Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

2025 , kuna dalili nyingi sana ambazo zinaonesha kuna uwezekano wa Upinzani kuchukua dola . Kuna dalili 2025 kuna wana CCM kindaki ndaki wataihujumu CCM Kuna dalili 2025 vyombo vya dola vikawa...
10 Reactions
47 Replies
2K Views
Watu wanao taka Lisu awe Kiongozi ni kwa kutaka awaandamaie wao wenyewe wakiwa wamekaa kwenye Tv. Kenya kinacho wafabya wakina Raila Odinga na wengineo watambe ni Raia wa Kenya. Wakenya hata...
3 Reactions
3 Replies
374 Views
Matukio, mwenendo na mitazamo ya wengi kwa sasa yamejikita kwenye mchakato wa kupata Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA. Tunachokiona kwa sasa nimnyukano mkali ambao ulianza kama tetesi na hususan...
3 Reactions
24 Replies
872 Views
KWELI KUNA WANACHADEMA HAMNAZO. UTAWEZAJE KUPIGANIA HAKI BILA KUWA NA KIONGOZI MWANAHARAKATI? Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Kwa kweli Wanachadema wamenishangaza Sana. Uchaguzi huu...
16 Reactions
81 Replies
2K Views
Wakuu salam, kila mmoja kwa imani yake wajf popote mlipo. Leo ni leo vipenga kwa pande zote vimelia ,Mbowe anagombea ,lissu anagombea kazi kwenu wajumbe kutuletea mtu Mhimu kwa wakati muhim...
2 Reactions
1 Replies
303 Views
Waziri Mchengerwa amethibitisha kwamba yeye ni mwanasheria. Ameiletea sifa kubwa taaluma yake ya Sheria. Baada ya Makonda kuwapomgeza wananchi waliokuwa wanawadhalilisha viongozi wao, Mchengerwa...
10 Reactions
46 Replies
4K Views
Mbowe kutangaza tu kuwa atagombea tayari kuna wanachama mmetangaza kukiacha chama!, hata uvumilivu hamna!. Kwani wapi amevunja sheria ya kwamba haruhusiwi kutangaza nia yakugombea..? Hata hivyo...
3 Reactions
6 Replies
338 Views
Baada ya Mh Mbowe kutangaza rasmi kuwa atagombea Uenyekiti wa chama, naahidi kumpigia kampeni Lissu mpaka ashinde. Na nikiona anafanyiwa figisu nitamshauri ajitoe awe mwanachama wa kawaida.
2 Reactions
2 Replies
512 Views
Lisu hajui katiba ya Chadema katiba haitoi ukomo wa kiongozi na yeye kama kiongozi alipitisha kwenye vikao akiwa mmojawapo wajumbe Sasa anaposema ohh Mbowe kakaa sana atoke ana maana gani? Kwa...
0 Reactions
6 Replies
279 Views
Analalamikiwa mtu mmoja tu mpokeaji RUSHWA lakini MTOAJI hasemwi hiyo iko sawa?Au siasa za kuchafuana
1 Reactions
0 Replies
171 Views
***** 1.Kanda ya kusini yenye mikoa ya Ruvuma Mtwara Lindi ni kanda ya mwisho kabisa kwenye akili za Mbowe au haipo kabisa ni muda sana aliamua kuizika kwa kuingia biashara ya jumla na wapinzani...
0 Reactions
4 Replies
457 Views
Heh! Mama Fatma kafunga safari kutoka Zanzibar hadi Arusha kumpongeza tu au kuna ujumbe mwingine kampelekea? Mama Fatma Karume amefika Mkoani Arusha mapema Jumamosi ya Disemba 21, 2024 na...
1 Reactions
0 Replies
293 Views
Yaani Mtoto wa Rais ndio unaenda kumuuliza Tundu Lisu atalipwaje Madai yake? Huo ndio utaratibu kweli? Halafu Chadema wanatamba kushika DOLA wakati Hakunaga wanachojua? Hapa sitawalaumu polisi...
7 Reactions
105 Replies
2K Views
Habari ziwafikie mapeeemaaa kuwa mtaendelea na makasiliko hadi mkome. Kwa mujibu wa Sophy Mjema ni kuwa mama Samia ni hadi 2035. Ndani ya chama wewe kama humtaki basi andaa panadol za kutosha...
20 Reactions
235 Replies
16K Views
NIlikuwa nasikia tu na kuona kwenye TV aisee MH mama SAMIA kwa treni hii niliyopanda dar n Moro baadae Moro Dom MH mama una mi 5 Tena inakusubiria MUNGU akupe uhai na upendo WA kuendelea...
3 Reactions
11 Replies
475 Views
Mpo Salama kabisa! Naona Team Lisu mmekwaza, mmekata tamaa lakini pia Wanachadema ambao sio team Lisu lakini mnahitaji mabadiliko mapya na uongozi wenye mawazo na mbinu Mpya. Poleni Sana. Ndivyo...
1 Reactions
8 Replies
436 Views
Hao ndio CCM bhana wako busy na uchaguzi mkuu ujao Chadema wanagombania vyeo uchaguzi ukifika wanadai wameibiwa kura 😂 Dr Nchimbi amewapongeza Bashe na Kigwangalla Kwa namna wanavyoshirikiana...
6 Reactions
17 Replies
657 Views
Uchaguzi ndani ya chadema umeonyesha sura halisi ya Mbowe na wafuasi wake, nimeshanga sana kusikia Mbowe anasema" eti akiona CHAMA kinazamishwa anaingia mzigoni" wewe kama nani? Mwenye hati miliki...
10 Reactions
72 Replies
3K Views
Kwa hali ilivyo wananchi na wanachadema wote wanaomba uchukue fomu kwa ajili ya Makamu Mwenyekiti. John unazo sifa zote kuliko Wenje na mwingine yeyote kwa nafasi hiyo. Ni mwanachama Asili wa...
2 Reactions
6 Replies
612 Views
Ndugu zangu , nawasalim tena , kila mmoja kwa imani yake wanajf popote mlipo. Ndugu zangu, mada hapo juu yajieleza. Binafsi sikukuu kwangu ni jambo muhim sana, ila nimejikuta nimekua zezeta...
11 Reactions
37 Replies
1K Views
Back
Top Bottom