Huu ndio ukweli mchungu na ksma Mbowe nae angekomaa, huenda hata Lissu yasingemkuta
Kwa kifupi, kitendo cha kukomaa mpaka hapa kesi ilipofika, ni ushindi mkubwa kwa Lissu maana walichotaka...
17 August 2026
WASAUDIA WANATAKA KUWA NA HIFADHI YA MAFUTA HAPA TANZANIA / WATAKA KUWEKEZA KWENYE SEKTA ZA MADINI, KILIMO PIA UFUGAJI
https://m.youtube.com/watch?v=ZSNh7sy6MD8
Source : Jambo TV...
Najuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kumkosoa. Huyu dogo hapa amempaka za uso.
My take:
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA yuko overrated. Anahitaji kuwa adjusted kidogo. Sometimes anakuwa kama...
Naamini wanaJF wengi mtakuwa mnamjua huyu jamaa huko mitandaoni hasa YouTube.
Mwalimu google ni nguli mchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa na siasa na Tanzania,haamini katika mfumo wa...
Kila kikao kinachoitwa, Raisi ndio mzungumzaji mkuu. Hili ni hatari sana kama taifa. Wala hawaiti kama makuhani ili wampe ushauri wa kujenga na kulinda tunu za Taifa. Ila kuwafundisha kutulia na...
Jumuiya ya Kifalme ya Afrika imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amebainisha kuwa chama chao kiliandika barua kwenda Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kulalamikia matumizi ya kisiasa yanayofanywa kupitia klabu...
https://www.youtube.com/live/dBta4NXZCm4?is=GaPZMNUlvYMhaq2O
=============
"Kesi ya Tundu Lissu ya uongo, imetengenezwa. Kila mtu anajua. Ni kesi ya kisiasa ukisikiliza mashahidi na wenyewe...
Ndugu zangu Watanzania,
Mti Wenye Matunda ndio Hupigwa Mawe . Tanzania ya Rais Samia Ndio Lulu Ya Afrika, kwa Sasa ndio Taifa ambalo lina uwezo na nguvu ya kuzungumza na likasikika na...
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro, Barnabas Okola, amesema kikao cha wenyeviti wa mikoa kilichofanyika Agosti 13 kilitarajiwa kuhudhuriwa na viongozi 30, lakini waliohudhuria walikuwa 15...
Tarehe 25 Aprili 2026, Mzanzibari Samia Suluhu Hassan alizindua Meli ya Uvuvi kwenye maji ya kina kirefu, hadi sasa sijaona Samaki waloletwa. Eti Uchumi wa Bluu.. Meli ilitengenezwa kwa zaidi ya...
Baada ya serikali kufunga ushahidi leo
Ushauri wangu kwa Lissu na jopo lake ndio. Itakafuka wakati wa mashahidi wenu, basi tuanze na shahidi Samia Suluhu
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amedai kuwa alishawishiwa kupewa fedha ili akubali chama hicho kiingie kwenye uchaguzi.
Heche ameyasema hayo wakati akihojiwa na Clouds TV, akieleza kuwa...
Tanzania imegeukia kuwa uwanja wa damu. Kinachouma zaidi watanzania hawana kitu kinaitwa revenge. Hawa vibaka wangekuwa South Africa au hapa USA wangekuwa washaliwa vichwa.
RCO wa mkoa wa Mwanza...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amesema Tanzania imedhamiria kuimarisha ushirikiano wa kimkakati na India, hususan...
Ndugu zangu Watanzania,
Tanzania Ukija Moto Utarudi Baridiii Mwenyewe na kwa Kutulia Kabisa . Hili ni Taifa huru na lenye Mamlaka Kamili kabisa. Tanzania siyo Koloni la Mtu na wala Haipo chini ya...
Na NULPHIN CHARLES, Katibu Mstaafu wa CHADEMA-Serengeti
Hivi karibuni wengi tulijiuliza John Heche alipata wapi fedha za kugharamia familia yake kwenda mapumzikoni Dubai, ilihali wanachama...
Heche Ameshindikana. waandishi wa habari wengi wamezidiwa nguvu. Heche anajitawala utadhani yeye ndo anawahoji aha 😄 🤣 😂..
Asa tumwalike Chief odemba tuone kama ataweza kumkaba shingo heche.
Serikali ya Tanzania imekanusha tuhuma za kutuma raia wake kwenda Zambia kuingilia au kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Agosti 13, 2026. Serikali imesema madai hayo hayana ukweli na...