Uchaguzi wa Chadema umeleta hisia kwasababu hii viongozi wengi ambao ndiyo wapiga kura wana muunga mkono Mbowe lakini wananchi wengi ambao hawana chama na diaspora wengi wanamuunga mkono Lissu...
Mwita Waitara akiwa Mbunge wa Ukonga aliwahi kusema Chadema inamilikiwa na Freeman Mbowe na Halima James Mdee
Binafsi nilimbishia Lakini sikuwahi kufanya utafiti wowote
Leo ghafla nimekumbuka...
Kama CCM ingekuwa na Katiba ya kurithishana isiyojali Ukomo wa Uongozi kama ya Chadema basi Leo hii Makongoro Nyerere angekuwa Mwenyekiti wa CCM na Vita Kawawa Katibu mkuu.
Kamati kuu wangejaa...
My Take:
Ukoo wa kina Manji sio vilaza na Kwa mara nyingine Wahindi wanaonesha jinsi gani ni vipanga kwenye sekta ya Afya na Hesabu.
Hongera Prof Karim Manji Kwa kuitangaza Tanzania na Muhimbili...
Ile safari ya ujenzi wa demokrasia kuanzia vyamani inakwenda vyema.
Kwamba sasa ni rasmi kuonja sumu kwa ulimi ni kapuni. Haya ni mafanikio makubwa kwani tuliko toka ni mbali!
Hapa tulipo...
MBUNGE WA JIMBO APONGEZA VIJANA 32 WA MUSOMA VIJIJINI WALIOTEMBEA KWA MIGUU KUTOKA BUTIAMA HADI MWANZA
Leo ilikuwa siku ya Kikao cha Baraza la Vijana wa CCM (UVCCM) wa Wilaya ya Musoma Vijijini...
* Zitto amekaa muda mfupi na kupisha mwingine bila mabishano;
* Mbowe wa CDM amekaa miaka mingi na hana utayari wa kuamini kuwa wapo wengine wawezao kuongoza CDM;
CCM izidi kuwafundisha CDM...
Alianza Makala (Katibu wa Itikadi CCM) kutabiri "laja varangati la haja ndani ya Chadema." Na kweli utabiri huo umetimu.
Uzuri wa CCM hukutumia na wakijridhisha huna madhara-wanakutupa kama ganda...
Wanachama wa Chadema mliomtukana Mchungaji Msigwa Press yake iliporatibiwa na TBC pale Iringa mjini pokeeni msamaha wa dhambi zenu Kutoka Kwa mchungaji
Wote mmeshuhudia Leo Press ya Freeman...
Wakuu,
Humu mitandaoni uaweza kudhani kuwa UVCCM haina wanachama hai lakini hawa jamaa wana nyomi la kutosha.
Hapa sijui ni watu wamefuata muziki au wamemfuata Mwenyekiti wa UVCCM, Kawaida...
Kama CCM safi, inaogopa nini?
Lula wa Ndali-Mwananzela Januari 21, 2009
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo
HIVI ukimuona mtu kwa mbali amevaa suti nzuri yenye rangi ya kupendeza, amevaa...
Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa.
Katibu Mkuu anawatangazia wanachama wote kuwa kutakuwa na uchaguzi wa viongozi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari, 2025...
Kikawaida kinachomweka MTU madarakani au kumpa kibali huwa ni nature .
Na nature huwa inazungumza na watu Kwa majira tofauti , tofauti.
Hivyo nature ilimchagua Lissu na kumpitisha kuwa...
Wanabodi,
Kwa Tundu Lissu na Freeman Mbowe uwenyekiti wa CHADEMA ni title na umaarufu na wala hauta badilisha sana majukumu ya wote kwenye chama. Mjumbe ambaye anataka kuwa mwenyekiti na hayupo...
Wakati wanafanya mabadiliko ya katiba na kuweka ukomo wa miaka 10 kwa vipindi vya mihula miwili vya Urais ni wazi walisahau kuweka ukomo wa vipindi vya ubunge, sasa tuna wabunge wengi waliokaa...
Wakili Msomi na Rais wa TLS Boniface Mwakubusi ameuliza kupitia mtandao wa X kama wale walioidhihaki TLS kuhusu Samia Legal Aid kama wamesema lolote kuhusu jambo fulani kupewa LIVE Coverage na TBC.
Hizi taasisi mbili za CCM na TLS ndio pekee Chaguzi za Viongozi wake hazinaga figisu
Ni taasisi zinazoheshimu demokrasia ya kuchagua na kuchaguliwa
Ahsanteni sana 😄
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe pamoja na maswali ya waandishi wa habari aliyoyajibu leo ni masterclass ya siasa za upinzani katika nchi yetu. Kuongoza upinzani sio oya oya kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.