Heche Anakiwasha Sana leo Clouds TV/FM - MSIKILIZENI

Heche Anakiwasha Sana leo Clouds TV/FM - MSIKILIZENI

kinondoniilala

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
2,138
Reaction score
3,078

View: https://www.youtube.com/live/dBta4NXZCm4?is=GaPZMNUlvYMhaq2O

=============

"Kesi ya Tundu Lissu ya uongo, imetengenezwa. Kila mtu anajua. Ni kesi ya kisiasa ukisikiliza mashahidi na wenyewe walioifungua kila kitu. Inaonyesha kabisa ya uongo. Hii kesi ndio kesi pekee ambayo ipo katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kesi kubwa.

"Uhaini ni mtu ambaye anataka au kumuua Rais, Waziri Mkuu, Makamu wa Rais, Spika au Jaji Mkuu au mtu anataka kupindua nchi. Hii ni kesi kubwa.

"Hii ni kesi ambayo imefunguliwa na Jamhuri ambayo ni sisi wote against Tundu Lissu. Na kama kesi ina ushahidi hii ni kesi ambayo inatakiwa ishighulikiwe haraka iishe.

"Lakini angalia Lissu amekaa kuanzia Mwezi wa Pili hadi Mwezi wa nane ndio ameitwa mahakamani. Miezi Sita yupo ndani. Inakwambia ni kesi ambayo ya uongo"- John Heche, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA).

=================
 
JITU ONGO SANA HILI, ETI RWANDA 3 MIL VISITORS,NA TANZANIA 1.5MILS,
UONGO MTAKATIFU WA AJABU SANA,THAT MAN IS SO STUPID HE DONT HAVE EVEN A REAL DATA...
NGURUWE NDIYO ZINAIAMINI HII KENGE!
1000011145.jpg
1000011146.jpg
 
Back
Top Bottom