Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,755
- 15,238
Ilani ya CCM 2020 - 2025 inatekelezwa wapi? Mbona yaliyoandikwa kwenye ilani hiyo ya kurasa 303 hayaonekani kutekelezwa? Mfano ilani hiyo imetaja flyover kibao ikiwemo pale Mwenge mbona haijengwi?
Basi kama lengo la Rais Samia ni kuendeleza tu mazuri ya awamu ya tano basi kulikuwa hamna haja ya kuandika makurasa 303 kwenye ilani, badala yake wangeandika tu msitari mmoja tu kwamba 2020 - 2025 ni kukamilisha miradi ya Magufuli.
Basi kama lengo la Rais Samia ni kuendeleza tu mazuri ya awamu ya tano basi kulikuwa hamna haja ya kuandika makurasa 303 kwenye ilani, badala yake wangeandika tu msitari mmoja tu kwamba 2020 - 2025 ni kukamilisha miradi ya Magufuli.