Kuna dhana potofu inayojengwa kuwa kwa sababu Mbowe ameamua kushiriki uchaguzi kwa kugombea uenyekiti wa Taifa Chadema lazima atashinda na kwamba CCM watapata urahisi wa kushinda uchaguzi mkuu...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe ndio aliyetoa tangazo na agizo la kwamba CHADEMA ikashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na madhaifu yaliyokuwepo ila bado alikioeleka chama kwenye uchaguzi...
Nimefatilia sana ktk uchaguzi huu wa chadema.
Mtu ambaye anatumia nguvu kuhakikisha Lissu anakuwa mwenyekiti ni Maria Sarungi.
Hutu ukipitia X zake anatupa mishale kila kona na kila anaeona...
Mshikemshike nguo kuchanika unazidi kushika kasi, pale nafasi ya M/Taifa wa CHADEMA inapokwenda kushikwa tena katika kipindi kijacho cha miaka mingine mitano. Miamba wakubwa wawili wamejotokeza...
Kuna hoja inatumiwa sana na machawa wa Mbowe kuwa Lissu hawezi kuingoza chadema kwa kuwa ni kapuku na mbangaizaji.
Lakini tumeona viongozi kama Nyerere wakiongoza chama kwa mafanikio bila kuwa...
Maneno Hayo Ameyasema Aliyekuwa Kiongozi wa Kanda ya Kaskazini Mheshimiwa Godbless lema..
Baada ya Kuandila Barua Katika Ukurasa wa Twitter Yenye Messeji kali Sana na Ya Kuhuzunisha na Ikionyesha...
James Mbowe ambaye ni mwanachama mwaminifu wa Bavicha anesema Chadema ina mambo mawili tu mosi Box la Kura litaamua nani aongoze Chadema na pili Baada ya matokeo ni marufuku kuhama chama
Mbowe...
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani.
Kamishna wa Polisi Awadhi...
Ni baadhi ya mawazo ya Wazee wangu hapa CCM Kambangwa
Wanasema ije mvua lije jua Tundu Lisu hatakuwa Mwenyekiti wa Chadema na sababu ni rahisi sana Siri ZOTE za mtangulizi wake zitakuwa hadharani...
Kama hujui Wakurugenzi wa Halmashauri ambao wako Chini ya Tamisemi ndio Wasimamizi wa Uchaguzi mkuu
Safari hii Tamisemi inaongozwa na mwanasheria Mchengerwa ambaye siyo muongeaji sana kama Jafo...
1. Hapakuwepo na maridhiano, bali mazungumzo ya kuelekea maridhiano ambayo yangetupeleka kwenye maridhiano
2. Mbowe hakuandaa warithi:, swali hilo hakulijibu inavyopashwa. Chama ndicho...
Hali ya migogoro ndani ya vyama vya siasa Tanzania, hususan CHADEMA na CCM, inaonyesha mifumo tofauti ya usimamizi wa migogoro na mshikamano wa ndani ya vyama hivi viwili:
CCM:
Licha ya migogoro...
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa
Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia
Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu...
Tundu Lissu anatutoa tena mafichoni kwenye suala la ngorongoro badala ya kujibu hoja zake naona wana ccm wenzangu hasa lile kundi la chawa ambalo halitambuliki rasmi chamani limetokomea...
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi.
Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe...
Kwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania. Hoja zake zinajadiliwa na kila mtu na zimepelekea hata vyuo kutunga mitihani kuhusu Muungano na hali ya siasa nchi ni.
Mwanafunzi...
Wakuu,
Harakati za kujikomba na kulamba miguu zinazidi kupamba moto. Kenani Kihongosi ameongoza kupe wenzake kumuombea Rais Samia, taifa liwe na baraka tele.
Ni mwendo wa kujiweka karibu na...
MIJADALA inayotawala sasa hivi kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa, huku mchuano ukiwa kati ya mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na makamu wake, Tundu...
Ukiachilia mbali kutukanwa na Viongozi wenzake akina Ntobi, Yeriko nk Lakini hili la Ubangaizaji ni madharau yaliyotuka
Ukishindwa na kubaki Chadema Mh Tundu Antipas Lisu utajikuta unadharirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.