badala ya kupoteza maji kufungulia na hatimaye kuharibu mashmba na miji huko Rufiji basi wangewapa Dawasco hiyo kazi wafunge mtambo wa maji kuleta Dar huku maji ya ziada tunafyonza...
Sasa ndio muda mwafaka Kwa waheshimiwa kujionesha mbele ya jamii kuwa wako karibu na wananchi hasa tunapoelekea kwenye kipindi Cha uchaguzi.
Baadhi ya matukio yanayoweza kuambatana na kujipitisha...
Bado watu hawajamsahau Jiwe 😁😁
Sasa kama alikuwa kipenzi Chao Wanyonge Kwa nini inaonekana alipora uchaguzi?
Kwani hayo mambo mapya anayoyasema Babu Warioba ni yapi Hadi amechafukwa na kukerwa...
Taarifa za kwamba DP World itaboresha bandari ya Dar es Salaam na mapato kuongezeka hiyo ni ndoto ya mchana kweupe! Hawa watu wamejipanga kuikamua nchi wanachofanya ni kupata pesa kwa mkataba hewa...
Mradi wa Bwawa la Nyerere tuliambiwa ungekamilika June 2022, lakini haikuwa hivyo.
Hata hivyo mwezi wa 12/2022 bwawa la mwalimu nyerere lilianza kujazwa maji, ambapo Ili bwawa kujaa kabisa...
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) akizungumza wakati wa Mkutano na Waziri wa Ushirikiano wa Maendeleo na Sera za Mabadiliko ya Tabianchi wa Serikali ya Denmark, Mhe. Dan Jørgesen...
Baada ya nchi nzima kushtushwa na hoja namba 5 kutoka kwenye hoja za CHADEMA kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi leo nimeona tukumbushane gharama tutazozilipa wananchi kwa ongezeko la wabunge...
Komredi KACHEBONAHO Atoa Futari kwa Kaya 300 Kyerwa
Mjumbe wa Baraza kuu la jumuiya ya vijana UVCCM Taifa kutoka mkoa wa Kagera Ndg. Leodigar Kachebonaho ametoa mkono wa Futari kwa kaya Zaidi ya...
Serikali kusababisha Mafuriko; Waziri wa Nishati awajibishwe na Wananchi wa Rufiji na Kibiti wafidiwe.
Chama cha ACT Wazalendo kinataka hatua kali za uwajibishaji dhidi ya Waziri wa Nishati Ndg...