Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika eneo hili la Madai ndipo namuunga mkono Mbowe awepo Mpaka akomboe Fedha zote alizoikopesha Chadema Haiwezekani Chama kikuu Cha Upinzani kiishi kwa kutegemea fadhila za Mwenyekiti Ndio...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Habari, Nikiri kwa kusema yote yasemwayo kwa sasa yana asilimia kubwa ya uongo kuliko uhalisia. Na shida kubwa ni kutafuta neutrality ili watu waone mtu wao waliyemkubali na kumpenda alikuwa...
5 Reactions
20 Replies
957 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema, dhamira njema ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan ya kuipa kipaumbele Sekta ya Afya nchini ni...
0 Reactions
6 Replies
855 Views
Ustaadh Yasin wa Taqwa masjid anasema kama Chadema hawatasimama sawa sawa Kifo Cha Meddy Kibao ndio Mwanzo wa Mwisho wao Ustaadh Yasin anasema kitendo cha Chadema kushindwa kumfanyia hata Hitma...
3 Reactions
11 Replies
523 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huja na Kwa Maslahi ya Taifa, Leo Kwa Maslahi ya Taifa ni uwezo wa Jeshi letu la polisi ku deal na hawa watu wanaitwa *wasiojulikana", maana sasa...
39 Reactions
164 Replies
13K Views
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amefufua upya tuhuma za ufisadi ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kupitia Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), huku...
6 Reactions
43 Replies
5K Views
Mambo ni moto Mtela (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe RAIS MAGUFULI AMTENGUA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISARAWE Rais wa John Pombe Magufuli, amemtengua Katibu Tawala wa...
22 Reactions
402 Replies
71K Views
Kiongozi wa Chadema mkoani Songwe Mh Mdude Nyagali amesema Tundu Lisu aliombwa kujiunga Chadema baada ya kuwatetea Bila Malipo wanachadema waliokuwa Magerezani wakati wa Utawala wa Mkapa Lisu...
2 Reactions
1 Replies
299 Views
Ukizingatia kuwa vinapewa ruzuku ambayo ni pesa ya umma. Je vinawajibika kuujulisha umma kuhusu mapato na matumizi? Vinakaguliwa na CAG?
0 Reactions
6 Replies
283 Views
Nimetafakari sana nimeona namna pekee ya kukinusuru chama rafiki CHADEMA ni Lissu kukubali matokeo na kumuunga mkono mwenyekiti wa kudumu wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe mara baada ya uchaguzi wao...
0 Reactions
23 Replies
935 Views
Kulikuwa na mjadala na bado unaendelea CH kuhusu kitabu tata cha Kabendera Kwamba mazingira yale yale yaliyotuletea Magufuli 2015 ndio yale yale yatakayotuletea Magufuli mwingine hapo mbeleni...
1 Reactions
3 Replies
420 Views
Utangulizi Katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na mvutano mkubwa katika mitandao ya kijamii kuhusiana na miradi mbalimbali aliyotekeleza na fedha alizozituma kwa...
0 Reactions
4 Replies
503 Views
Kupitia account yake ya twitter mbunge wa Kigoma mjini amesema kuna operation maalumu iliyoanzishwa kwa lengo la kummaliza. Tunafahamu kuwa Operesheni Maalumu #Mzizima2 imepewa kibali...
74 Reactions
584 Replies
66K Views
Hii nchi kama Kuna Viongozi wasioyumba kikauli basi ni Mzee Kinana wa CCM na Shehe Ponda wa BAKWATA Na Kiongozi pekee wa siasa asiyeishi na nongwa moyoni mwake ni Freeman Mbowe mnyasa wa...
2 Reactions
3 Replies
299 Views
Great Thinkers, Naomba tulitazame suala hili kwa umakini. Jumamosi iliyopita, Mbunge Zitto Kabwe alitoa taarifa kwamba amepata taarifa juu ya kuwepo operesheni maalum ya kutaka...
14 Reactions
30 Replies
4K Views
Nimeshindwa niweke wapi hii comment, JF mnaweza unganisha na uzi wowote. Tukio la Janeth Magufuli kulazwa Muhimbili Novemba 2016 linapaswa kufafanuliwa kwa muktadha wa ukweli na uwazi. Huwa...
12 Reactions
65 Replies
5K Views
"Tunasifiwa kwamba adjustments [maboresho] tuliyoyafanya awamu ya tano kidogo zimekuza heshima ndani ya utumishi wa umma. “Heshima iliyokuzwa ni ya woga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda...
56 Reactions
753 Replies
42K Views
Haina haja ya kutafuta Mchawi Mh Freeman Mbowe abakie kama mshauri wa Chama ameshachoka Freeman tuletee Wakili Msomi Nicole tuhangaike naye Siasani Wewe sasa ni Babu 😂😂😂🔥
0 Reactions
2 Replies
121 Views
DC wa Hai Ole Sabaya akiwa na gari yenye namba @UN na silaha nzito za moto ameongoza genge la wahalifu kuvamia Hotel ya Kitalii ya Aishi, Machame kwa lengo la kunidhuru na kuniua. Wameteka, kutesa...
19 Reactions
165 Replies
25K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…