Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Watu wengi wanaamini Wenyeji wa Mbeya Mjini ni Wanyakyusa na Wasafwa kwao ni Mbeya Vijijini Lakini ukweli ni Kuwa Mbeya Mjini na Vijijini kote ni Kwa Wasafwa ila inasemekana Wasafwa ni Watu...
1 Reactions
10 Replies
810 Views
1. Kataa kuwekewa mawakili wowote wa kukutetea. 2. Usijitetee kwa vifungu vyote vya sheria ili kuepusha kupoteza muda mahakamani. 3. Kiri mahakamani kuwa maneno yote uliyotoa kwenye hati ya...
27 Reactions
48 Replies
3K Views
WASIRA APOKELEWA SIKONGE, AWASILISHA UJUMBE WA MKUTANO MKUU MAALUMU WA CCM Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amewasili wilayani Sikonge Mkoa wa Tabora na kushiriki mkutano wa...
1 Reactions
2 Replies
502 Views
Kuna wakati Rais mstaafu Mzee Kikwete aligoma kusaini muswada wa sheria ya kinyonyaji uliosainiwa na wabunge wore kasoro Dr Slaa peke yake Huko Kenya Rais Ruto amelataa kusaini muswada wa sheria...
1 Reactions
5 Replies
470 Views
Boniphace Jackob Mwenyekiti wa Chadema kanda ya Pwani ameahangaa kitendo cha wa Tanzania kutoshtushwa na No Reform No election Boniphace Jackob aliyasema hayo wakati akihutubia wakazi wa Tandale...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Akisoma taarifa ya Hali ya Uchumi wa Nchi kwa mwaka 2023/24 na matarajio ya 2024/25 Waziri wa Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amesema, hadi mwezi machine deni la Serikali limefikia...
7 Reactions
67 Replies
3K Views
WASIRA:CCM TUNAHUBIRI AMANI KWA SABABU NDANI YAKE KUNA HAKI. Asisitiza Chama hakiwezi kukubali mtu au kikundi cha watu kuvuruga amani iliyopo Na Mwandishi Wetu, Tabora MAKAMU Menyekiti wa Chama...
0 Reactions
4 Replies
452 Views
Jimbo linahitaji Kiongozi mwenye maono. Nawe Ni mtu sahihi NB: Victor Tesha ni makamu Rais wa Federation of Miners Association of Tanzania maarufu kama FEMATA na pia ni Managing Director wa Isale...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu habari Yenu. Nimeishi tangu Enzi za rais mwinyi mpaka Sasa. Hakuna rais mwenye endorsement na chawa wengi kama mama. Mi Nahisi mama kwasababu ana sapoti ya Kila Kundi Kwenye jamii ARUHUSU...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Wanaccm wengi huamini kwamba chama chao ni chama imara na huilinganisha na miongoni mwa vyama imara sana hapa Africa na duniani. Ila jambo moja ambalo linawaondolea hizo sifa zote na kuwafanya...
0 Reactions
0 Replies
225 Views
Aliyekuwa Mweka hazina wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora, Bi. Lidya Mashaka amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) na kuikabidhi kadi ya Chadema kwa...
1 Reactions
1 Replies
280 Views
Hii ndiyo taarifa nyeti ya mauaji ya wazee. soma hapa Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Dk Isaka, anasema:“Mikakati iliyopo ni pamoja na kuendelea kuomba Serikali kuidhinisha muda wa uchangiaji kuongezwa...
7 Reactions
60 Replies
3K Views
Ili upinzani ushike madaraka ni lazima kufanyike reforms (hizi ambazo Lissu na Heche wamesimamia kidete) kwanza na ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa HAKI ni lazima iwe mpya(ijivue gamba lake...
2 Reactions
4 Replies
329 Views
Wakuu, Kumekucha huku, kama ulikuwa hujajiandikisha kajiandikishe sasa... lolote litakalotokea Oktoba uwe na kitambulisho tayari! Hivi utaratibu hufanyika hivi miaka wote? Yaani huwa zinatolewa...
2 Reactions
9 Replies
532 Views
Kutoka gerezani Keko, Tundu Lissu akiwa kolokoloni ametuma ujumbe kwa umma kupitia kwa Goddess Lema kuwa yeye haigopi na yupo tayari kunyongwa hadi kufa kama atakutwa na hatia. Pia amesisitiza no...
53 Reactions
178 Replies
8K Views
Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob awashukia vikali walimu na askari Polisi adai wanahusika kuihujumu CHADEMA kwenye nyakati za uchaguzi.
1 Reactions
8 Replies
571 Views
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2023/24 imebaini kuwa jumla ya Shilingi trilioni 1.14 zilizokusanywa kupitia tozo mbalimbali na Mamlaka ya Mapato...
6 Reactions
85 Replies
4K Views
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu akieleza namna chama hicho kilivyoweka milango wazi kwa mtu yeyote kutoka kwenye chama chochote cha siasa nchini aliyekuwa tayari kujiunganao
0 Reactions
0 Replies
324 Views
Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Rombo, April 17, 2025 kimetoa Semina kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho Wilaya, kuhusu Mabadiliko madogo yaliyofanyika ya Katiba ya Chama hicho kwa Mwaka...
0 Reactions
0 Replies
370 Views
Mchawi aliyeiroga Tanzania alikwishafariki miaka mingi mara baada ya kupata uhuru na madhara yake yanaendelea kiliathiri Taifa!
4 Reactions
6 Replies
441 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…