Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mpo salama bila shaka. Inapotokea migomo ya nyakati hizi kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ni muhimu kuiendea kwa umakini. Wanasiasa wanaelewa nazungumzia nini. Watatuzi...
5 Reactions
8 Replies
582 Views
Hayati Magufuli wakati wote alihimiza maendeleo ya nchi kama NCHI na siyo kwenye vipande vya nchi. Ndio maana akiwa Waziri wa ujenzi alihimiza ujenzi wa barabara ili mtu atoke Mtwara mikindani...
32 Reactions
239 Replies
15K Views
Ni Hadithi ya Nguo Mpya za Mfalme, ni hadithi ya Kidenmarki iliyoandikwa na Hans Christian Andersen, iliyochapishwa mwaka wa 1837. Lakini inaakisi maisha yetu waafrika wasasa, kama una D mbili...
8 Reactions
18 Replies
1K Views
Sawa nakubali Kariakoo ndio kitovu cha uchumi nchini, biashara zote nchini watu wanafungashia Kariakoo, mapato ya nchi kwa kiasi kikubwa yako kariakoo, nafahamu pia athari za kiuchumi endapo...
1 Reactions
17 Replies
737 Views
Ukinunua dai Risiti, Ukiuza toa Risiti. "" "" "" "" "" "" "" "" "" " TRA wamekuwa wakiwaonea wafanyakazi wa Tanzania kupitia pay as you earn [PAYE] hasa pale mfanyakazi anapopata mgogoro...
30 Reactions
169 Replies
11K Views
DK. MWINYI AKUTANA NA UONGOZI WA TAASISI YA BIG WIN Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt. Hussein Ali Mwinyi amewataka Taasisi ya Big Philanthropy ya Uingereza...
0 Reactions
0 Replies
417 Views
Naomba Mhusika awawajibishe na kuwakumbusha Askari wa geti la kuingilia wagonjwa. Shida ipo wakati wa kutoka ukiwa na Chombo Cha usafiri,unaulizwa maswali haya ( lazima ujibu Ili ufunguliwe geti)...
0 Reactions
1 Replies
350 Views
Kuna ule usemi kwamba ukiwa na mtu ndani ya nyumba yako, akaamua kutumia rungu kuua mbu bila kujali mbu yuko sehemu gani. Sasa waswahili wanasema, kuna siku mbu anaweza kutua sehemu nyeti ya...
1 Reactions
5 Replies
641 Views
Baada ya awali kuelezwa kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ipo mbioni kuuza mali za Mbunge Toufky Turky ambaye ni Mfanyabiashara aliyedaiwa kushindwa kulipa ushuru wa Gari aina ya Marcedes Benz...
7 Reactions
40 Replies
7K Views
Ndugu zangu nawajulia Hali Kwa jina la mwenyezimungu mwingi wa Rehema na mwenyewingi wa kusamehe. Nilitembelea nchi moja ya east African ambako kuna kiongozi mkubwa wa Taifa Hilo alifariki...
0 Reactions
2 Replies
582 Views
“Kama tunatoa ripoti na kuna ubadhirifu na hatua hazichukuliwi, huo kwangu ni udhaifu wa Bunge. Bunge linatakiwa lisimamie na kuhakikisha kwamba pale penye matatizo, linahakikisha kuwa hatua...
0 Reactions
0 Replies
451 Views
Kuna tetesi Kuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Njombe, Rose Mayemba anashikiliwa na Polisi kwa kuhamasisha mgomo wa Wafanyabiashara unaoanzia Kariakoo. Ikumbukwe asilimia 90 ya Wafanyabiashara wa...
5 Reactions
53 Replies
5K Views
AWESO ATEMBELEA VIWANDA VYA KUZALISHA MITA ZA MAJI ZA MALIPO KABLA CHINA, ASEMA WAKATI WA MABADILIKO NI SASA Shangai, China Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amehitisha ratiba ya ziara ya kikazi ya...
0 Reactions
5 Replies
475 Views
Sio viongozi tu, hizi tabia ni nature yetu hata miongoni mwetu, power inawafanya wengi kufichua tabia zao sio kuwabadili tabia. Ubinafsi uliopitiliza, miaka nenda rudi Afrika inapewa matrilioni...
6 Reactions
21 Replies
877 Views
1. Nimewasikia mkijinadi kukemea maadili kwenye Idd Al Adha, . Kumomonyoka kwa maadili si ushoga na ngono. and the like 2. Wizi, Rushwa , ukatili , uongo na vitu kama hivyo ni mmomonyoko wa...
2 Reactions
12 Replies
715 Views
Enzi za uhai wake angesema.....Hiiiiii! Maweee! Yaani enzi za Jembe unajaribu kutingisha Sharubu za Mfalme? Ungejuta. Wafanya biashara waache dharau wao sio muhimu sana kuzidi makundi mengine...
9 Reactions
51 Replies
2K Views
Viongozi wengi wa waAfrika ambao Nyie mliwaita freedom fighters wengi walipigania uhuru kwa manufaa yao na familia pengine na koo zao Mimi Nina hakika na hilo hususani kwa hapa Africa mashariki...
4 Reactions
13 Replies
581 Views
Fedha nyingi zimetumika kununua pikipiki zaidi ya 18,000 zitakazosambazwa nchi nzima! Mtu unajiuliza hizo fedha takriban 54 billion si zingetumika kuwasaidia watu maskini katika mambo mangapi...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Hakuna shaka Dunia inaweza kupitia katika anguko kubwa la uchumi kama mvutano unaoendelea kati ya Mataifa makubwa kiuchumi usipotulia Mvutano wa Urusi V/s Ukraine na Mataifa yanayomsapoti...
2 Reactions
4 Replies
343 Views
Ikitokea ukahabatika ukibahatika ukawa Rais wa visiwani Zanzibar Je, utasimamia nchi kizalendo au utafanya kupiga deal uwe bilionea tu Au ukiacha kuwa Rais Zanzibar Ukibahatika kwenda somalia...
0 Reactions
4 Replies
411 Views
Back
Top Bottom