Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara...
Wadau, amani iwe kwenu.
Baada ya Mzee Mwinyi kutoa maoni yake kuwa kama isingekuwa ni Matakwa ya kikatiba, angependa Rais Magufuli awe Rais wa muda wote, kuna povu jingi linawatoka viongozi na...
Wadau, amani iwe kwenu.
Freeman Mbowe ni mjanja. Mjanja sana tena wa kiwango cha PHD. Kaanzisha mjadala mkubwa kwenye social media kuwa wabunge wa CCM wamegawana fedha za Rushwa kiasi cha milioni...
Godbless Lema amewaonya akina Yeriko Nyerere kwamba waache kutumia maneno makali kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti Kwa sababu mwakani ni zamu ya chadema kukamata Dola na viongozi waandamizi Mbowe na...
Waziri wa Maji Jumaa Aweso ameagiza kukamatwa kwa wasimamizi wa Mradi wa Maji Kwamsisi, katika kata ya Kwamsisi ili uchunguzi ufanyike kutokana na kuhisiwa vitendo vya ubadhirifu wa fedha...
Pamoja na covid-19 kubeba uongozi wa juu wa BAWACHA, lkn pia Kuna:-
1. Mke wa Benson Kigailla.....naibu katibu mkuu bara.
2. Mke wa Salum Mwalimu (naibu katibu mkuu Zanzibar).
3. Mke wa Ally...
Wakuu,
Kufuatia maongezi ya Lissu, Club House jana, msanii Roma Mkatoliki ametoa maoni yake kuhusu nini hasa kinaendelea
==============================================
"Wanaosema TAL anatoa...
Waandishi wasaidizi na waongozaji mashine za biometric (BVR) kwenye zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la mpiga kura katika halmashauri ya wilaya ya Mbeya, wametakiwa kutotumia vinywaji vyenye...
Kumpa mtu Cheo cha kuhudumia Wananchi kama masharti ya kuhama Chadema na kutukana viongozi waliomuokota porini na kumuingiza kwenye siasa, hakuwezi kuleta viongozi wenye weledi.
Peter Lijuakali...
Tundu Lissu ambaye pia ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa, ametoa wito kwa Freeman Mbowe, kueleza kwa uwazi kuhusu madai ya kutumia mabilioni ya fedha ndani ya chama...
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa; Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza na Naibu wake, Adam Malima, wameshindwa kazi...
Kufatia kuwepo kwa kero ya muda mrefu ya maji katika wilaya ya Biharamulo moani Kagera, serikali imetenga Zaidi ya shilingi Bilioni 70 kwaajili ya kuanza ujenzi wa maji kutok ziwa Victoria.
Kauli...
Pope Francis posing with President Samia for a photo
I. Abstract
"Since the Church is present across the different stages of the election process, readers might wonder whether it is permissible...
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria amekiri Yeye ndiye alimfuata Abdul na kumuomba amsaidie Tundu Lisu
Hata Lisu alisema Abdul alimwambia " nasikia una shida na unataka tuonane"
Kisha Lisu...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Martha Nehemia Gwau amekabidhi majiko ya Gesi 60 kwa wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida na Wilaya ya Ikungi Disemba 21,2024 Ikiwa ni...
Haya ni maneno ya Tundu Lissu
“nilimwambia Abdul anisaidie kupata malipo yangu na nikampa documents,angefanikiwa angekuwa rafiki yangu”
Huyu ndio wafuasi wake wanasema ni mkweli kanyooka...
"Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe Freeman Mbowe amezungukwa na kundi la watu ambao wamejijengea umangi meza.
Bahati mbaya ni kwamba Mweyekiti ni mwepesi wa kupokea fitina na majungu na wakati...