Nimeona niliseme hili sababu nadhani wanasiasa wa sasa wanatumia hii mbinu; Wanakuja na Vitu vya ajabu ambavyo wanajua watu watakataa au kupiga kelele alafu wanaviondoa vile vitu kuonyesha kwamba...
Hongera sana Engineer Fatma Kara, Samia Foundation na Team ya Quality Builders kwa mwanzo mzuri sana. Naamini hakuna mwengine atakayeweza kutafsiri Ndoto na Maono ya Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan...
Huu ni mwezi wa sita au zaidi, petroli, diesel na mafuta ya taa yanashuka bei kila mwezi, hivi hamuoni au dharau?
Au mnangoja yapande ndio mlaumu?
Mkijua kulaumu mjue na kupongeza.
Mama mpaka...
Kama unabisha endelea kubisha lakini juzi Kuhani Mussa kapokea Mchango wa Rais na kutoa baraka zake za kikuhani
CCM inatumia misingi ile ile iliyowekwa na Shujaa Magufuli na kwa Bahati nzuri this...
Sio kwamba navidharau hivi vyama vingine ila wasipojitathimini, wakaamua kujiunga na moja wapo wa hivyo vyama viwili vikubwa.
Tanzania kwa sasa, wataishia kuzunguka hapo hapo mambo yajayo...
'Je ni kwa nini mpaka sasa zaidi ya miaka 20 ya Vyama vingi.
Chama kikuu ya Upinzani CHADEMA Hakijakubalika Upanda wa Tanzania Visiwani-Zanzibar....?
Hata huku bara kwenyewe kimekubalika kwenye...
Kwanini Kinana alirudisha majeshi CCM, kujiuzulu?
Na Luqman Maloto
Julai 29, 2024, Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la Abdulrahman Kinana...
Naomba nianze kwa kushukuru Mungu kwa kuzaliwa kwa mkurugenzi wa Jamii forum hakika kwa life span yangu Sasa ni miaka zaidi ya 39 ya kuzaliwa Nina karibia robo ya maisha yangu nimekuwa member wa...
Baada ya kuwasikiliza wakazi na viongozi hawa wa tarafa ya Ngorongoro, nimegundua yafuatayo:
1. Kuna agenda mbaya ya siri dhidi ya Wamasai hawa wa Ngorongoro inayofanywa na serikali ya CCM chini...
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa , Pimeni wenyewe.
Flyings Medical Service wanafanya shughuli za utabibu kwa njia ya anga maeneo ya mkoa wa Arusha na Manyara tangu nwaka 1983. Mamlaka ya Usafiri...
Najua Chini ya uongozi dharimu wa CCM Raisi analindwa akiwa hai hadi kaburni. Sasa huu utaratibu wa kumsimanga hyati umeamzia wapi. Je, CCM inapata faída gani na haya yanayoandikwa au tuamini...
Ni ngumu sana kumtetea Magufuli kwa mdomo mtupu.
Mambo yaliyoendelea katika utawala wake dhidi ya haki ya kutoa maoni, dhidi ya haki ya kuishi na kufikia hatua ya kudhuru wengine, ni dhahiri...
Ndugu na mwanangu Lucas Mwashambwa na Makamanda wengine wa Chadema Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe anaposema Yeye ni Safu ya Mwisho ya Ulinzi anamaanisha nini?
Na kama habishani Majukwaani...
Mwaka 2015 nature au universe ilizungumza na watu na watu wakazungumza na nature .
Nature ilihitaji mabadiliko kupitia Kwa viongozi waadilifu na ambao wapo tayari kuongoza nchi.
Walichokosea...
Tutapuuzwa kwa upuuzi wetu kitaifa
Na Ben Saanane
16 Dec 2015
WIKI iliyopita niliandika makala yenye kichwa cha habari "Rais Magufuli na Slack Management Style; Ni utekelezaji mbaya wa...
Mjumbe wa tume ya Katiba Dr. SENGONDO MVUNGI, amevamiwa usiku wa kuamkia leo nyumbani kwake Na amejeruhiwa kwa kukatwa katwa na mapanga amelazwa MOI kwa sasa.
=========================
Picha...
Kwa ushahidi wa mahojiano ya viongozi waandamizi wa Chadema Taifa hususani Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti Taifa, ni wazi hekima na busara inahitajika ili kuinusuru Chadema kwenye kupasuka na...
Anthony Diallo, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza katika mahojiano yake na Aloyce Nyanda wa Star TV amefunguka haya kuhusu awamu iliyopita na mabadiliko ya utawala yaliyotokea
1. Furaha imeanza...
Mwembechai killing kilipigwa marufuku kuingia nchini wakati wa Rais Mkapa. Kitabu kilochoandikwa na Professor Njozi, aliekuwa mhadhiri muandamizi Udsm. Kitabu chenyewe ni
.....
Mwembechai Killings...