Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huu ni mwaka wa uchaguzi Mkuu. Kwa sababu tumeshajifunza chaguzi tatu mfululizo yaani 2019, 2020 na 2024 hatuhitaji tena kubembelezana. Nadhani kama ni busara au hekima vimetumika na sasa iwe...
0 Reactions
0 Replies
342 Views
Now that Tundu Lissu has made some progress in his convalescence, it is of no surprise that he has decided to get back into the fray. He has done several interviews with both foreign and domestic...
47 Reactions
268 Replies
20K Views
Taasisi nyingi za serikali zinapitia vipindi vigumu, ikiwa ni pamoja na changamoto mbili kuu: uhaba wa fedha katika kutekeleza majukumu yake na kuacha misingi ya kimuundo kwa taasisi hizo. Mfano...
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Mfumo wa uongozi wa muda mrefu wa Freeman Mbowe kama Mwenyekiti wa CHADEMA unaweza kueleweka kwa kuangalia madhara ya kukaa katika cheo cha juu cha chama muda mrefu: Kama Mbowe angaliachia...
0 Reactions
2 Replies
290 Views
Kuna kale kamsemo kanakosema tenda wema uende zako usingojee shukrani. Mheshimiwa mbowe ameeleza kwa masikitiko namna lisu anavyomnanga ili hali aliwahi kumsaidia vitu vingi sana. Nakushauri...
6 Reactions
7 Replies
402 Views
WanaJF, Nafikiri Sisi ndio tumechelewa kulifahamu hili Jambo lakini kumbe ndugu Freeman Aikael Mbowe alishaanza kutekeleza Hilo muda mrefu, kwamba kwa sababu yeye ameshindwa kupambana na CCM kwa...
7 Reactions
10 Replies
761 Views
Yericko Nyerere ameonyesha kukerwa na kauli za Lissu na kusema kuwa akipewa chama basi kitakufa ndani ya miezi sita na kuwa historia. Kwenye heading naomba isomeke kuiua sio kuiia
2 Reactions
32 Replies
1K Views
Tangu Mbowe atangaze kuingia tena kwenye kinyang'anyiro cha kutaka kutetea nafasi yake ya uenyekiti hajaweza kusema ana agenda gani mpya kwa Chadema ili achaguliwe tena. Muda mwingi amekuwa...
0 Reactions
1 Replies
236 Views
Nitatoa hints TU: LISSU alisema awali kwamba hawezi kugombea nafasi ya MBOWE. Team MBOWE wakamwandalia mchakato wa Abdul. Inaelekea walikuwa na manufaa na mchakato. Mchakato wa Abdul ulipokwama...
4 Reactions
10 Replies
855 Views
Akihojiwa na Kikeke nimemsikia Mbowe akisisitiza kwamba wapiga kura wataitwa mmoja mmoja na kuhojiwa hadharani (live) katika Kumchagua Mwenyekiti Mpya. Binafsi nadhan hiyo sio sawa, wangepiga...
2 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
14 Reactions
119 Replies
4K Views
Nimeona mh Mbowe akitaja fadhila ambazo amemfadhili mh Tundu Lissu tangu walipokutana mwaka 1995 na kuamua kushirikiana naye katika harakati za kisiasa nchini. Wahenga wanasema, "tenda wema...
2 Reactions
8 Replies
488 Views
Scotland Yard hufanya ukaguzi Katika nyanja na Fani mbalimbali za kotaasisi na kijamii Inaonekana Chadema Kuna Tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria ndio sababu Wananchi wameomba Waziri mkuu...
1 Reactions
16 Replies
491 Views
Wakuu, Kumbe suala la wizi wa kura haliko ndani ya CCM tu, hadi huko CHADEMA mambo yanaonekana kuwa moto. Lissu akiwa anazungumza leo amesema kuwa ameishauri kamati kwamba wawepo mabalozi au...
10 Reactions
68 Replies
2K Views
Tukiacha Uchawa na kujipendekeza kama Kahaba aliyeona mkoba wa Dhahabu za Babylon kwenye chumba cha siri kwa kuhani wa mungu Murduk ndani ya hekalu la Enki. Ile hotuba Madame kaharibu kabisaaaa...
18 Reactions
75 Replies
3K Views
"...unadhani Lissu ameingia kichwa kichwa kugombea! Jamaa walijipanga muda sana baada ya kutoridhishwa na mambo yasiyo ya upinzani wa KWELI wa Mbowe. La mno hasa ni baada ya kila dalili kuonyesha...
17 Reactions
78 Replies
3K Views
Hellow! Nimewahi kumsikiza Mh Mbowe akisema kuwa amewekeza pesa nyingi ndani ya chama, Nimesoma pia utetezi wa Yeriko Nyerere kumhusu Mkt Mbowe kuwa bila utajiri wa Mbowe na msimamo wake...
13 Reactions
34 Replies
2K Views
1. Kuna idadi ya makatibu wengi sana wanabadirishwa kipindi hiki. Makatibu ni waajiriwa ukigoma huna kazi. 2. Makatibu wa ngazi za chini kupeleka majina yenye makosa mikoani ili washi dwe...
4 Reactions
10 Replies
530 Views
Huyu mfuasi wa Lissu hajui kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2020 au kaamua kujifanya mwendawazimu? Kwa huu mdahalo wa jana hakuna mwenye nafuu kwenye hawa washiriki wanne. Wote nawapa alama 0/100...
1 Reactions
10 Replies
765 Views
Kwasababu CCM imejaa ujinga, kulogana, kuogopana, kutoambiana ukweli, kuishi kinafiki na kishirikina, kumuogopa mwenyekiti ambaye ni mpuuzi tu nchi hii si yake wala, kukubali kutoambiana ukweli No...
3 Reactions
17 Replies
484 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…