Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Duuh vita ikawa Kali sana, Mzee Mbowe akawa anataka Uenyekiti, hapohapo anataka Agombee Urais 🤣. Kumbe Lengo akiwa Mwenyekiti autumie kuwabana akina Lissu , Heche . Agombee Urais yeye, ili Samia...
12 Reactions
25 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini dhana ya No reform No election na kutafakari iwapo itafanikiwa. Kimsingi kuzuia uchaguzi ni ngumu katika nchi hii bila sapoti ya wananchi, wanachama, vyama vya...
1 Reactions
17 Replies
815 Views
Mbio za Mwenge 2025 zitahimiza Wananchi kushiriki Uchaguzi Mkuu kwa amani na utulivu. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete, amesema...
2 Reactions
46 Replies
2K Views
Waziri wa Ardhi , Mh Anjelina Mabula ametoa Marufuku hiyo alipotembelea Maonesho ya Biashara ya Sabasaba yanayoendelea Kwenye Barabara ya Kilwa Mjini Dar es Salaam. Amesema sababu kubwa ya kuzuia...
47 Reactions
119 Replies
15K Views
Air Tanzania changamkieni Soko la Afrika Kusini (Johannesburg na Cape Town) abiria Ni wa kuchota. Maana SAA imesitisha safari za kimataifa hivyo ni fursa kwa ATCL kwenda huko kama majirani zetu...
6 Reactions
136 Replies
10K Views
Kuna umuhimu gani wa kwa wakurugenzi wote waliorekodi hasara kubwa katika mashirika ya umma wanayoyaongoza kuendelea kuwa kazini? Hakuna uwajibikaji katika utumishi wa umma kabisa na ukichunguza...
7 Reactions
28 Replies
1K Views
Huyu ndiye anaomba kurudi tena ikulu kwa miaka mingine mitano
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Kupata hati safi kwa 99% baada y ukaguzi wa matumizi ya fedha za waTanzania kwenye mashirika, idara na taasisi za umma, ni kielelezo tosha muhimu sana cha uwazi, uwajibikaji, utawala bora na...
2 Reactions
18 Replies
867 Views
Kuna habari ya uwongo inayosambaa kuwa eti mjumbe wa kamati kuu Sigrada Mligo alipigwa na mlinzi mpaka kufikia hatua ya kulazwa hospitali. Habari nzima imejaa uwongo. Ukweli ni kuwa kwenye kikao...
15 Reactions
52 Replies
3K Views
Hii ndiyo Taarifa mpya kwa sasa baada ya Mkutano wa Tunduma Jioni ya leo Mengine si lazima sisi kuongeza chumvi ni vema ukajionea mwenyewe.
31 Reactions
111 Replies
5K Views
Wakuu, Diwani wa Kata ya Mshangano, Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Samwel Mbano ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo kwa maslahi mapana ya serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu Mbeya vipi huko ni kweli barabara zimekuwa nzuri kiasi hicho hadi mnarudi CCM? Aliyerudisha kadi ya Chama amesema ameamua kurudi CCM kwani Chadema hawana mipango inayoeleweka na kwamba...
3 Reactions
8 Replies
617 Views
Hawa Ni wananchi wa Mwanza, Nyamgana na Ilemela, nimejaribu kuuliza kama wanamfahamu mbunge wao na Mara ya Mwisho kumuona Ilikua Lini, Asee Majibu yao yatakufikirisha
2 Reactions
9 Replies
521 Views
CHADEMA katika kampeni yake ya NO REFORM NO ELECTION, haitafuti upendeleo bali inatafuta haki na ulinzi wa thamani ya kura. Hivi CCM kama huwa inashinda kwa haki, si ndiyo ungekuwa muda sahihi...
8 Reactions
6 Replies
641 Views
No Reform No Election: Tafakuri ya Mtanziko wa Kisiasa Mimi ni mzalendo na mchambuzi wa mambo ninatafakari dhana ya No Reform No Election kwa kina, ninapata tatizo kuelewa Chadema inataka nini...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Soka la bongo limepambaniwa miaka na miaka na hapa ligi yetu ilipofika kweli ni pakubwa kwakua ligi yetu ni ya tano kwa ubora Afrika na huu ni kweli kuwa kazi na uwekezaji mkubwa umefanyika. Hili...
5 Reactions
39 Replies
2K Views
Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa imeonesha kushangazwa na kitendo cha Baraza la Wanawake wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) kutokutoa kauli yoyote baada ya Katibu...
1 Reactions
4 Replies
620 Views
Nawashauri kipindi hiki kuelekea Oktoba na hatma ya uchaguzi mkuu jaribuni kuwa active. Wenzenu upande wa pili wako vizuri sana. Vijana wenu hasa kwenye online platforms waambieni wajaribu kwenda...
1 Reactions
3 Replies
293 Views
===== Kamishina Mkuu wa Ubia katika Serikali na Sekta Binafsi nchini ( PPP) Mhe David Zachari Kafulila amefafanua haya alipokuwa akihojiwa na Televisheni ya Globali, Mhe David Zacharia Kafulila...
25 Reactions
72 Replies
3K Views
Waziri Kivuli wa Utumishi wa Umma na Utawala Bora ACT Wazalendo, Shangwe Ayo, ametaka ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa Tanzania (TAKUKURU),ili iweze kujadiliwa kwa kina na...
0 Reactions
1 Replies
325 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…