Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,653
- 218,143
Waziri wa Ardhi , Mh Anjelina Mabula ametoa Marufuku hiyo alipotembelea Maonesho ya Biashara ya Sabasaba yanayoendelea Kwenye Barabara ya Kilwa Mjini Dar es Salaam.
Amesema sababu kubwa ya kuzuia uuzaji wa viwanja vya ukubwa huo ni kuharibu Mipango miji , kwa vile viwanja vinavyopimwa ni vidogo mno kiasi kinachosababisha mrundikano wa watu wengi kwenye eneo moja.
Amewaasa wenye makampuni ya kuuza viwanja wapunguze Tamaa inayowasukuma kuuza viwanja vidogo vidogo ili wapate faida kubwa.
Nakala : Kwa Wakazi wa Mbagala, Vikindu na Chamazi.
Amesema sababu kubwa ya kuzuia uuzaji wa viwanja vya ukubwa huo ni kuharibu Mipango miji , kwa vile viwanja vinavyopimwa ni vidogo mno kiasi kinachosababisha mrundikano wa watu wengi kwenye eneo moja.
Amewaasa wenye makampuni ya kuuza viwanja wapunguze Tamaa inayowasukuma kuuza viwanja vidogo vidogo ili wapate faida kubwa.
Nakala : Kwa Wakazi wa Mbagala, Vikindu na Chamazi.