Badala ya kuendelea kupambana na ukweli uliowazi, bora mngeanza kujipanga mtaishi vipi ndani ya vikwazo kama mgonjwa wa ukimwi anavyoishi na virusi.
Kama kuna MwanaCCM ana watoto au ndugu...
Wakati uhusiano kati ya Tanzania na Marekani ukiingia katika kipindi nyeti zaidi katika miaka ya karibuni, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amefanya...
Swali, Mpaka hapa bado kuna mtu hajajibiwa swali la nani alitoa amri ya kuua watu iwapo magari yaliyotumika kuua watu bado wanayatumia kuonesha hawajali wala kuogopa chochote?
Baraza la Seneti limegundua yafuatayo:
Tanzania ni nchi inayoendelea kugandamiza, uhuru wa demokrasia, uhuru wa wanaharakati, uhuru wa watu wake na uhuru wa dini
Tanzania inatishia maslahi ya...
Baada ya kutoka Russia samia aende Marekani.
Watamwalika kwakuwa Russia na Marekani ni mahasimu.
Marekani naye atataka kupata vile ambavyo Tanzania na Russia walikubaliana.
Aombe ziara ya hata...
Akili kumkichwa,Hakuna mwenyekiti aliemaliza MDA wake akajua vyote na Wala hakuna mwenyekiti aliewahi dhibiti kila kitu akaweza!!
Kama Kuna watu umewakosea omba radhi!chutama!tafakari Anza...
Kwa hali inayo endelea katika jiji la Mwanza ambalo limezungukwa na maji ya Ziwa Victoria kukosekana maji na eti RC yupo anazunguka zunguka mjini mjini akipeperusha benders kwenye Gari yake ni...
Nimesikiliza hii video hadi nikatamani kulia, humu ndani ameeleza pia project Yao ya kutaka kumiliki dhahabu za maeneo yetu kama ufaransa anavyo fanya kwa yaliyo kuwa makoloni yake.
Global Magnitsky Sanctions ni moja ya vikwazo vilivyoongezwa kwenye mabadiliko yaliyofanywa hivi karibuni na bunge la seneti la Marekani kwa serikali ya Tanzania.
Vinawalenga watu binafsi na...
Hamjambo!
Maswali kama nilivyouliza.
Kama wanaojiuza wanatoka Bara na Kenya, je wanunuzi wanatoka wapi?
Na kwa nini Zanzibar iwe soko la biashara hiyo?
Huwezi fungua soko la Dhahabu Iringa...
Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa CHADEMA Wilaya ya Mbeya Vijijini, Amoni Masinga, amesimulia jinsi askari walivyovamia nyumbani kwake na kuacha watoto wake wawili wakiwa na vilema kutokana...
Hivi karibuni kumekuwa na kauli zenye mwelekeo wa kibaguzi kutoka pande mbili za muungano wetu. Na mpaka sasa hatujasikia kauli thabiti ya serikali kuzikemea kauli hizi.
Wasiwasi wangu, kauli...
Kuna jambo ambalo John Heche, Sigrida Mligo na Ado Shaibu wanapaswa kulijibu kwa Watanzania.
Wamekuwa wakibeza ziara za Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wakisema anashughulika na "petty issues"...
Mwezi huu tumeona nchi za afrika mashariki zimeonyesha budget zao, sasa na mimi ambaye nina ambitious za kuwa Rais wa Tanzania nimetoa mapendekezo yangu ya budget
👇
Itakuwa ni budget ya trillion...
Kundi la vijana limezuia shughuli za maziko ya dereva bodaboda Emmanuel Mwanry, yaliyokuwa yafanyike katika Kijiji cha Ngirinyi, Kata ya Levishi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wakishinikiza...
Viongozi wanaotuongoza wamejilimbikizia ukwasi ambao ni kufuru kwa MUNGU. Wako tayari hospital zikose dawa wananchi wafe hospital kukosekana dawa ila wao na familia zao zinapata matibabu ulaya...