Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Elizabeth Mwakimomo, amesema mabadiliko katika nchi hii yataletwa na chadema na kuongezea kuwa Kauli za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert...
0 Reactions
0 Replies
445 Views
Kwa kweli binafsi nimechoka na wagombea wa vyama. Hii 'No Reforms no Election ya CHADEMA inapigania na mgombea binafsi?
3 Reactions
22 Replies
982 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa mgawanyiko ndani ya CHADEMA unazidi kudhoofisha nafasi ya chama hicho kushindana na CCM katika uchaguzi...
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Wakuu, Majuzi kuna mdau aliweka uzi kuhusu mitungi ya gesi kugaiwa kwa masharti ya kutoa namba ya nida - Nzega, Tabora: Mtaani kwetu kuna watu wanapita Kila kaya wanagawa mitungi ya gesi, Sharti...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Matunda ya ziara ya Rais Samia Nchini Indonesia na Yale ya Rais wa Indonesia hapa Tanzania yamezaa matunda Kwa Wana Mtwara. Ambapo kampuni ya kutoka Indonesia ya Essa Group of Industries imesaini...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Haiwezekani kwa mtu mzima sana kama Wassira kujikita kushambulia na kutukana Chadema, bila shaka aweza kuwa amepoteza Kumbukumbu na kusahau Majukumu ya kikatiba yaliyoainishwa yanayohusiana na...
13 Reactions
93 Replies
3K Views
Hellow Tanganyika!! Nimekaa Mahali USINGIZI umekata, wazo likanijia kumhusu Mh Ndugai pale alipoitisha press kuishauri Serikali kuhusu kujitegemea kuachana na mikopo kiduchu. Na kilichonivutia...
13 Reactions
61 Replies
3K Views
1. Historia ya Hali ya Mashariki ya DRC 2. Chanzo ni kipi cha kutoweka kwa Amani 3. Tanzania inaathirika vipi na hali hiyo? 4. Je, ni akina nani wahusika wakuu wa hali inayoendelea...
0 Reactions
13 Replies
761 Views
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema serikali imelipa takribani Sh bilioni 254 ndani ya miezi miwili kwa wakandarasi mbalimbali wanaotekeleza miradi ya barabara na madaraja nchini baada ya...
1 Reactions
3 Replies
504 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika...
5 Reactions
62 Replies
3K Views
Ndoto kubwakubwa za wanasiasa na wanataaluma vijana zimeuawa na vihela vidogo vidogo visivyojaa hata bahasha ndogo. Kwa wanasiasa vijana wameamua kutumikishwa na wakongwe wa siasa na kazi yao...
18 Reactions
85 Replies
11K Views
Wakuu, Asubuhi ya Jumamosi Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa aliweka pandiko kwenye account yake ya Insta iliweka lebo kwenye gazeti la Nipashe "SIO KWELI (MISINFORMATION)" na kuongeza maelezo...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu, Ifikie muda tuache ku-judge wanasiasa kwa kutujengea vyoo na mabarabara. Unakuta mwanasiasa anaenda kukopa World Bank na IMF alafu anaenda kujenga shule na zahanati Kibaya zaidi...
3 Reactions
6 Replies
470 Views
Rais Samia Suluhu ameaminika na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuwa mwenyeji wa kikao cha usuluhishi kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
0 Reactions
4 Replies
510 Views
Hii video inajieleza kwa mengi sana japo alikuwa na makando kando yake ya kibiashara hasa figisu za masoko kwa wafanya biashara wenzake ambapo katika ushindani wa soko kwa Wafanya biashara ni...
9 Reactions
26 Replies
1K Views
..Naamini kitendo hicho kinajenga picha kwamba hatuko serious. ..Huenda Watanzania tumeambukizwa usanii-sanii na Wacongomani. ..Congo kuna msiba halafu sisi tumeandaa ngoma katikati ya msiba...
34 Reactions
45 Replies
2K Views
Kuna mambo ukiyaona na kuyasikia hapa kwetu Tanzania wakati mwingine unaudhika, unacheka, unakata tamaa na mwisho wa siku unaishia kusikitika. Wakati Twaweza walipokuja na utafiti wao wa kuonesha...
17 Reactions
130 Replies
14K Views
Namshukuru Mungu kwa kuniunganisha na familia hii kubwa, nawashukuru sana wanafamilia wa mtandao huu na zaidi sana waasisi wake. Hivi majuzi nimepokea zawadi kutoka Marekani kupitia kwa aliyekuwa...
35 Reactions
54 Replies
5K Views
Serikali imeendelea kusimamia utekelezaji wa sheria za kazi kuweka mazingira bora ya kazi ambapo imefanya jumla ya kaguzi za kazi 20,637 katika maeneo ya kazi kwa lengo la kuhakikisha kuwa viwango...
0 Reactions
0 Replies
289 Views
Sina shida na Lissu nasubiri kwa hamu kuona uongozi wake, najua kuna mahali atafanya vizuri lakini kuna masuala kama vile mafekeche ya kuendesha chama na jinsi ya kuyapata. Hii ni changamoto kubwa...
6 Reactions
49 Replies
3K Views
Back
Top Bottom