Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mheshimiwa Rais, naomba kuandika kwa ufupi sana. Kutekwa kwa Polepole , Mdude na hata kuuwawa kwa Mzee Kibao kuliacha damu nyingi sana ikimwagika, naomba kukuliza Mheshimiwa mwenye jukumu la...
12 Reactions
25 Replies
442 Views
Heshima kwenu wakuu, Juzi rais alipotutembelea huku kwetu Kagera, rais Magufuli alijinasibu kwamba yeye ni Muyango yaani "abayango" hujiita Wazilankende. Akadai babu yake alizikwa pale Bukoba...
10 Reactions
414 Replies
101K Views
Nakusalimu mheshimiwa Raisi. Kwa unyenyekevu mkubwa sana naandika haya kama mwananchi wa kawaida ambaye anapenda kuona wewe unafanikiwa. Huu ni ushauri, hivyo unaweza ukautendea kazi au ukaupuuza...
110 Reactions
112 Replies
7K Views
Air Tanzania Company Limited (ATCL) has launched direct flights between Mwanza and Dodoma, cutting travel time from 10 to 12 hours by road to just one hour and 20 minutes by air, in a move...
0 Reactions
4 Replies
190 Views
Mbunge wa Baraza la Wawakilishi na Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu, Simai Mohammed Said, amesema mafanikio ya Serikali katika ukusanyaji wa mapato yanaonyesha kuwa Tanzania ipo katika mwelekeo...
9 Reactions
136 Replies
4K Views
Wote tumeona na kusikia kauli na matamshi ya viongozi wa chadema Toka mwaka Jana kiasi cha kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu yetu ambayo imejengwa kwa garama kubwa, uharibifu huu...
0 Reactions
79 Replies
734 Views
Wakuu, Kama mtakumbuka uzi wangu uliopita, nilieleza jinsi fedha za VIP Engineering zilivyosambazwa kwa wanasiasa wa chama tawala wakiwemo viongozi wawili wa juu wa Upinzani. Sasa mambo yanaanza...
15 Reactions
973 Replies
95K Views
Napenda kuwatia moyo kuwa katika mapambano haya ya kudai Haki na usawa katika nchi hii hampo peke yenu. Mwamko ni mkubwa sana huyu nyoka CCM apondwe kichwani afe. People's, people's, people's...
11 Reactions
51 Replies
552 Views
Hiyo katiba mpya itakujaje huku mnahubiri vurugu, huku mnafanya uchochezi, huku mnahujumu uchumi wa nchi, inamaana viongozi wa chadema hawayaoni haya? Nadhani ni vihio/vilaza wote Ukiwaona...
0 Reactions
56 Replies
438 Views
Katika mahojiano maalum yaliyorushwa na M&S Podcast, Juni 24, 2026, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Juma Assad, amefafanua kuwa kiongozi bora ni yule...
2 Reactions
1 Replies
118 Views
Kwenye vita huwa hatushambulii kulia, kushoto, mbele na nyuma lazima uache njia ya kukimbilia ukizidiwa. Baada ya kusikia Mke wa Lissu na Dada wa Polepole kwenye bunge la Ulaya niseme kuwa hakuna...
61 Reactions
123 Replies
3K Views
Kuna viongozi wa awamu ya 6 wengi wao ni wasomi wa level ya PhD na Profesa kwenye finance bill ya bajeti ya 2026 wameamua kuwapa msamaha wawekezaji wa madini wasilipe share ya 16% na loyalty fee...
2 Reactions
7 Replies
170 Views
Utafiti wetu unaonyesha kwamba, katika watu 100, Watu 80 wanafuatilia Mikutano ya hadhara ya Chadema kote inakopita, huku Watu 20 Pekee wakifuatilia michuano ya kombe la Dunia, Hakuna...
6 Reactions
23 Replies
350 Views
Huu ni Mkutano wa Saa 6 Mchana, Wananchi wamesubiri tangu saa 12 asubuhi, wengi wao wakiwa na miswaki ya miti mdomoni na mataulo kiunoni Tukutane Tunduma
17 Reactions
36 Replies
594 Views
Inatokana na nini? Kuharibu misitu? Kwani western europe hakuna misitu? tuel,ishane
0 Reactions
1 Replies
94 Views
Naibu Waziri Mkuu Kivuli wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina akizungumza leo Juni 23, 2026 alipokuwa akichambua Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2026/27. Pia soma ~ Mpango wa LATRA kusitisha...
4 Reactions
8 Replies
365 Views
Kadiri siku zinavyosonga mbele, PB ya Mawinguni inaonekana kupoteza sehemu ya mvuto na ubora uliowahi kujengwa na majina makubwa kama Masoud, Fetty na Siza. Ingawa bado ina mashabiki wake, wapo...
2 Reactions
12 Replies
208 Views
Jukwaa la Vijana la CHAUMMA limeikosoa Bajeti Kuu ya Serikali ya Sh trilioni 62.33 kwa mwaka 2026/2027, likidai ni "kiini macho" kinacholinda matumizi ya viongozi huku wananchi, hasa vijana...
2 Reactions
5 Replies
108 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…