Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mwendo huu inaelekea kwamba hatutapata matatizo yoyote kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu . Halafu Polisi Ruvuma imewaambia Chadema kwamba haipingi mikutano yao ila Chadema hawana ruhusa kusema...
0 Reactions
4 Replies
419 Views
Rostam Aziz ameomba radhi kwa majaji akisema ulimi uliteleza na hakumaanisha ambacho alikisema kuhusu majaji kuhongwa. Nadhani amefanya jambo la kiungwana sana. === Leo Jumanne July 4, 2023...
15 Reactions
100 Replies
11K Views
YAMETIMIA, BWAWA LA MWALIMU NYERERE LAKAMILIKA, SASA KUANZA KUZALISHA MEGAWATT 2,115 Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JHPP), ambao umegharimu Shilingi Trilioni 6.5, leo umefikia hatua muhimu...
0 Reactions
11 Replies
948 Views
Zikiwa zimebaki wiki chache kufikia Tamasha la Kuombea Uchaguzi Mkuu 2025 linaloandaliwa na Kampuni ya Msama Promotion, Naibu Waziri, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...
2 Reactions
11 Replies
784 Views
My Take Kwa.kauli hizi za Lisu,ni mtu mpumbavu tuu ndio atakubali Kujaribu amani Kwa maslahi ya Kibaraka Lisu na waliomtuma. Ana passport ya Ubelgiji,familia yake Iko Nje ya Nchi ,wewe wa...
10 Reactions
159 Replies
4K Views
Kwa kiasi fulani wafuasi wa Tundu Lisu wanafanana na wafuasi wa Yesu kristo wa Kwenye biblia! Kulingana na stori za kwenye biblia na pia video za maigizo ya maisha ya Yesu kristo za BRIAN DEACON...
0 Reactions
1 Replies
385 Views
Waziri Kombo akutana na Wabunge wa Hungary Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na Wabunge wa Bunge...
0 Reactions
1 Replies
313 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amesisitiza umuhimu wa kuangazia maeneo yenye tija kwa maendeleo ya pamoja kati ya Tanzania na...
0 Reactions
2 Replies
296 Views
π—ͺπ—”π—­π—œπ—₯π—œ π—žπ—’π— π—•π—’ 𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—Ÿπ—œ π—‘π—–π—›π—œπ—‘π—œ π—”π—‘π—šπ—’π—Ÿπ—” Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amewasili jijini Luanda, Angola ikiwa ni sehemu ya maandalizi...
0 Reactions
2 Replies
416 Views
Rais Samia leo Aprili 9, 2025, anatarajiwa kutembelea kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta cha Luanda Oil Refinery ikiwa ni siku ya tatu na ya mwisho ya ziara yake ya kikazi nchini Angola. Ziara...
3 Reactions
8 Replies
580 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro, jijini Luanda, leo Aprili 7, 2025 kwa ziara ya kiserikali ya...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
RAIS SAMIA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KISERIKALI NCHINI ANGOLA. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehitimisha Ziara yake ya Kiserikali ya siku 3 nchini...
1 Reactions
5 Replies
514 Views
ZIARA YA MHE. RAIS SAMIA ANGOLA YAFUFUA USHIRIKIANO KATIKA SEKTA ZA KIMKAKATI
2 Reactions
6 Replies
478 Views
Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa mara, Chacha Heche mapema leo amefika kwa Baba wa Taifa, Julius Nyerere akiwa na ujumbe wake wenye vielelezo vya matukio yaliyojitokeza katika chaguzi za TanzAnia...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Njia pekee ya kuwanyima upinzani nafasi ni kutekeleza mahitaji ya wananchi, sikiaeni hoja za wapinzani mzifanyie kazi wakose hoja lakini hii kamata weka ndani kuna siku itakua mbaya.
2 Reactions
3 Replies
362 Views
Mtoto wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul Halim Hafidah Ameir ameahidi kutoa Tsh. Milioni 30 kwenye harambee iliyoandaliwa na Muhashamu Askofu Flaviani Katindi Kasala wa Jimbo Katoliki...
7 Reactions
52 Replies
4K Views
Makala ya Kitaaluma Na Alloyce, P.R. Utangulizi Katika historia ya siasa za Afrika na duniani kwa ujumla, mara nyingi jamii imekuwa ikiwachukulia wanasiasa wote kama viongozi. Mwelekeo huu...
1 Reactions
1 Replies
441 Views
Wakuu, Polisi na CCM mnazidi kuboronga, mmeamsha dude, hamjifunzi kila wakati mnarudia kule kule! ==== Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linadaiwa kuwazuia viongozi wa Chama cha Demokrasia na...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu, tusipoamka sisi na kufunguka fahamu zetu, CCM wataendelea kutuona kama "toilet paper". Watatutumia wapendavyo na kututupa. Hakuna cha maana zaidi hawa watu wanaweza kututendea...
1 Reactions
2 Replies
276 Views
Hilo kosa la uhaini litaishia Polisi , ila mahakamani hamtalisikia. Ikitokea limeingia mahakamani, basi mjue ni swala la muda tu kabla halijafutwa. Hii ni mbinu tu ya kujaribu kumtisha Lissu na...
9 Reactions
20 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…