CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,480
Inatokana na nini? Kuharibu misitu? Kwani western europe hakuna misitu?
tuel,ishane
tuel,ishane
Kwa miaka hii ulaya imekuwa ikikabiliwa na mioto ya misitu inayotokana na ukali wa jua kitu ambacho Afrika hakitokei. Juzi baadhi ya sehemu joto lilifika zaidi ya 38°c, kiwango ambacho Tanzania hatukifikii, hata hivyo wao ndio waharibifu zaidi wa mazingira.Inatokana na nini? Kuharibu misitu? Kwani western europe hakuna misitu?
tuel,ishane