Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna dhana potofu inayojengwa kuwa kwa sababu Mbowe ameamua kushiriki uchaguzi kwa kugombea uenyekiti wa Taifa Chadema lazima atashinda na kwamba CCM watapata urahisi wa kushinda uchaguzi mkuu...
6 Reactions
30 Replies
908 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Mbowe ndio aliyetoa tangazo na agizo la kwamba CHADEMA ikashiriki uchaguzi wa Serikali za mitaa. Pamoja na madhaifu yaliyokuwepo ila bado alikioeleka chama kwenye uchaguzi...
6 Reactions
14 Replies
604 Views
Nimefatilia sana ktk uchaguzi huu wa chadema. Mtu ambaye anatumia nguvu kuhakikisha Lissu anakuwa mwenyekiti ni Maria Sarungi. Hutu ukipitia X zake anatupa mishale kila kona na kila anaeona...
6 Reactions
47 Replies
2K Views
Mshikemshike nguo kuchanika unazidi kushika kasi, pale nafasi ya M/Taifa wa CHADEMA inapokwenda kushikwa tena katika kipindi kijacho cha miaka mingine mitano. Miamba wakubwa wawili wamejotokeza...
2 Reactions
2 Replies
310 Views
Kuna hoja inatumiwa sana na machawa wa Mbowe kuwa Lissu hawezi kuingoza chadema kwa kuwa ni kapuku na mbangaizaji. Lakini tumeona viongozi kama Nyerere wakiongoza chama kwa mafanikio bila kuwa...
3 Reactions
2 Replies
333 Views
Maneno Hayo Ameyasema Aliyekuwa Kiongozi wa Kanda ya Kaskazini Mheshimiwa Godbless lema.. Baada ya Kuandila Barua Katika Ukurasa wa Twitter Yenye Messeji kali Sana na Ya Kuhuzunisha na Ikionyesha...
37 Reactions
124 Replies
8K Views
James Mbowe ambaye ni mwanachama mwaminifu wa Bavicha anesema Chadema ina mambo mawili tu mosi Box la Kura litaamua nani aongoze Chadema na pili Baada ya matokeo ni marufuku kuhama chama Mbowe...
4 Reactions
51 Replies
2K Views
Mmoja wa maafisa wa ngazi za juu katika Jeshi la Polisi la Tanzania sasa yupo katika spotlight kwa madai ya kuongoza ukatili wa Polisi dhidi ya Wanachama wa upinzani. Kamishna wa Polisi Awadhi...
9 Reactions
110 Replies
10K Views
Ni baadhi ya mawazo ya Wazee wangu hapa CCM Kambangwa Wanasema ije mvua lije jua Tundu Lisu hatakuwa Mwenyekiti wa Chadema na sababu ni rahisi sana Siri ZOTE za mtangulizi wake zitakuwa hadharani...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Kama hujui Wakurugenzi wa Halmashauri ambao wako Chini ya Tamisemi ndio Wasimamizi wa Uchaguzi mkuu Safari hii Tamisemi inaongozwa na mwanasheria Mchengerwa ambaye siyo muongeaji sana kama Jafo...
1 Reactions
21 Replies
813 Views
Kama Mwanza hali ni hii, haijulikani huko Mara itakuwaje yaani ! kiukweli tumuombe sana Mungu aepushe maafa ya kukanyagana .
8 Reactions
41 Replies
2K Views
1. Hapakuwepo na maridhiano, bali mazungumzo ya kuelekea maridhiano ambayo yangetupeleka kwenye maridhiano 2. Mbowe hakuandaa warithi:, swali hilo hakulijibu inavyopashwa. Chama ndicho...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Hali ya migogoro ndani ya vyama vya siasa Tanzania, hususan CHADEMA na CCM, inaonyesha mifumo tofauti ya usimamizi wa migogoro na mshikamano wa ndani ya vyama hivi viwili: CCM: Licha ya migogoro...
0 Reactions
0 Replies
281 Views
Nayasema haya kwa uchungu mkubwa Damu za Watanzania zilizomwagika kuanzia Chacha wangwe, Mwangosi, Akwilina, Ben Saanane, Alphonce Mawazo, Ali Kibao, risasi alizopigwa na kuumizwa Tundu Lissu...
12 Reactions
39 Replies
1K Views
Tundu Lissu anatutoa tena mafichoni kwenye suala la ngorongoro badala ya kujibu hoja zake naona wana ccm wenzangu hasa lile kundi la chawa ambalo halitambuliki rasmi chamani limetokomea...
6 Reactions
21 Replies
2K Views
Pascal Mayalla aliwahi kuleta uzi humu kwamba CHADEMA kuna kirusi kinawatafuna na kipo ndani kabisa kwenye chombo chao cha maamuzi. Ukiangalia haya yanayotokea hapo chadema kwa Mbowe...
12 Reactions
39 Replies
2K Views
Kwa sasa hivi Tundu Lissu ndiye mwanasiasa mwenye mvuto Tanzania. Hoja zake zinajadiliwa na kila mtu na zimepelekea hata vyuo kutunga mitihani kuhusu Muungano na hali ya siasa nchi ni. Mwanafunzi...
15 Reactions
44 Replies
3K Views
Wakuu, Harakati za kujikomba na kulamba miguu zinazidi kupamba moto. Kenani Kihongosi ameongoza kupe wenzake kumuombea Rais Samia, taifa liwe na baraka tele. Ni mwendo wa kujiweka karibu na...
0 Reactions
3 Replies
395 Views
MIJADALA inayotawala sasa hivi kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu uchaguzi wa Chadema ngazi ya taifa, huku mchuano ukiwa kati ya mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na makamu wake, Tundu...
0 Reactions
1 Replies
251 Views
Ukiachilia mbali kutukanwa na Viongozi wenzake akina Ntobi, Yeriko nk Lakini hili la Ubangaizaji ni madharau yaliyotuka Ukishindwa na kubaki Chadema Mh Tundu Antipas Lisu utajikuta unadharirika...
0 Reactions
0 Replies
163 Views
Back
Top Bottom