Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Uchaguzi wa Chadema umeleta hisia kwasababu hii viongozi wengi ambao ndiyo wapiga kura wana muunga mkono Mbowe lakini wananchi wengi ambao hawana chama na diaspora wengi wanamuunga mkono Lissu...
3 Reactions
7 Replies
383 Views
Mwita Waitara akiwa Mbunge wa Ukonga aliwahi kusema Chadema inamilikiwa na Freeman Mbowe na Halima James Mdee Binafsi nilimbishia Lakini sikuwahi kufanya utafiti wowote Leo ghafla nimekumbuka...
0 Reactions
1 Replies
261 Views
Kama CCM ingekuwa na Katiba ya kurithishana isiyojali Ukomo wa Uongozi kama ya Chadema basi Leo hii Makongoro Nyerere angekuwa Mwenyekiti wa CCM na Vita Kawawa Katibu mkuu. Kamati kuu wangejaa...
8 Reactions
22 Replies
791 Views
My Take: Ukoo wa kina Manji sio vilaza na Kwa mara nyingine Wahindi wanaonesha jinsi gani ni vipanga kwenye sekta ya Afya na Hesabu. Hongera Prof Karim Manji Kwa kuitangaza Tanzania na Muhimbili...
13 Reactions
32 Replies
3K Views
Ile safari ya ujenzi wa demokrasia kuanzia vyamani inakwenda vyema. Kwamba sasa ni rasmi kuonja sumu kwa ulimi ni kapuni. Haya ni mafanikio makubwa kwani tuliko toka ni mbali! Hapa tulipo...
4 Reactions
40 Replies
1K Views
MBUNGE WA JIMBO APONGEZA VIJANA 32 WA MUSOMA VIJIJINI WALIOTEMBEA KWA MIGUU KUTOKA BUTIAMA HADI MWANZA Leo ilikuwa siku ya Kikao cha Baraza la Vijana wa CCM (UVCCM) wa Wilaya ya Musoma Vijijini...
1 Reactions
5 Replies
404 Views
* Zitto amekaa muda mfupi na kupisha mwingine bila mabishano; * Mbowe wa CDM amekaa miaka mingi na hana utayari wa kuamini kuwa wapo wengine wawezao kuongoza CDM; CCM izidi kuwafundisha CDM...
1 Reactions
6 Replies
369 Views
Alianza Makala (Katibu wa Itikadi CCM) kutabiri "laja varangati la haja ndani ya Chadema." Na kweli utabiri huo umetimu. Uzuri wa CCM hukutumia na wakijridhisha huna madhara-wanakutupa kama ganda...
2 Reactions
8 Replies
581 Views
Wanachama wa Chadema mliomtukana Mchungaji Msigwa Press yake iliporatibiwa na TBC pale Iringa mjini pokeeni msamaha wa dhambi zenu Kutoka Kwa mchungaji Wote mmeshuhudia Leo Press ya Freeman...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu, Humu mitandaoni uaweza kudhani kuwa UVCCM haina wanachama hai lakini hawa jamaa wana nyomi la kutosha. Hapa sijui ni watu wamefuata muziki au wamemfuata Mwenyekiti wa UVCCM, Kawaida...
3 Reactions
10 Replies
428 Views
Kama CCM safi, inaogopa nini? Lula wa Ndali-Mwananzela Januari 21, 2009 Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo HIVI ukimuona mtu kwa mbali amevaa suti nzuri yenye rangi ya kupendeza, amevaa...
0 Reactions
59 Replies
7K Views
Lissu anawauliza wanachama, je ana uhakika wa kushinda? https://x.com/Lissu_2025/status/1870095911273091442/photo/1
4 Reactions
57 Replies
2K Views
Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa. Katibu Mkuu anawatangazia wanachama wote kuwa kutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari, 2025...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Kikawaida kinachomweka MTU madarakani au kumpa kibali huwa ni nature . Na nature huwa inazungumza na watu Kwa majira tofauti , tofauti. Hivyo nature ilimchagua Lissu na kumpitisha kuwa...
1 Reactions
8 Replies
371 Views
Wanabodi, Kwa Tundu Lissu na Freeman Mbowe uwenyekiti wa CHADEMA ni title na umaarufu na wala hauta badilisha sana majukumu ya wote kwenye chama. Mjumbe ambaye anataka kuwa mwenyekiti na hayupo...
1 Reactions
2 Replies
522 Views
Wakati wanafanya mabadiliko ya katiba na kuweka ukomo wa miaka 10 kwa vipindi vya mihula miwili vya Urais ni wazi walisahau kuweka ukomo wa vipindi vya ubunge, sasa tuna wabunge wengi waliokaa...
1 Reactions
1 Replies
247 Views
Wakili Msomi na Rais wa TLS Boniface Mwakubusi ameuliza kupitia mtandao wa X kama wale walioidhihaki TLS kuhusu Samia Legal Aid kama wamesema lolote kuhusu jambo fulani kupewa LIVE Coverage na TBC.
2 Reactions
3 Replies
468 Views
Hizi taasisi mbili za CCM na TLS ndio pekee Chaguzi za Viongozi wake hazinaga figisu Ni taasisi zinazoheshimu demokrasia ya kuchagua na kuchaguliwa Ahsanteni sana 😄
1 Reactions
2 Replies
176 Views
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe hajawahi kuuza Mali yake yoyote Kwa ajili ya Chadema Anayebisha aweke Hapa Mkataba wa Mauziano Nimekaa pale mwagito 🐼
5 Reactions
30 Replies
2K Views
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Back
Top Bottom