Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nawakumbusha watanzania kuwa ni wabunge wa CCM ndio waliopitisha sheria zote katili na kandamiza kama zile za makato ya Bodi ya Mikopo,Sheria ya kuunganisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na Sheria ya...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Aliyekuwa Mlinzi wa zamani wa Baba wa Taifa ambaye pia alikuwa Mlinzi Mkuu wa Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Aloyce Tendewa amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kilombero kwa tiketi ya...
7 Reactions
48 Replies
8K Views
Waziri wa zamani aliyetenguliwa, Jumanne Maghembe, apata ushindani mkali Mwanga Kilimanjaro MNANDI MNANDI, Mtia nia wa ubunge katika jimbo la Mwanga mkoani kilimanjaro, leo amechukua fomu ya...
4 Reactions
14 Replies
4K Views
Zile tetesi zilizo kuwa zina semwa kuhusu huyu Mhandisi wa Kimataifa leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge jimbo la Iramba Magharibi. Itakumbukwa kwamba jimbo hili lilikuwa chini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu Albert Msando ametangaza nia hiyo muda si mrefu.
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kijana Yazidu Msika naye amejitosa kugombea ubunge jimbo la Kilosa Kati akishindana na Profesa Kabudi. Ngoja tuone kama pumzi ya prof itammudu damu changa huyu zao la Kizunguzi
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwanasheria Mwandamizi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzaniania (TCRA) ambaye ni Katibu wa Kamati ya Maudhui inayofungia Vyombo vya Habari kwa kukiuka Kanuni za Maudhui mitandaoni, Dkt. Philip...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Ndani ya CCM mpaka kufikia leo Majimbo ya Mwibara na Siha yanatazamiwa kuwa na kitimtim cha aina yake katika kile kinachotazamiwa kuwa wagombea walioomba ridhaa wote wanaeleweka huko juu. MWIBARA...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Mong'oo wa Arusha ambaye ni mtoto wa Askofu Mkuu wa kanisa la Baptisti Tanzania, Arnold Manase amechukua fomu ya kuweka nia kuwania Ubunge Jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya CCM.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa vyovyote vile itakuwa, kwa mazingira yeyote yale yatakuwa, ni muhimu na lazima Vyama makini vya Upinzani kuweka Mgombea mmoja wa Urais wa Muungano, Urais wa Zanzibar, Kila Jimbo la Uchaguzi la...
19 Reactions
110 Replies
8K Views
Mtoto wa Hayati Mwalimu Nyerere amechukua fomu ya kuwania ubunge wa Butiama mkoani Mara. Ikumbukwe hivi karibuni Madaraka Nyerere ambaye ni ndugu yake naye aliita waandishi na kutangaza nia ya...
4 Reactions
13 Replies
3K Views
James Mbowe, mtoto wa kaka wa mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CHADEMA. Freeman yeye alishatangaza kutetea kiti chake...
2 Reactions
38 Replies
7K Views
Hatimaye malkia wa nguvu SELLA JASTON MKISI leo ameridhia wito wa wanawake dodoma kumtaka awawakilishe kwa nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoa wa dodoma baada ya kumsihi kutokana na harakati zake...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Waziri wa Uwekezaji, Angellah Jasmine Kairuki akichukua Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Same Magharibi kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi leo Julai 14 , 2020. Anayemkabidhi fomu hiyo ni Katibu...
3 Reactions
64 Replies
9K Views
Bado ninaamini kuwa ili uendelee tunahitaji mambo makuu manne: 1. Ardhi 2. Watu 3. Siasa safi 4. Uongozi Bora. Kwa mwingi huo,Kira yangu nita mpa mgombea yoyote mwenye kuahidi: 1. Ataweka...
0 Reactions
1 Replies
747 Views
Aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha Kalist Lazaro, leo Julai 14, 2020 amejitokeza katika ofisi za CCM wilaya ya Arusha kuchukua fomu za kuwania ubunge jimbo la Arusha mjini.
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, leo Jumanne Julai 14, Mwaka 2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumteua kugombea Ubunge katika Jimbo la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa bendi ya African Stars (Twanga Pepeta), Asha Baraka akipokea fomu ya kuomba ridhaa ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kinondoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). ===== Asha...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Siasa siasani. Siri sirini. Siasa ni sayansi ..siasa ni sanaa. Kuna baadhi ya mawaziri huko nyuma hatukuwaza hata siku moja kuwa watakuwa wanasiasa ...wengi katika baraza la Magufuli hawakuwahi...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom