Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, sisi kama wananchi tunayo mengi ya kujifunza. Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu...
2 Reactions
99 Replies
3K Views
Wakuu mnakumbuka hoja ilipowasilishwa bungeni ili kujadili kuhusu masuala ya usalama nchini na utekaji uliokithiri mpaka kusababisha kifo cha Ali Kibao? Nini kilitokea? Tulia alishupaza shingo...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Hili litakuwa ni kosa kubwa sana na hata kama watafanikiwa kushinda kiti cha urais basi itakuwa kwa mbinde sana tena kwa mabavu. Tangu akalie kiti cha urais, kwa haraka haraka hapo ulipo...
39 Reactions
147 Replies
8K Views
Wananchi wameanza kupata maono kama kuna mtu ameibuka kuwapambania juu ya maslahi yao na taifa lao. Tofauti na yule Jamaa aliyekuwa anaenda Ikulu kunywa juic za Ceres. Na hii inakuja kuleta...
5 Reactions
33 Replies
1K Views
Mtu umesambaza mabango nchi nzima lakini bado hukubaliko unategemea dola ikubebe Mwenzako hana bango hata moja lakini mziki wake unakunyima usingizi Hakika kibaya chajiuza, chema chajitembeza...
9 Reactions
22 Replies
1K Views
Nataka niulize hili swali kabla sijaenda kulala. It is just a rhetorical question. Itakuwa vipi kama wananchi wakisema,"Nyie Polisi,msimkamate Tundu Lissu?"
3 Reactions
48 Replies
2K Views
https://www.youtube.com/live/boUBc1geEE0 UCHAMBUZI WA BAJETI YA OFISI YA WAZIRI MKUU KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI 2025/26 “Serikali inaogopa uchaguzi huru na haki” Utangulizi...
0 Reactions
0 Replies
351 Views
Wahenga Walituasa usitukane Mamba kabla hujavuka mto. Usidharau Wakunga na uzazi ungalipo. https://x.com/YerickoNyerereT/status/1909969609769300194?t=qjWPlAvIia2sU3LbNWK6Vg&s=19 My Take Tuwe na...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Mbunge wa Jimbo la Biharamlo Magharibi, Ezra Chiwelesa akiipongeza Klabu ya Simba na Benchi la ufundi Bungeni ameitaka Serikali ifanye jitihada za haraka kuboresha uwanja wa Mkapa ili mechi ya...
1 Reactions
5 Replies
415 Views
Sitaki kuamini kwamba MamaSamia2025 yuko nyuma ya mpango wa hiki kinachoendelea. Ninafahamu kwamba MamaSamia2025 ni MTU mwenye dhamira safi licha ya kwamba watu walipotekwa alisema ni vijidrama...
5 Reactions
36 Replies
2K Views
kama tunavyojua muda hausimami muda unakimbia tufanye magufuli tunaye hadi 2025 je ni nani atapeperusha bendera ya ccm mwaka wa 2025? huu ni mjadala unaondelea chini kwa chini kwa sasa kila...
2 Reactions
49 Replies
7K Views
Leo, kwenye uzinduzi wa ukawa kitu ambacho nimeona, 1) Mbowe analazimisha kitu ambacho akiwezekani kabisa kabisa, kwenye uzinduzi sikusikia point za maana kabisa tofauti na marudio ya magufuri...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Anasema Lisu nyota yake inangara sana, akiichezea hataipata tena. Anakubalika na kila mmoja. Asipoteze nafasi , asipoteze kete hii. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Mkutano wa 19 wa Bunge la 12 unaendelea leo Aprili 10, 2025 Jijini Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine, kama kawaida kutakuwa na Kipindi cha Maswali na Majibu kwa wabunge kuiuliza maswali...
0 Reactions
1 Replies
377 Views
SHIKWAMBI maana yake ni shinda kwa mbinu Kwa sisi wazee wa kwenye siasa za mchangani ukisikia mtu analalamika mambo magumu ujue kwenye siasa anafikiria mbinu mpya Shikwambi ya 2020 bado...
0 Reactions
7 Replies
914 Views
Wanabodi,Huu ni mwezi wa wanavyuo au Graduate kuhitimisha safari yao vyuo vikuu ,Kwa ufupi ni kipindi cha Graduation au Mahafali Pongezi za kwanza ni kwa Rais Magufuli ambaye aliamua hawa vijana...
9 Reactions
55 Replies
7K Views
Meya mstaafu wa jiji la Dar es Salaam, Boniface Jacob, amesema kuwa alipokea taarifa kwamba Jumanne, tarehe 10 Septemba 2024, Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kupitia Mkuu wa Upelelezi wa Mkoa...
7 Reactions
90 Replies
6K Views
Nchi mbalimbali zimeamua kuwalinda wazalishaji wake na Uchumi wa Nchi zao Kwa kuongeza Ushuru wa bidhaa za Marekani kama nayo ilivyowaongezea wengine. Kujikalisha kimya Kwa watu wenye maamuzi ni...
2 Reactions
77 Replies
3K Views
Hili swali la kiufundi sana. Kwamba tunazuia uchaguzi kwa kuwa huko watu wanakufa, hatutaki waendelee kufa. Lakini tunataka kuwatumia watu hao hao kupambana na majeshi ya nchi kuzuia uchaguzi...
3 Reactions
25 Replies
955 Views
HALI ya kisiasa jimboni Nzega Mjini kwa Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Hussein Bashe ni mbaya tofauti kutokana na kutokubalika na wananchi licha ya kutumia fedha nyingi kugawa kwa wajumbe na baadhi...
3 Reactions
51 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…