Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna ka kisiwa mita kadhaa kutoka Kigamboni, kabla Jumbe hajapelekwa ANSUYA NAVAS kisota alianzia huko inasemekana, Nauliza kaliendelea kutumika kuficha waarifu, wahujumu uchumi na watuhumiwa wa...
16 Reactions
199 Replies
40K Views
Habari ya kunishtua kidogo ni kwamba magwiji matycoon, watakuwa nje soon , ama kwa dhamana au kwa makubaliano maalumu, Nadhani hawakupaswa watoke maana Magufuli alionesha uthubutu wa kuwaweka...
21 Reactions
154 Replies
30K Views
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimebainisha misingi mikuu inayokifanya chama hicho kuendelea kuaminiwa na kushinda chaguzi kuu za kiserikali nchini Tanzania. Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo...
1 Reactions
14 Replies
373 Views
Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche, akiwa Mbarali, Mbeya Juni 22, 2026 amesema "Tuko kwenye ziara. Leo ni siku ya tano. Na tangu nimeanza mikutano ya...
4 Reactions
9 Replies
256 Views
Nimemsikia mtoto mmoja wa shule hapo hajui hata wajibu wa Mbunge, anasema John Heche amesoma shule ya Umoja wa Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi Bulima, ni kweli nimesoma shule ya Bulima lakini...
6 Reactions
14 Replies
396 Views
Kama mtamzania niliyeishi kwenye tawala zote tangu tupatie uhuru hadi Leo hii nashindwa kujua. Kumekuwa na matukio mengi sana hapa nchini yanafanyika kila kukicha hasa ya kutisha kabisa na mtu...
14 Reactions
101 Replies
2K Views
- Huyu shehe Mwaipopo, mnyakyusa bila shaka. Kuonyesha mbele ya camera kwamba anamiliki kikundi cha kigaidi ni jambo la kuogofya kitaifa na kimataifa. - Kwa shehe kuonesha hadharani sura yake na...
3 Reactions
14 Replies
320 Views
Baraza la Machifu na Wazee wa Kimila Mkoa wa Ruvuma limekanusha kumtambua John Heche kama Chifu wa Wangoni, likidai kuwa tukio la kuvikwa uchifu Juni 20, 2026 halikufuata taratibu za mila na...
4 Reactions
12 Replies
229 Views
Katambi Awaonya Wahalifu na Maandamano haramu ya Tarehe 7 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amewaasa watu wanaotoa kauli za kichochezi katika mitandao ya kijamii, majukwaa ya...
1 Reactions
5 Replies
196 Views
🚨 BREAKING NEWS: WE WON TODAY! 🚨 Na Tausi Likokola, Washington DC - USA We did not give up. We did not stay silent. Today, we moved one step closer to justice. The Reassessing the United...
35 Reactions
165 Replies
3K Views
CHADEMA mngemsikiliza Yericko Nyerere kuhusu ruzuku msingefikia hapa mlipofikia. Yericko alionya kuwa ni ngumu sana kuendesha chama bila ruzuku. Chama hakiendeshwi kwa michango kwa nyakati...
2 Reactions
12 Replies
408 Views
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekanusha vikali madai yaliyomo kwenye rasimu ya hoja ya kimataifa inayovumisha kuwa nchi hiyo "ilikataa" ziara ya Kamati Ndogo ya Bunge la Ulaya...
2 Reactions
12 Replies
296 Views
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Buluba Mabelele, ametoa msimamo wake kuhusu sakata la mwanasiasa wa upinzani, Tundu Lissu, akieleza kuwa yuko upande wake na anatamani...
21 Reactions
31 Replies
749 Views
Kuna TISS yuko UDOM anaona ufahari kuua wenzake , watanzania wenzake. Very sad!
9 Reactions
32 Replies
926 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa kila mtu anahitaji kuona taifa lenye misingi imara ya maridhiano, amani na upendo, hata hivyo ili...
2 Reactions
7 Replies
194 Views
WATEJA WAPYA 1500 WAENDELEA KUUNGANISHIWA MAJI MWANZA Agizo la Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kwa watendaji wa Wizara hiyo la kuwaunganishia huduma ya maji safi wananchi limeendelea kutekelezwa...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Askofu huyu amekuwa mstari wa mbele kuonyesha kutofurahishwa na namna CCM na delegates yake inavyoongoza nchi hii akijinasibu kuwa mpenda haki! Na mimi kama mdau wa haki ninaungana nae mara kwa...
1 Reactions
23 Replies
316 Views
Wakazi wa Dodoma wamejitokeza na kuizunguka Airport ya Jiji la dodoma wakisubiri kuona Mwili wa Mh Rais Magufuli ukishuka tayari kuagwa hapo kesho. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! DODOMA NI...
6 Reactions
102 Replies
10K Views
Wakati Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer akijiuzulu leo Juni 22, 2026, historia inaonyesha kwa miaka 10, wameshajiuzulu mawaziri sita. Tatizo ni kwamba mfumo wa kisiasa wa Uingereza unafanya...
1 Reactions
0 Replies
112 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…