Rais Ndaitwah Aondoka Baada ya Kukamilisha Ziara ya Kitaifa ya Siku Tatu Nchini
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ameondoka nchini baada ya kukamilisha Ziara ya...
Yaani Tanzania ndo Basi tena..
Tulizoea Shule zetu zilikuwa zinapewa Majina ya Watu waliofanyia Makubwa Tanzania na Afrika kwa Ujumla ili wakubukwe.
Lakini sasa hivi watu wanajiamlia kutaja...
Kitendo Cha Wasouth Kuwafurusha Wageni kimetoa funzo kwamba Nguo ya kuazima Haisitiri matako. Tafuta pesa ugenini wekeza nyumbani
My Take
Unaweka mayai yote kwenye kapu Moja la kuazima unategemea...
Kweli dunia ina mambo. Na sasa ndio ukweli kuwa hakuna mbunge aliyechaguliwa kwa kura kwa uchaguzi ule uliofanyika kwa kumwaga damu.
Yaani badala mbunge aende bungeni kuomba serikali ijenge...
Taratibu, ule, msimamo kuwa nchi haina dini ila watu wake wana dini unaanza kumomonyolewa tena na wale usiowategemea. Naona kama Zenj, taratibu, inaanza kuwa taifa la kiislam. Ni bahati mbaya na...
Labda Mimi ndio sielewi naomba nieleweshwe Yani Kwa mujibu wa serikali yetu TUNDU LISSU ni mtu Mbaya sana kuliko shehe mwaipopo?
Kwa kauli hakustahili kukaa uraiani hata sekunde moja hii...
Baada ya kuhisi kwamba hoja zake zinaweza kufunikwa zaid na hoja nzuri sana za washindani genge la mheshimiwa Jakaya Kikwete, Lowassa na Samwel Sitta likaanza kuunda mtandao wa kuwamaliza...
Biashara siku zote ina ushindani
Mfanyabiashara haupaswi kulalamika ( Musukumu+ Joshua Nasari kuwa jirani amefungua Duka ataathiri mauzo yako..
Uwanja wa ndege upo kwenye CCM manifesto...
Akizungumza kwenye Mkutano wa hadhara uliofurika wananchi huko kilosa, Nabii wa Mungu God bless Lema, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, amemtaja Bwana Kabudi Kama miongoni mwa...
Katika kujibu hoja aloileta Mbunge kuwa Magufuli atake asitake tutamlazimisha kuongeza Muda, Naibu Spika wa Bunge amemalizia kwa kusema NADHANI TUNAJUA MSIMAMO WA RAIS UKOJE JUU YA HILO, HATAKI...
Serikali ya Tanzania imesisitiza kuwa suala la Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, linaendelea kushughulikiwa na vyombo vya sheria bila kuingiliwa na mamlaka za kisiasa.
Kauli hiyo imetolewa...
CCM wataka Polisi kukanusha kuhusu kushirikiana na Sheikh Said Mwaipopo kutahili watu bila ganzi.
MY TAKE
Polisi inazuga kutafuta vikundi vya kihalifu wakati vinajulikana na vinajitangaza...
Ni Mkutano ambao umehudhuriwa na Watu wote wa Mbarali, wakiwemo Walimu na Polisi
Shughuli zote zimesimama ikiwemo uvunaji wa Mpunga, Mashine za kukoboa mpunga zimezimwa huku hospitali zikibakiwa...
Kutokana na kuwa na mtaji wa kianzio cha kesi tusihangaike na kutafta nyingine tuanze na hizi hapa
1.Richmond hasara ya 350 billions
Kashfa hii inamuhusisha waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa...
Madai yao yanatekelezeka. Kwanini Kwanini Serikali haitaki? Wakiwatekelezea madai yao watapungukiwa nini? Yaani hadi mgomo ufanyike ndo watekeleze?
Kurenew leseni bila masharti magumu.
Madereva...
Tanzania kikatiba ni nchi ya kijamaa.
Lipo kosa kubwa lililofanyika kuruhusu Wafanyabiashara,mabepari kuingia kwenye siasa na hivyo kufifisha nguvu ya wakulima na wafanyakazi. Hili ni kosa...
Mzee Museni yeye ameamua kuiacha sekta binafsi ijenge uchumi wa Uganda,
Mfano ni huu, Katika bajeti ya Uganda ya mwaka wa fedha 2026/27 yenye thamani ya Shs 84.4 trilioni ($22.8 bilioni), eneo...
Wasalaam,
Mnaohusikia na mambo ya Uchumi wa Tanzania someni hii stari kwa mstari, Sikuwa naelewa anachofanya Kafulila kupitia hii taarifa nimeanza kumwelewa.
Katika bajeti ya Rwanda ya mwaka wa...
Uzoefu wa kimataifa unaonesha kuwa takribani asilimia 25 ya utajiri wa baadhi ya mataifa yaliyoendelea unatokana na ufanisi wa taasisi, huku rasilimali za asili zikichangia karibu asilimia tano...
Na ni muhimu sana wadau wa Jf kufahamu hili. Tanzania kama nchi huru, kamwe haiwezi kubabaishwa na mabadiliko ya kidiplomasia au kimaendeleo na taifa ambalo haliheshimu uhuru wa mataifa mengine...