Maumivu ya Mbinyo wa Mabeberu yameanza kutufinya.
Hapo ndo kwanza wanatujadali. Leo wamemsikiliza Mke wa Tundu Lissu na baadaye dada wa Humphrey Polepole.
Wanaowasikiliza nao wamelia kwa uchungu. Serikali chukueni hatua kuwaokoa Watanzania na maumivu haya makali
Makojo
Hapo ndo kwanza wanatujadali. Leo wamemsikiliza Mke wa Tundu Lissu na baadaye dada wa Humphrey Polepole.
Wanaowasikiliza nao wamelia kwa uchungu. Serikali chukueni hatua kuwaokoa Watanzania na maumivu haya makali
Makojo