Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara...
22 Reactions
189 Replies
11K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Baada ya Mzee Mwinyi kutoa maoni yake kuwa kama isingekuwa ni Matakwa ya kikatiba, angependa Rais Magufuli awe Rais wa muda wote, kuna povu jingi linawatoka viongozi na...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Wadau, amani iwe kwenu. Freeman Mbowe ni mjanja. Mjanja sana tena wa kiwango cha PHD. Kaanzisha mjadala mkubwa kwenye social media kuwa wabunge wa CCM wamegawana fedha za Rushwa kiasi cha milioni...
3 Reactions
109 Replies
7K Views
Tamaa ya vyeo, mfuragano nakukosa subra ktk vyama vya siasa 1. NCCR 2. TLP 3. CUF bara 4. Hivi sasa chadema Siasa wanaona mchakato wa siku 1 , 2 au 3
0 Reactions
1 Replies
244 Views
Godbless Lema amewaonya akina Yeriko Nyerere kwamba waache kutumia maneno makali kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti Kwa sababu mwakani ni zamu ya chadema kukamata Dola na viongozi waandamizi Mbowe na...
5 Reactions
9 Replies
485 Views
Wenye akili wameanza kujenga apartments, restaurants na sehemu za starehe (night clubs etc.). Wengine huko Lindi na Mtwara muendelee kulaumu tu
0 Reactions
0 Replies
236 Views
Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameagiza kukamatwa kwa wasimamizi wa Mradi wa Maji Kwamsisi, katika kata ya Kwamsisi ili uchunguzi ufanyike kutokana na kuhisiwa vitendo vya ubadhirifu wa fedha...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Pamoja na covid-19 kubeba uongozi wa juu wa BAWACHA, lkn pia Kuna:- 1. Mke wa Benson Kigailla.....naibu katibu mkuu bara. 2. Mke wa Salum Mwalimu (naibu katibu mkuu Zanzibar). 3. Mke wa Ally...
2 Reactions
7 Replies
747 Views
Wakuu, Kufuatia maongezi ya Lissu, Club House jana, msanii Roma Mkatoliki ametoa maoni yake kuhusu nini hasa kinaendelea ============================================== "Wanaosema TAL anatoa...
3 Reactions
11 Replies
665 Views
Waandishi wasaidizi na waongozaji mashine za biometric (BVR) kwenye zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya, wametakiwa kutotumia vinywaji vyenye...
0 Reactions
3 Replies
441 Views
Kumpa mtu Cheo cha kuhudumia Wananchi kama masharti ya kuhama Chadema na kutukana viongozi waliomuokota porini na kumuingiza kwenye siasa, hakuwezi kuleta viongozi wenye weledi. Peter Lijuakali...
12 Reactions
28 Replies
1K Views
Tundu Lissu ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa, ametoa wito kwa Freeman Mbowe, kueleza kwa uwazi kuhusu madai ya kutumia mabilioni ya fedha ndani ya chama...
2 Reactions
12 Replies
840 Views
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul! Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a...
7 Reactions
95 Replies
3K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa; Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza na Naibu wake, Adam Malima, wameshindwa kazi...
0 Reactions
51 Replies
9K Views
Kufatia kuwepo kwa kero ya muda mrefu ya maji katika wilaya ya Biharamulo moani Kagera, serikali imetenga Zaidi ya shilingi Bilioni 70 kwaajili ya kuanza ujenzi wa maji kutok ziwa Victoria. Kauli...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Pope Francis posing with President Samia for a photo I. Abstract "Since the Church is present across the different stages of the election process, readers might wonder whether it is permissible...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria amekiri Yeye ndiye alimfuata Abdul na kumuomba amsaidie Tundu Lisu Hata Lisu alisema Abdul alimwambia " nasikia una shida na unataka tuonane" Kisha Lisu...
1 Reactions
10 Replies
409 Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Martha Nehemia Gwau amekabidhi majiko ya Gesi 60 kwa wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida na Wilaya ya Ikungi Disemba 21,2024 Ikiwa ni...
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Haya ni maneno ya Tundu Lissu “nilimwambia Abdul anisaidie kupata malipo yangu na nikampa documents,angefanikiwa angekuwa rafiki yangu” Huyu ndio wafuasi wake wanasema ni mkweli kanyooka...
15 Reactions
79 Replies
3K Views
"Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe Freeman Mbowe amezungukwa na kundi la watu ambao wamejijengea umangi meza. Bahati mbaya ni kwamba Mweyekiti ni mwepesi wa kupokea fitina na majungu na wakati...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…