Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huu ndio ukweli mchungu na ksma Mbowe nae angekomaa, huenda hata Lissu yasingemkuta Kwa kifupi, kitendo cha kukomaa mpaka hapa kesi ilipofika, ni ushindi mkubwa kwa Lissu maana walichotaka...
4 Reactions
2 Replies
100 Views
17 August 2026 WASAUDIA WANATAKA KUWA NA HIFADHI YA MAFUTA HAPA TANZANIA / WATAKA KUWEKEZA KWENYE SEKTA ZA MADINI, KILIMO PIA UFUGAJI https://m.youtube.com/watch?v=ZSNh7sy6MD8 Source : Jambo TV...
4 Reactions
11 Replies
164 Views
Najuwa ndani ya CHADEMA hakuna mtu wa kumkosoa. Huyu dogo hapa amempaka za uso. My take: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA yuko overrated. Anahitaji kuwa adjusted kidogo. Sometimes anakuwa kama...
8 Reactions
67 Replies
978 Views
Naamini wanaJF wengi mtakuwa mnamjua huyu jamaa huko mitandaoni hasa YouTube. Mwalimu google ni nguli mchambuzi wa maswala ya siasa za kimataifa na siasa na Tanzania,haamini katika mfumo wa...
2 Reactions
10 Replies
122 Views
Kila kikao kinachoitwa, Raisi ndio mzungumzaji mkuu. Hili ni hatari sana kama taifa. Wala hawaiti kama makuhani ili wampe ushauri wa kujenga na kulinda tunu za Taifa. Ila kuwafundisha kutulia na...
26 Reactions
72 Replies
1K Views
Jumuiya ya Kifalme ya Afrika imepongeza uamuzi wa Serikali ya Tanzania wa kuwashirikisha wataalamu wa sheria na majaji kutoka nchi nyingine za Afrika katika Tume ya Uchunguzi wa Kijinai...
0 Reactions
7 Replies
120 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amebainisha kuwa chama chao kiliandika barua kwenda Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) kulalamikia matumizi ya kisiasa yanayofanywa kupitia klabu...
9 Reactions
37 Replies
531 Views
https://www.youtube.com/live/dBta4NXZCm4?is=GaPZMNUlvYMhaq2O ============= "Kesi ya Tundu Lissu ya uongo, imetengenezwa. Kila mtu anajua. Ni kesi ya kisiasa ukisikiliza mashahidi na wenyewe...
8 Reactions
34 Replies
418 Views
Ndugu zangu Watanzania, Mti Wenye Matunda ndio Hupigwa Mawe . Tanzania ya Rais Samia Ndio Lulu Ya Afrika, kwa Sasa ndio Taifa ambalo lina uwezo na nguvu ya kuzungumza na likasikika na...
3 Reactions
30 Replies
177 Views
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Morogoro, Barnabas Okola, amesema kikao cha wenyeviti wa mikoa kilichofanyika Agosti 13 kilitarajiwa kuhudhuriwa na viongozi 30, lakini waliohudhuria walikuwa 15...
0 Reactions
10 Replies
170 Views
Tarehe 25 Aprili 2026, Mzanzibari Samia Suluhu Hassan alizindua Meli ya Uvuvi kwenye maji ya kina kirefu, hadi sasa sijaona Samaki waloletwa. Eti Uchumi wa Bluu.. Meli ilitengenezwa kwa zaidi ya...
27 Reactions
92 Replies
1K Views
Aliripoti kesi ya uhaini iliyokuwa inamkabili Mbowe mwenyekiti wa zamanii wa Chadema.
3 Reactions
2 Replies
56 Views
Baada ya serikali kufunga ushahidi leo Ushauri wangu kwa Lissu na jopo lake ndio. Itakafuka wakati wa mashahidi wenu, basi tuanze na shahidi Samia Suluhu
25 Reactions
50 Replies
959 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amedai kuwa alishawishiwa kupewa fedha ili akubali chama hicho kiingie kwenye uchaguzi. Heche ameyasema hayo wakati akihojiwa na Clouds TV, akieleza kuwa...
25 Reactions
57 Replies
934 Views
Tanzania imegeukia kuwa uwanja wa damu. Kinachouma zaidi watanzania hawana kitu kinaitwa revenge. Hawa vibaka wangekuwa South Africa au hapa USA wangekuwa washaliwa vichwa. RCO wa mkoa wa Mwanza...
17 Reactions
49 Replies
792 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Dkt. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amesema Tanzania imedhamiria kuimarisha ushirikiano wa kimkakati na India, hususan...
0 Reactions
0 Replies
22 Views
Ndugu zangu Watanzania, Tanzania Ukija Moto Utarudi Baridiii Mwenyewe na kwa Kutulia Kabisa . Hili ni Taifa huru na lenye Mamlaka Kamili kabisa. Tanzania siyo Koloni la Mtu na wala Haipo chini ya...
1 Reactions
7 Replies
87 Views
Na NULPHIN CHARLES, Katibu Mstaafu wa CHADEMA-Serengeti Hivi karibuni wengi tulijiuliza John Heche alipata wapi fedha za kugharamia familia yake kwenda mapumzikoni Dubai, ilihali wanachama...
0 Reactions
8 Replies
97 Views
Heche Ameshindikana. waandishi wa habari wengi wamezidiwa nguvu. Heche anajitawala utadhani yeye ndo anawahoji aha 😄 🤣 😂.. Asa tumwalike Chief odemba tuone kama ataweza kumkaba shingo heche.
0 Reactions
1 Replies
97 Views
  • Featured
Serikali ya Tanzania imekanusha tuhuma za kutuma raia wake kwenda Zambia kuingilia au kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika Agosti 13, 2026. Serikali imesema madai hayo hayana ukweli na...
7 Reactions
67 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…