Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naapa kwa Mungu lazima niuvuruge Uchafuzi mkuu wa mwaka 2025. Nikiondoka na roho hata moja tu ya mchafuzi nitakuwa na amani kubwa moyoni. Kubwa sana! Nikipongeze Chama changu CHADEMA kwa msimamo...
15 Reactions
22 Replies
1K Views
Wakuu, Heche amesema hayupo tayari kusimamia uongo, kama wanasema chama kitakufa na kife lakini sio kuendeleze uongo wa CCM! Safari hii mama anaupiga mwingi mtanyooka! Wanatetemeka huko waliko...
7 Reactions
42 Replies
2K Views
Ataibuka mtu kutoka chama kimojawapo kati ya vyama shikizi 19 au kutoka G55 au kutoka COVID-19 au CCM yenyewe au hata kutoka "wanaharakati" ataenda mahakamani kudai CHADEMA kuzuiliwa kushiriki...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Moja ya vyama vilivyowahi kuitikisa Nchi katika nyanja ya kisiasa ni NCCR-MAGEUZI iliyokuwa ikiongozwa na Marehemu Lyatonga Mrema na prominent figures wengine kama Wakili Mabere Marando. Uchaguzi...
4 Reactions
18 Replies
941 Views
Mwenyekiti wa Taifa Chama cha ACT Wazalendo. Othman Masoud Othman amesema wamefanya jitihada kubwa kuleta hali ya maridhiano Zanzibar kabla ya kuingia kwenye uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Air Tanzania imeingizwa kwenye mashirika ya ndege yasiyotakiwa kwenda nchi za jumuiya ya ulaya. Tanzania tuachane kabisa na mataifa ya kikoloni, kwakuwa wanajiona ni wakoloni na kutuona...
3 Reactions
10 Replies
939 Views
Kiongozi wa ACT Wazalendo Dorothy Semu akieleza mkakati wa chama hicho kufungua kesi za kupinga kanuni za uchaguzi zinazoongoza uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 zilizosainiwa leo, Jumamosi Aprili...
0 Reactions
1 Replies
977 Views
Maamuzi ya baadhi ya wanawake wa CHADEMA kupitia BAWACHA mkoani Songwe kutishia au kutaka kutembea bila nguo kama njia ya kuonyesha hasira zao ni hatua mbaya na isiyofaa kwa chama cha siasa...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu, Ni bandika bandua, huku Askofu Bagonza kule Sheikh Ponda, yaani kuna watu huko vichwa vinawaka moto :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: ==== Sheikh Ponda ameandika haya kupitia...
2 Reactions
6 Replies
724 Views
Wasalaam Tukirejea katika hotuba ya Mwl Nyerere , wakati akizungumzia mapendekezo ya uwepo wa mfumo wa vyama vingi, anaelezea kwa kina dhamira ilikuwa ni kuwapa tahadhari CCM wasijikute wanaangia...
1 Reactions
15 Replies
678 Views
Ni mzalendo wa kweli Ni mpenda haki Ni mcha Mungu wa kweli... Lakini ni mzee wa rula.. Hapendi konakona Hangaikeni naye vizuri, atawafaeni huko mbeleni.. Nyie na wana wenu na vizazi vyenu Ni mtu...
6 Reactions
8 Replies
624 Views
Haya ni yale tuliyokuwa tumeyakosa: Kumaanisha tunachosema. Kwa hakika washikie hapo hapo Kila mpenda haki aliyepo hawezi kusita kuwa nasi: Mungu mbariki TAL, Mungu ibariki CHADEMA na...
5 Reactions
6 Replies
521 Views
Huku CHADEMA wakisusia Kanuni. Sherehe za Mei Mosi mwaka ndio wakat wa kusomba Kura za walimu, magnesium na wengineo.
1 Reactions
10 Replies
628 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaongoza wajumbe wa NEC alioongoza nao ziarani mkoani Mwanza na wanachama wa chama hicho mkoani humo wamemchangia Shilingi...
27 Reactions
168 Replies
9K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katibu Mkuu wa CCM Mhessimiwa Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi katika muendelezo wa ziara zake anayoendelea nayo nyanda za juu kusini akiambatana na baadhi ya wajumbe wa...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Ratiba ya kampeni ikitoka vyama vishiriki uchaguzi pekee ndivyo vitaruhusiwa kufanya mikutano ya hadhara Poleni CHADEMA hamtaruhusiwa sababu hamshiriki
3 Reactions
47 Replies
2K Views
Tangu kuchaguliwa kwa Lissu na kuja na Falsafa ya NO REFORM NO ELECTION sijaandika uzi hapa jamvini,Leo baada ya CHADEMA kutoshiriki utiwaji wa saini katika kanuni za Uchaguzi kitendo...
12 Reactions
18 Replies
1K Views
Kama mtanzania ambaye nimempigia kura Mheshimiwa Lissu mara mbili kwenye chaguzi zilizopita (jimboni na uraisi), naamini hajafanya kosa la uhaini na hayo ni mashtaka ni ya kutengeneza na hewa...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Katiba yetu ndiyo sheria kuu kuliko zote na kuwanhakupaswi kutungwa sheria inayokinzana na katiba. katiba inatoa ruhusa kwa raia kuchagua au kuchaguliwa, lakini ikatungwa sheria kuwa ili...
1 Reactions
15 Replies
771 Views
https://www.youtube.com/live/vLdO-z31bOY?si=DxKCHlFGEDmG6wWD In brief: ➡NO REFORMS, NO ELECTION is there na CHADEMA is a proper channel to carry it forward... ➡Katika chaguzi za 2015 kurudi nyuma...
3 Reactions
3 Replies
510 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…