Nyanswe Nsame
Senior Member
- Jul 9, 2019
- 158
- 175
Waziri wa zamani aliyetenguliwa, Jumanne Maghembe, apata ushindani mkali Mwanga Kilimanjaro
MNANDI MNANDI, Mtia nia wa ubunge katika jimbo la Mwanga mkoani kilimanjaro, leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa/ kupitishwa kuwa mgombea wa ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM.
Mnandi amechukua fomu leo hii majira ya saa nane mchana, katika ofisi ya CCM Wilaya ya Mwanga ,akiwa ameongozana na mke wake, Samira Manento.
Mbunge wa sasa wa jimbo la Mwanga ni aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye alitenguliwa Jumanne Maghembena Rais John Pombe Magufuli.
Jummane anakabiliwa na upinzani mkali ndani ya chama cha Mapinduzi ambacho wanachama wake wamejitokeza kutia nia ili kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea ubunge.
Kwa mjibu wa KATIBU wa CCM Wilaya ya Mwanga, Sixtus Mosha, amesema mpaka saa nane mchana leo, watia nia 27 wa kuomba ridhaa ya CCM, wamechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Mwanga.
MNANDI MNANDI, Mtia nia wa ubunge katika jimbo la Mwanga mkoani kilimanjaro, leo amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa/ kupitishwa kuwa mgombea wa ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi CCM.
Mnandi amechukua fomu leo hii majira ya saa nane mchana, katika ofisi ya CCM Wilaya ya Mwanga ,akiwa ameongozana na mke wake, Samira Manento.
Mbunge wa sasa wa jimbo la Mwanga ni aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye alitenguliwa Jumanne Maghembena Rais John Pombe Magufuli.
Jummane anakabiliwa na upinzani mkali ndani ya chama cha Mapinduzi ambacho wanachama wake wamejitokeza kutia nia ili kuomba ridhaa ya chama hicho kugombea ubunge.
Kwa mjibu wa KATIBU wa CCM Wilaya ya Mwanga, Sixtus Mosha, amesema mpaka saa nane mchana leo, watia nia 27 wa kuomba ridhaa ya CCM, wamechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Mwanga.