Hivi ni nini kipo nyuma ya hizi kebehi dhidi ya Hayati Magufuli? Maneno na tuhuma kali sana zinapelekwa kwa huyu kiongozi.
Sio serikali wala CCM wanamtetea huyu kiongozi, cha kushangaza zaidi ni CHADEMA nao wamejiunga pamoja katika kila siku kuhakikisha taswira ya hayati inaharibika.
Je, hizi harakati za kuhakikisha Hayati Magufuli taswira yake kwa wananchi zilianza kabla ya kifo chake?
Je, tukisema baadhi ya wana CCM na CHADEMA walihusika kwenye utekaji na mashambulio mbalimbali, tutakuwa tunakosea?
Je, hii nguvu inatumika kuharibia Hayati Magufuli inafanywa kwa manufaa ya nani?
Sio serikali wala CCM wanamtetea huyu kiongozi, cha kushangaza zaidi ni CHADEMA nao wamejiunga pamoja katika kila siku kuhakikisha taswira ya hayati inaharibika.
Je, hizi harakati za kuhakikisha Hayati Magufuli taswira yake kwa wananchi zilianza kabla ya kifo chake?
Je, tukisema baadhi ya wana CCM na CHADEMA walihusika kwenye utekaji na mashambulio mbalimbali, tutakuwa tunakosea?
Je, hii nguvu inatumika kuharibia Hayati Magufuli inafanywa kwa manufaa ya nani?