johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,752
- 139,554
James Mbowe, mtoto wa kaka wa mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Moshi Mjini kwa tiketi ya CHADEMA.
Freeman yeye alishatangaza kutetea kiti chake jimboni Hai mkoa huo huo wa Kilimanjaro.
Source: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Freeman yeye alishatangaza kutetea kiti chake jimboni Hai mkoa huo huo wa Kilimanjaro.
Source: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!