Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mara zote tuliwaasa kusimama na maslahi ya watu yaani kuzisemea shida za watu na kuja na sera mbadala kwa ajili ya watanzania. Chadema ilihama kutoka kuwa chama cha upinzani kwa maslahi ya...
0 Reactions
11 Replies
162 Views
Ukiona jambo lolote linapiganiwa na viongozi wa CHADEMA ujue linawagusa. Hebu tuangalie mfano huu. Kuna askari usu wa wizara ya maliasili na utalii, Askari wa TFS, TAWA, NGORONGORO, TANAPA . Kwa...
0 Reactions
10 Replies
155 Views
Hapa anajifanya anatoa ushauri na blaa blaa kibao ila yote hii ni nongwa maana Hawa ndio walitamani Kila kitu kiporomoke Ili wapate pa kumnangia mwanamke mwenzao 😁😁😁😁 Unajaribu kujiuliza hayo...
9 Reactions
139 Replies
7K Views
Wanabodi, Kile kilichotokea October 29 kilichangiwa na kauli mbofu mbofu za baadhi ya viongozi wa umma ziko kinyume cha maadiili ya viongozi wa umma!, Je Media tuwaripoti viongozi hao bila uoga...
1 Reactions
5 Replies
159 Views
Salam? Miezi sita imepita tangu upate fursa ya kurudi tena mjengoni kupitia UKAWA-Chadema. Vipi kulikoni mbona hausomeki? Yale makeke yako siku hizi mbona hatuyaoni mtaani /jimboni kwako mpaka...
1 Reactions
128 Replies
19K Views
Historia ni somo zuri maana huwa halidanganyi. Tunawaona hawa EU wanavyojifanya sasa kutaka kutuaminisha kwamba ni wapenda demokrasia mahiri.mimi binafsi na pia wengi wenye mtazamo kama wangu...
9 Reactions
77 Replies
4K Views
Aisee, nani angeweza kujua kuwa ndani ya CHADEMA kuna ujambazi wa kutisha wa fedha za wanachama na wananchi. Hiki kinyang'anyiro cha kugombea uenyekiti wa chama umeibua mambo mazito na kukianika...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Kwa kitendo alichokisema Mnyika ni utoto tu, suala la fidia lilisha shughulikiwa muda na mahakama kuu na Mnyika analijua hilo na suala la vyuma kukaza mara demokrasia pale hapakuwa mahala pake...
12 Reactions
246 Replies
27K Views
Ndugu zangu, Ajizi nyumba ya njaa,mambo yanaenda kasi sana,kabla ya kuvunjwa bunge mwaka 2015 Chadema walingumzia mambo yanayotakiwa kufanyika ili Tanzania na wananchi wake wanufaika na hakika...
8 Reactions
70 Replies
4K Views
Je Wazanzibari Kama Wakipiga Kura Leo Wataukubali Muungano Ambao Hawakuupigia Kura?
0 Reactions
22 Replies
213 Views
ZUNGU: MZIGO WA BARABARA NI MKUBWA MNO TUMIENI PPP Spika Zungu Aikosoa Wizara ya Ujenzi awaambia “PPP ni Hitaji, Siyo Chaguo” Spika wa Bunge, Mheshimiwa Mussa Azan Zungu, ameikosoa Wizara ya...
7 Reactions
31 Replies
533 Views
Mwanazuoni na Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka, amesema haiwezekani kuwazuia vijana kuandamana wanapokuwa na hasira zinazotokana na kero mbalimbali zinazowakabili katika jamii...
2 Reactions
1 Replies
130 Views
Hapa kijijini kwetu kuna muungano wa familia mbili unashangaza sana, huu muungano ulianzishwa Mara tu baada ya simba alokuwa akila watu kufukuzwa, familia zikabaki na hofu kubwa sana, Sasa...
10 Reactions
46 Replies
5K Views
Kikosi cha Wanajeshi kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kimewasili nchini Comoro, ambapo kinatarajiwa kushiriki maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa nchi hiyo yatakayohudhuriwa...
6 Reactions
67 Replies
3K Views
Tanzania ina changamoto za ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali za umma, kama zilivyo nchi nyingi duniani. Hata hivyo, ukubwa na aina ya matatizo hayo hutofautiana kati ya sekta na kipindi...
1 Reactions
14 Replies
208 Views
Mnyika ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Masasi leo Ijumaa Juni 19, 2026 kwenye muendelezo wa ziara za Chama hicho Kanda ya Kusini, akiliita jambo hilo kama kihoja kinachofanywa...
4 Reactions
19 Replies
403 Views
Wanajukwaa, nina imani wote mko sawa. Pasipo kupoteza muda, naomba niingie kwenye mada tajwa hapo juu. Binadam kwa kawaida, huwa na hulka ya kulipiza kisasi kwa aliyemkosea au adui yake. Hiki...
2 Reactions
14 Replies
201 Views
Profesa Anna Tibaijuka amesema polisi wana haki ya kuhoji kauli au jambo lisiloeleweka wanapohisi linaweza kuwa na viashiria vya uchochezi au kusababisha vurugu. "Polisi akisikia jambo...
2 Reactions
3 Replies
118 Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazozalisha chakula kwa wingi katika ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika, hali inayofungua fursa kubwa ya...
1 Reactions
4 Replies
112 Views
Mbunge wa jimbo la Mbogwe mkoa wa Grita Fagason Nkingwa ana umri wa miaka 36, wake 3 na watoto 16. Hakika anatekeleza agizo la Mungu kwenye Mwanzo 1:28; Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia...
6 Reactions
96 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…